MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Basi itoshe kusema kuna upanuzi wa goli. UDSM warudishe marticulation paper ili kuchuja watu.Mm baada ya kuona dogo anayeshinda kwenye madubu amepata div 2 ya pcm nikaamua kutafuta papers za mitihani hiyo.
Nikakuta kwamba mwaka huu mtihani wa physics F6, definition tu ilipewa marks 5. Halafu hesabu za kidato cha 3 na 4 zilikuwemo nyingi.
Hata Prof Ndalichako wa siasani ni mwepesi kuliko yule wa NECTA.mitihani ilikuwa rahisi sana, ngoja nitafute papers hizo
Wakiwapa hiyo matriculation wasahihishe NECTA na walimu wao wa sekondari itapigwa tu. Tatizo ni msahihishaji na maelekezo tola kwammikiki.Basi itoshe kusema kuna upanuzi wa goli. UDSM warudishe marticulation paper ili kuchuja watu.
Wanafundishwa kufaulu na sio kitu kingineWakati nikiwa likizo nyumbani nilitembelewa na kijana mmoja aliyemaliza Form 6 akiwa na DIV2 akiniomba nimsaidie kupata chuo Marekani ninakofanyia kazi zangu. Nikamfanyia usaili wa haraka haraka wa Calculus na Physics nikamkuta ni mweupe kabisa. Inawezekana mitihani ya siku hizi inahusu maswali basic tu au ni maswali yaliyokwisha jirudia sana kiasi kuwa wanafunzi wanakuwa wanajiandaa kwa kutumia past papers tu bila kuwa na deep understanding ya subject matter.
Mkuu ni siasa chafu.mitihani ilikuwa rahisi sana, ngoja nitafute papers hizo
Wanapewa majibu mkuu na wanaachiwa wasaidianeWanafundishwa kufaulu na sio kitu kingine
Hii nchi haiaminiki[emoji23]Ila imenishangaza kusikia kuwa Hesabu imeongoza kwa ufaulu kidato cha sita au niseme masomo ya saiyansi ndio yameongoza. Nikawa najiuliza, ni ile ile mitihani ya PCB/M tulikuwa tunafanya sisi wahenga au kuna mabadiliko?
Umesema kweli...vibomu ruksaHii nchi haiaminiki[emoji23]
Matokeo pia yanaweza tu kumodifaiwaUmesema kweli...vibomu ruksa
Hivi Mwanafunzi aliyesoma CBG na ana Div III point 13 anaweza kusoma Bachelor Degree na kupata mkopo wa HESLB?
Ni kweli, wametengenezewa mazingira ya kufaulu kiurahisi pia NECTA wanalegezaWakati nikiwa likizo nyumbani nilitembelewa na kijana mmoja aliyemaliza Form 6 akiwa na DIV2 akiniomba nimsaidie kupata chuo Marekani ninakofanyia kazi zangu. Nikamfanyia usaili wa haraka haraka wa Calculus na Physics nikamkuta ni mweupe kabisa. Inawezekana mitihani ya siku hizi inahusu maswali basic tu au ni maswali yaliyokwisha jirudia sana kiasi kuwa wanafunzi wanakuwa wanajiandaa kwa kutumia past papers tu bila kuwa na deep understanding ya subject matter.
PIA MITIHANI INAVUJA SANA, UNAKUTA HADI GOVERNMENT SCHOOLS soft copy zinawafikiaMatokeo ya kidato cha sita 2023. Karibu shule zote daraja lenye idadi kubwa ya waliofanya vizuri ni daraja la kwanza ( Division one). Kwa matiki hiyo mambo yafuatayo yanaweza kujitokeza;
1. Kama vyuo vikuu vitachukua wanafunzi kulingana na uwezo wake kama miaka ya nyuma ni dhahili kuwa wanafunzi watakao ingia vyuo vikuu vyote vya umma na binafsi watakuwa waliofaulu kwa daraja la kwanza tu.
2. Kama vyuo vitalazimika kuongeza idadi ya wanafunzi pasipo kwenda sambamba na kuongeza miundo mbinu yake na kuajiri wahadhiri wengine hasa ukizingatia muda haitoshi kulingana na kuanza mwaka wa masomo Oktoba ni dhahili itasababisha kushuka kwa ubora wa elimu itakayotolewa.
3. Tutarajie shule za binafsi kuanza kukosa wanafunzi. Kwani kwa matokeo ya mwaka huu ufaulu umekuwa wa kufanana kwa shule zote, zile za vipaji maalumu, shule za binafsi na hata shule za bweni kawaida na zile za kata Zipo shule za bweni kawaida hazijatoa hata wanafunzi wa daraja la tatu au la pili kabisa. Kwa sababu hiyo wazazi hawataona sababu ya kuwapeleka watoto wao shule za kulipia wakati ufaulu hautofautiani na shule za bure za umma.
Ni wakati wa serikali kujipanga sasa na kukabiliana na ongezeko la ufaulu huu mkubwa kwa kuwa na mipango ya muda mrefu. Kwa mfano kuchelewesha wanafunzi wa kidato cha tano kufungua shule Julai kama ilivyozoeleka na kusongeza mpaka Agosti ni ushahidi wa waziri kuwa serikali haina mipango ya muda mrefu. Huu siyo wakati wa kujenga madarasa kwani walitakiwa kuelewa mapema kuhitajika kwa madarasa.
Wataalamu wao wa Chuo cha Mipango Dodoma wanatakiwa kutumika mapema kuepusha uzembe wa aina hii.
Hahaha...Serikali ni lazima daily ijue ni watu wangapi wamejamiiana na matokeo yatakuaje how many babies to be born and when for future planning.
We hutaki ziwafikiePIA MITIHANI INAVUJA SANA, UNAKUTA HADI GOVERNMENT SCHOOLS soft copy zinawafikia
Muda huu nimetoka kupiga viwili chap nikaingia jf kuperuz kdogo halafu nilaleHahaha...
Ujue kwa Tz hilo suala la kupeana utamu ni kama chakula, watu wanafanya almost daily
Makamari ya kichina Yale yako Kila mahaliMadubu ni nn?
Hata Mimi nashangaa.Ndo maana, nilitaka nishangae. Yaani A za Physics kama uchafu
Na hili ndio tatizo kubwa , watu wanajipanga kufaulu tu mitihani sio kuelewa masomo .Wakati nikiwa likizo nyumbani nilitembelewa na kijana mmoja aliyemaliza Form 6 akiwa na DIV2 akiniomba nimsaidie kupata chuo Marekani ninakofanyia kazi zangu. Nikamfanyia usaili wa haraka haraka wa Calculus na Physics nikamkuta ni mweupe kabisa. Inawezekana mitihani ya siku hizi inahusu maswali basic tu au ni maswali yaliyokwisha jirudia sana kiasi kuwa wanafunzi wanakuwa wanajiandaa kwa kutumia past papers tu bila kuwa na deep understanding ya subject matter.