sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
sio mara ya kwanza wala ya pili wala ya tatu, ni mwendelezo wa huu ugonjwa wa akili unaoitwa dimentia unaomsumbua Biden.
ugonjwa huu umefanya mara kwa mara biden atetewe na media kwamba hakumaanisha alichosema bali alimaanisha kitu flani.
seriously, hiki alichokiongea ni nini
Tafsiri; "Vuta picha kwamba industry ya tumbaku ingekuwa na kinga dhidi ya malaya kushtakiwa" anamalizia na msisitizo ule wa "come on" 😂😂
hii sentensi hata haieleweki wala haina maana, ama raisi kaanza kuvuta cocaine ??
ugonjwa huu umefanya mara kwa mara biden atetewe na media kwamba hakumaanisha alichosema bali alimaanisha kitu flani.
seriously, hiki alichokiongea ni nini
Tafsiri; "Vuta picha kwamba industry ya tumbaku ingekuwa na kinga dhidi ya malaya kushtakiwa" anamalizia na msisitizo ule wa "come on" 😂😂
hii sentensi hata haieleweki wala haina maana, ama raisi kaanza kuvuta cocaine ??