Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Yeye Magufuli alikuwa muadilifu na mfuata sheria?Kama ulikuwa mwadilifu na mfata sheria utamchukia Magufuli kwa lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye Magufuli alikuwa muadilifu na mfuata sheria?Kama ulikuwa mwadilifu na mfata sheria utamchukia Magufuli kwa lipi?
Jobless bana unabishana na watu walioajiriwaI think ww ndio ujui kitu kabisa
Ni mkataba wa Kada gani uliyonayo ambao unasema kila mwaka unatakiwa kuongezwa salary?
Lete evidence hapa sio unaongea Tu mambo ya hewani
Yeye akiwa siyo je ni justification ya wengine kutofuata sheria? Kwani na yeye si angeadhibiwa tu kama anavyoadhibu, kwanini watanzania hatumwadhibu kama alikuwa mvunja sheria? Moja kwa moja unaona matatizo tuliyonayo kama taifa, kwamba hatujui nini tunatakaYeye Magufuli alikuwa muadilifu na mfuata sheria?
Yule alikuwa shetani Ibilisi mwenyewe kabisa.Sasa kutokutoa ajira ndio ushetani? Kwani mpaka sasa Mama ameajira watu wangapi?
Mnajizima data sio! Hivi seriously hammjui aliyekufa na PhD fake akazikwa nayo Chato?Vyeti feki mnashida gani na marehemu Magufuli si mmeshalipwa michango yenu na Mama Samia?bado tu hamuamini hakuna ajira kwa wenye vyeti feki
Kifo cha magufuli ni furaha kuu ya watu wengi kwasababu yeye hakujali uhai wa wengine kana kwamba yeye damu yake ilikuwa mekyuri! Narudia tena bora alikufa yule mjahalana!Kila Nafsi itaonja mauti, usifurahie kifo cha mwenzio huju hujui kifo chako kitakuaje.
Adhabu yake ilikuwa ni kwenye box la kura, lakini akapora uchaguzi! Na pia kumbuka kwa katiba hii rais hashitakiwi maana yuko juu ya sheria.Yeye akiwa siyo je ni justification ya wengine kutofuata sheria? Kwani na yeye si angeadhibiwa tu kama anavyoadhibu, kwanini watanzania hatumwadhibu kama alikuwa mvunja sheria? Moja kwa moja unaona matatizo tuliyonayo kama taifa, kwamba hatujui nini tunataka
Jobless bana unabishana na watu walioajiriwa
Haujui kitu weweMnadhania kila mtu ni jobless
Anaoamua kumchagua rais ni wananchi hatupangiwi na nyie vyeti feki, wakwepa kodi, mafisadi, walamba asali,timu nyumbuHii nchi isirudie tena kumpa mtu kama magufuri uongozi
Jisemehe mwenyewe embu ni dhibitishie watu gani wengi waliofurahia kifo cha Magufuli zaidi yenu vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, wapigaji, wanasiasa matapeli,mimi binafsi sijafurahia kifo chake niambie ni watu gani wengi waliofurahia huwa hatupendi unafiki na uzushi kuwasingizia watu wengine kama nyie mlikuwa na chuki na Magufuli kwa maslahi yenu binafsi jitajeni wenyeweKifo
Kifo cha magufuli ni furaha kuu ya watu wengi kwasababu yeye hakujali uhai wa wengine kana kwamba yeye damu yake ilikuwa mekyuri! Narudia tena bora alikufa yule mjahalana!
Haujui kitu wewe
nadhani katika watu ambao wanatufelisha kuendelea ni hawa wafanyakazi unao wasema! Sababu wameendekeza rushwa na upigaji hawana huruma na rasilimali za nchi hii,!!Kwa ufupi sana JPM alitamani kuona Wafanyakazi nchi hii wanaishi kama mizuka, mizimu au mazombi.. hakuna ajuae ni kosa Gani haswa aliwahi kufanyiwa na watumishi wa nchi hii, yapo mambo ambayo mama amejitahidi angalau kuyarudisha lakini mengine inabidi mchakato au hata hekima tu, ngoja niwaonyeshe Machache,
1. Kupandisha Madaraja , kwa Mfano wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014, haikujulikana ni LINI, wangepanda Madaraja! Imagine Miaka 7, na hatimaye wakaja kupanda mwaka 2021! Baada ya mama kuingia madarakani! Just imagine
2. Nyongeza za kawaida za Kila mwaka ambazo zipo kisheria kabisa yeye alifuta! Tena Bila shaka hakutaka kusikia, haijafahamika mara moja ni kwanini!
3. Kazi maalum kwa walimu Mfano (kusahihisha mitihan ya taifa)
Walimu waliokuwa wakifanya Kazi iyo kabla ya JPM kuingia madarakani, mbali na kwamba walilipwa vizuri pia walikula chakula kizuri, lakini pia waandaaji walifanya kama kuwamotisha walimu kwa kuwapa kama utalii wa ndani, maana yule wa kigoma angeenda Tanga wa Tanga akaenda Tabora huko n.k...
Hii iliwafanya baadhi ya watu kufurahia na angalau kubadilisha mazingira!
Sasa Mzee baba alivyoingia akapiga marufuku akisema wa Tabora abaki Tabora na WA Mwanza abaki mwanza! Hakuishia hapo na malipo akapunguza! Akidai walimu hiyo ni kazi Yao, hivyo ikibidi wasilipwe chochote! Na Sasa kuanzia pale kazi ikawa Haina morali kwani kazi kubwa, malipo kidogo na masimango juu.
Mpaka tunakwenda mitamboni haikujulikana sababu haswa kwanini Mzee baba aliwachukia wafanyakazi kiasi hiki.
Banghi za kujificha sio njema!Kweli hatosahaulika hasa kwa wazazi wa ANZORY GWANDA
BEN SANANE
Na wale wa MKIRU
Unaweza kukumbukwa kwa mabaya pia yule alikuwa mkovu