Dogo anashinda kwenye madubu!!! Halafu katungua div 2 !!! Asee nimecheka sana .Mm baada ya kuona dogo anayeshinda kwenye madubu amepata div 2 ya pcm nikaamua kutafuta papers za mitihani hiyo.
Nikakuta kwamba mwaka huu mtihani wa physics F6, definition tu ilipewa marks 5. Halafu hesabu za kidato cha 3 na 4 zilikuwemo nyingi.
Ni wakati Sasa vijana waingie vyuo vya kati tupate mafundi wa kutoshaMatokeo ya kidato cha sita 2023. Karibu shule zote daraja lenye idadi kubwa ya waliofanya vizuri ni daraja la kwanza ( Division one). Kwa matiki hiyo mambo yafuatayo yanaweza kujitokeza;
1. Kama vyuo vikuu vitachukua wanafunzi kulingana na uwezo wake kama miaka ya nyuma ni dhahili kuwa wanafunzi watakao ingia vyuo vikuu vyote vya umma na binafsi watakuwa waliofaulu kwa daraja la kwanza tu.
2. Kama vyuo vitalazimika kuongeza idadi ya wanafunzi pasipo kwenda sambamba na kuongeza miundo mbinu yake na kuajiri wahadhiri wengine hasa ukizingatia muda haitoshi kulingana na kuanza mwaka wa masomo Oktoba ni dhahili itasababisha kushuka kwa ubora wa elimu itakayotolewa.
3. Tutarajie shule za binafsi kuanza kukosa wanafunzi. Kwani kwa matokeo ya mwaka huu ufaulu umekuwa wa kufanana kwa shule zote, zile za vipaji maalumu, shule za binafsi na hata shule za bweni kawaida na zile za kata Zipo shule za bweni kawaida hazijatoa hata wanafunzi wa daraja la tatu au la pili kabisa. Kwa sababu hiyo wazazi hawataona sababu ya kuwapeleka watoto wao shule za kulipia wakati ufaulu hautofautiani na shule za bure za umma.
Ni wakati wa serikali kujipanga sasa na kukabiliana na ongezeko la ufaulu huu mkubwa kwa kuwa na mipango ya muda mrefu. Kwa mfano kuchelewesha wanafunzi wa kidato cha tano kufungua shule Julai kama ilivyozoeleka na kusongeza mpaka Agosti ni ushahidi wa waziri kuwa serikali haina mipango ya muda mrefu. Huu siyo wakati wa kujenga madarasa kwani walitakiwa kuelewa mapema kuhitajika kwa madarasa.
Wataalamu wao wa Chuo cha Mipango Dodoma wanatakiwa kutumika mapema kuepusha uzembe wa aina hii.
Ongea wewe mkuu. Nimesema toka mwanzo hii mitihani hamna kitu watu wanabisha.Wakati nikiwa likizo nyumbani nilitembelewa na kijana mmoja aliyemaliza Form 6 akiwa na DIV2 akiniomba nimsaidie kupata chuo Marekani ninakofanyia kazi zangu. Nikamfanyia usaili wa haraka haraka wa Calculus na Physics nikamkuta ni mweupe kabisa. Inawezekana mitihani ya siku hizi inahusu maswali basic tu au ni maswali yaliyokwisha jirudia sana kiasi kuwa wanafunzi wanakuwa wanajiandaa kwa kutumia past papers tu bila kuwa na deep understanding ya subject matter.
Hili ndipo tatizo la mitihani ya Multiple choice!!!Matokeo ya kidato cha sita 2023. Karibu shule zote daraja lenye idadi kubwa ya waliofanya vizuri ni daraja la kwanza ( Division one). Kwa matiki hiyo mambo yafuatayo yanaweza kujitokeza;
1. Kama vyuo vikuu vitachukua wanafunzi kulingana na uwezo wake kama miaka ya nyuma ni dhahili kuwa wanafunzi watakao ingia vyuo vikuu vyote vya umma na binafsi watakuwa waliofaulu kwa daraja la kwanza tu.
2. Kama vyuo vitalazimika kuongeza idadi ya wanafunzi pasipo kwenda sambamba na kuongeza miundo mbinu yake na kuajiri wahadhiri wengine hasa ukizingatia muda haitoshi kulingana na kuanza mwaka wa masomo Oktoba ni dhahili itasababisha kushuka kwa ubora wa elimu itakayotolewa.
3. Tutarajie shule za binafsi kuanza kukosa wanafunzi. Kwani kwa matokeo ya mwaka huu ufaulu umekuwa wa kufanana kwa shule zote, zile za vipaji maalumu, shule za binafsi na hata shule za bweni kawaida na zile za kata Zipo shule za bweni kawaida hazijatoa hata wanafunzi wa daraja la tatu au la pili kabisa. Kwa sababu hiyo wazazi hawataona sababu ya kuwapeleka watoto wao shule za kulipia wakati ufaulu hautofautiani na shule za bure za umma.
