Kwa ufaulu huu kidato 6, 2023. Bila upanuzi vyuo vikuu ni Div one tu wataingia vyuo vikuu

Kwa ufaulu huu kidato 6, 2023. Bila upanuzi vyuo vikuu ni Div one tu wataingia vyuo vikuu

Leo nilikua naperuzi mitandaoni; to my surprise nikajua the mostly birth months huko Marekani ni July, August, na September.

That means, miezi watu wanajamiiana sana huko ni November and December and they study it seriously for planing. Huku bora liende tu!

Serikali ni lazima daily ijue ni watu wangapi wamejamiiana na matokeo yatakuaje how many babies to be born and when for future planning.

Dunia ya leo hatuwezi kujiendea tu kama mbuzi kwenye suala la uzazi!
 
IMG-20230715-WA0088.jpg
 
Matokeo ya kidato cha sita 2023. Karibu shule zote daraja lenye idadi kubwa ya waliofanya vizuri ni daraja la kwanza ( Division one). Kwa matiki hiyo mambo yafuatayo yanaweza kujitokeza;

1. Kama vyuo vikuu vitachukua wanafunzi kulingana na uwezo wake kama miaka ya nyuma ni dhahili kuwa wanafunzi watakao ingia vyuo vikuu vyote vya umma na binafsi watakuwa waliofaulu kwa daraja la kwanza tu.
2. Kama vyuo vitalazimika kuongeza idadi ya wanafunzi pasipo kwenda sambamba na kuongeza miundo mbinu yake na kuajiri wahadhiri wengine hasa ukizingatia muda haitoshi kulingana na kuanza mwaka wa masomo Oktoba ni dhahili itasababisha kushuka kwa ubora wa elimu itakayotolewa.

3. Tutarajie shule za binafsi kuanza kukosa wanafunzi. Kwani kwa matokeo ya mwaka huu ufaulu umekuwa wa kufanana kwa shule zote, zile za vipaji maalumu, shule za binafsi na hata shule za bweni kawaida na zile za kata Zipo shule za bweni kawaida hazijatoa hata wanafunzi wa daraja la tatu au la pili kabisa. Kwa sababu hiyo wazazi hawataona sababu ya kuwapeleka watoto wao shule za kulipia wakati ufaulu hautofautiani na shule za bure za umma.

Ni wakati wa serikali kujipanga sasa na kukabiliana na ongezeko la ufaulu huu mkubwa kwa kuwa na mipango ya muda mrefu. Kwa mfano kuchelewesha wanafunzi wa kidato cha tano kufungua shule Julai kama ilivyozoeleka na kusongeza mpaka Agosti ni ushahidi wa waziri kuwa serikali haina mipango ya muda mrefu. Huu siyo wakati wa kujenga madarasa kwani walitakiwa kuelewa mapema kuhitajika kwa madarasa.

Wataalamu wao wa Chuo cha Mipango Dodoma wanatakiwa kutumika mapema kuepusha uzembe wa aina hii.

Ila imenishangaza kusikia kuwa Hesabu imeongoza kwa ufaulu kidato cha sita au niseme masomo ya saiyansi ndio yameongoza. Nikawa najiuliza, ni ile ile mitihani ya PCB/M tulikuwa tunafanya sisi wahenga au kuna mabadiliko?
 
Sina uhakika ila nahisi form six pia kuna siasa za kupanua goli.
Mm baada ya kuona dogo anayeshinda kwenye madubu amepata div 2 ya pcm nikaamua kutafuta papers za mitihani hiyo.

Nikakuta kwamba mwaka huu mtihani wa physics F6, definition tu ilipewa marks 5. Halafu hesabu za kidato cha 3 na 4 zilikuwemo nyingi.
 
Mm baada ya kuona dogo anayeshinda kwenye madubu amepata div 2 ya pcm nikaamua kutafuta papers za mitihani hiyo.

Nikakuta kwamba mwaka huu mtihani wa physics F6, definition tu ilipewa marks 5. Halafu hesabu za kidato cha 3 na 4 zilikuwemo nyingi.
Mkuu sema kweli!? Ninaomba utuletee PDF ya hyo pper hapa ili turud na mengi zaid this is more than a scandal...!!
 
Udom course gani bado hazijajaza? Nenda course za Afya au Computer uone ilivyochallenge kupata nafasi hapo za degree
 
Mkuu sema kweli!? Ninaomba utuletee PDF ya hyo pper hapa ili turud na mengi zaid this is more than a scandal...!!
Nimesafiri kidogo mkuu nikirudi nitaziweka. Lkn kama kuna mwanaJF ana access atuwekee
 
Mm baada ya kuona dogo anayeshinda kwenye madubu amepata div 2 ya pcm nikaamua kutafuta papers za mitihani hiyo.

Nikakuta kwamba mwaka huu mtihani wa physics F6, definition tu ilipewa marks 5. Halafu hesabu za kidato cha 3 na 4 zilikuwemo nyingi.
Ndo maana, nilitaka nishangae. Yaani A za Physics kama uchafu
 
Back
Top Bottom