Kwa ufupi Hayati Magufuli aliwachukia watumishi wa umma

Kwa ufupi Hayati Magufuli aliwachukia watumishi wa umma

I think ww ndio ujui kitu kabisa

Ni mkataba wa Kada gani uliyonayo ambao unasema kila mwaka unatakiwa kuongezwa salary?

Lete evidence hapa sio unaongea Tu mambo ya hewani
Jobless bana unabishana na watu walioajiriwa
 
Yeye Magufuli alikuwa muadilifu na mfuata sheria?
Yeye akiwa siyo je ni justification ya wengine kutofuata sheria? Kwani na yeye si angeadhibiwa tu kama anavyoadhibu, kwanini watanzania hatumwadhibu kama alikuwa mvunja sheria? Moja kwa moja unaona matatizo tuliyonayo kama taifa, kwamba hatujui nini tunataka
 
Sasa kutokutoa ajira ndio ushetani? Kwani mpaka sasa Mama ameajira watu wangapi?
Yule alikuwa shetani Ibilisi mwenyewe kabisa.
Kwa kweli waTz yatupasa kumshukuru sana muumba wetu mara kwa mara. Alitupusha na mateso hatari sn
 
Vyeti feki mnashida gani na marehemu Magufuli si mmeshalipwa michango yenu na Mama Samia?bado tu hamuamini hakuna ajira kwa wenye vyeti feki
Mnajizima data sio! Hivi seriously hammjui aliyekufa na PhD fake akazikwa nayo Chato?
Lile shetani lenu ndo mfano halisi wa vyeti feki
 
Kifo
Kila Nafsi itaonja mauti, usifurahie kifo cha mwenzio huju hujui kifo chako kitakuaje.
Kifo cha magufuli ni furaha kuu ya watu wengi kwasababu yeye hakujali uhai wa wengine kana kwamba yeye damu yake ilikuwa mekyuri! Narudia tena bora alikufa yule mjahalana!
 
Yeye akiwa siyo je ni justification ya wengine kutofuata sheria? Kwani na yeye si angeadhibiwa tu kama anavyoadhibu, kwanini watanzania hatumwadhibu kama alikuwa mvunja sheria? Moja kwa moja unaona matatizo tuliyonayo kama taifa, kwamba hatujui nini tunataka
Adhabu yake ilikuwa ni kwenye box la kura, lakini akapora uchaguzi! Na pia kumbuka kwa katiba hii rais hashitakiwi maana yuko juu ya sheria.
 
Kifo

Kifo cha magufuli ni furaha kuu ya watu wengi kwasababu yeye hakujali uhai wa wengine kana kwamba yeye damu yake ilikuwa mekyuri! Narudia tena bora alikufa yule mjahalana!
Jisemehe mwenyewe embu ni dhibitishie watu gani wengi waliofurahia kifo cha Magufuli zaidi yenu vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, wapigaji, wanasiasa matapeli,mimi binafsi sijafurahia kifo chake niambie ni watu gani wengi waliofurahia huwa hatupendi unafiki na uzushi kuwasingizia watu wengine kama nyie mlikuwa na chuki na Magufuli kwa maslahi yenu binafsi jitajeni wenyewe
 
Kwa ufupi sana JPM alitamani kuona Wafanyakazi nchi hii wanaishi kama mizuka, mizimu au mazombi.. hakuna ajuae ni kosa Gani haswa aliwahi kufanyiwa na watumishi wa nchi hii, yapo mambo ambayo mama amejitahidi angalau kuyarudisha lakini mengine inabidi mchakato au hata hekima tu, ngoja niwaonyeshe Machache,

1. Kupandisha Madaraja , kwa Mfano wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014, haikujulikana ni LINI, wangepanda Madaraja! Imagine Miaka 7, na hatimaye wakaja kupanda mwaka 2021! Baada ya mama kuingia madarakani! Just imagine

2. Nyongeza za kawaida za Kila mwaka ambazo zipo kisheria kabisa yeye alifuta! Tena Bila shaka hakutaka kusikia, haijafahamika mara moja ni kwanini!

3. Kazi maalum kwa walimu Mfano (kusahihisha mitihan ya taifa)
Walimu waliokuwa wakifanya Kazi iyo kabla ya JPM kuingia madarakani, mbali na kwamba walilipwa vizuri pia walikula chakula kizuri, lakini pia waandaaji walifanya kama kuwamotisha walimu kwa kuwapa kama utalii wa ndani, maana yule wa kigoma angeenda Tanga wa Tanga akaenda Tabora huko n.k...

Hii iliwafanya baadhi ya watu kufurahia na angalau kubadilisha mazingira!
Sasa Mzee baba alivyoingia akapiga marufuku akisema wa Tabora abaki Tabora na WA Mwanza abaki mwanza! Hakuishia hapo na malipo akapunguza! Akidai walimu hiyo ni kazi Yao, hivyo ikibidi wasilipwe chochote! Na Sasa kuanzia pale kazi ikawa Haina morali kwani kazi kubwa, malipo kidogo na masimango juu.

Mpaka tunakwenda mitamboni haikujulikana sababu haswa kwanini Mzee baba aliwachukia wafanyakazi kiasi hiki.
nadhani katika watu ambao wanatufelisha kuendelea ni hawa wafanyakazi unao wasema! Sababu wameendekeza rushwa na upigaji hawana huruma na rasilimali za nchi hii,!!
 
Back
Top Bottom