Ni wakati wa serikali kujipanga sasa na kukabiliana na ongezeko la ufaulu huu mkubwa kwa kuwa na mipango ya muda mrefu. Kwa mfano kuchelewesha wanafunzi wa kidato cha tano kufungua shule Julai kama ilivyozoeleka na kusongeza mpaka Agosti ni ushahidi wa waziri kuwa serikali haina mipango ya muda mrefu. Huu siyo wakati wa kujenga madarasa kwani walitakiwa kuelewa mapema kuhitajika kwa madarasa.
Wataalamu wao wa Chuo cha Mipango Dodoma wanatakiwa kutumika mapema kuepusha uzembe wa aina hii.
Kwenye unaibu PS hakuna la maana. Huku alikuwa big boss, kule yuko chini ya mtu bila mamlakaDR. Msonde enzi zake akiwa Katibu Mtendaji wa NECTA angesema matumizi ya vishikwambi kwa walimu yamechangia matokeo mazuri kwa vijana wetu mwaka huu. Yule alikuwa anajuwa kucheza na furusha akalamba unaibu Katibu Mkuu asubuhi tu mapema.
angalia eti huu ni mtihani wa form six! Pathetic, nani atashindwa paper kama hiiWakati nikiwa likizo nyumbani nilitembelewa na kijana mmoja aliyemaliza Form 6 akiwa na DIV2 akiniomba nimsaidie kupata chuo Marekani ninakofanyia kazi zangu. Nikamfanyia usaili wa haraka haraka wa Calculus na Physics nikamkuta ni mweupe kabisa. Inawezekana mitihani ya siku hizi inahusu maswali basic tu au ni maswali yaliyokwisha jirudia sana kiasi kuwa wanafunzi wanakuwa wanajiandaa kwa kutumia past papers tu bila kuwa na deep understanding ya subject matter.
You're very true.Wakati nikiwa likizo nyumbani nilitembelewa na kijana mmoja aliyemaliza Form 6 akiwa na DIV2 akiniomba nimsaidie kupata chuo Marekani ninakofanyia kazi zangu. Nikamfanyia usaili wa haraka haraka wa Calculus na Physics nikamkuta ni mweupe kabisa. Inawezekana mitihani ya siku hizi inahusu maswali basic tu au ni maswali yaliyokwisha jirudia sana kiasi kuwa wanafunzi wanakuwa wanajiandaa kwa kutumia past papers tu bila kuwa na deep understanding ya subject matter.
Aisee what’s this? Ni mtihani wa mtu wa advance huu?angalia ei huu n mtihani wa form six! Pathetic, nani atashindwa paper kama hii
We nenda sua kasome kozi ya mifugo au kilimo utatoboaNaomba ushauri course gan ya kwenda ,nina division one ya 8 nimesoma CBG
Hakuna necta nyepesi Wala kuvuja kwa mtihani wa acsee, watu wanapiga kaziHata Mimi nashangaa.
Enzi zetu kulikuwa na watabe kweli kweli ila waliambulia C [emoji1787]na D
Anasahau vipi Mimi nimemaliza zaidi ya miaka 20 huko hadi leo nakumbuka Archimedes principles na mengineyo yeye anasahau vipi ?
✍️
Labda all kuwa HGE AU HKL!!! tusidanganyane yaani PCM,PCB,PGM AU PMC ashindwe newton's third law of motion!!!!Wewe unasema hivyo Mimi Kuna dogo amemaliza degree mwaka huu alipomaliza 6 nikamuuliza kuhusu Newton 3rd Law of Motion hajui na hapo ana Div 2
✍️
Somehow that is what to expect when relying on Outdated Curriculum and Content while focusing more on teaching the HISTORY OF SUBJECTS........ History of Physics, History of Biology, History of Chemistry..... History-History-History.......... !!!! 👇👇👇👇👇Wakati nikiwa likizo nyumbani nilitembelewa na kijana mmoja aliyemaliza Form 6 akiwa na DIV2 akiniomba nimsaidie kupata chuo Marekani ninakofanyia kazi zangu. Nikamfanyia usaili wa haraka haraka wa Calculus na Physics nikamkuta ni mweupe kabisa. Inawezekana mitihani ya siku hizi inahusu maswali basic tu au ni maswali yaliyokwisha jirudia sana kiasi kuwa wanafunzi wanakuwa wanajiandaa kwa kutumia past papers tu bila kuwa na deep understanding ya subject matter.
Pepa za 90's na 80's ukiziona utajua mabro na madingi walikaa kitako kujibu pepa, pepa inakunjwa kisawasawa ukitoka na 1 au 2 we kweli ni guruKuna mdingi ni Daktari alinieleza mwaka wao 80s watu waliingia Muhimbili na Div III ya EED.... kama cut point Medicine...
Huo mtihani kuna vilaza wengi tu humu jf wanalamba zeroangalia eti huu ni mtihani wa form six! Pathetic, nani atashindwa paper kama hii