Sijauona tena nadhani umeondolewaMkuu naomba huo uzi
Vip mkuu Kuna mtu kaibiwaaaa
Uyu nishapata ditel zake namvunjia mayai ya bundi kwenye kishundu☠️💀🦴huyu hapa anaitwa Peace Ibrahim kutoka Lushoto Tanga
Hahaaa. Ila we jamaa!!Alarm ya kwanza ilikuwa ni pale alipokuambia alivamiwa na vibaka akaibiwa nauli. Humu kumejaa majambazi tu, hangaikeni kuwasaidia wahitaji mnaowaona huko mitaani kwenu. Achaneni na hizi roborts. Kila siku mnalizwa humu ila hamjifunzi tu🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Kuna watu ni pretenders balaa. Wewe haujui mkuu..Tunatofautiana.
Mimi kwa kuona hiyo sura tu, tayari ningejua huyo mtu siyo.
Humu kuna majambazi mkuu😂😂😂😊
huyu hapanaona wewe ndo chief Godlove
Mkuu soma ule uzi unaitwa
"NATAFUTA MGANGA KONKI "
ILi iwe fundisho kwa uyo kijana na ajue dunia sio ya kuchezea kirahisi ivyo
kamedakwa kama kifarangaHivi mle kuna konekisheni ya fundi haswaa?
huyooooo halo kaka Jambazi na simu alizoiba,ile kubwa kanunua kaki nnekamedakwa kama kifaranga
Alikula hata mbususu nzuri kweli au ndio anaenda kinyea debe na utamu wakehuyooooo halo kaka Jambazi na simu alizoiba,ile kubwa kanunua kaki nne
ina maana wewe ni kipofu?Unampa pole kumbe naye ni walewale, kama kweli kaibiwa atuwekee picha ya mtuhumiwa hapa na ID anayoitumia.
ID yake Kababrahina maana wewe ni kipofu?
Mbna km anapaka mkorogo? LOLHuyu kijana ni tapeli kweli, nilimpigia simu akaja nikamwona tukapanga nimpe kazi , baada nilipotaka kuongea na wazazi na kuonana anayeishi nae akaingia mitini.
nipigie tuongee , nikueleze zaidi yaliyonitokea na mimi kwa huyu kijana cause twaweza kumkamata tukishirikiana.
Kazi kama hizo mpe mtu unayemjua au awe na wazamini na awe na barua ya kutoka serikali ya mtaa.Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
AiseeID yake Kababrah