Ni tag kwenye huo uzi mzee😜kuna kakitu nataka kufanya "imeibiwa mauzo ya wiki nzima" sahivi nafyeka nyasi tuMkuu soma ule uzi unaitwa
"NATAFUTA MGANGA KONKI "
ILi iwe fundisho kwa uyo kijana na ajue dunia sio ya kuchezea kirahisi ivyo
🥶🤔Sura sioTunatofautiana.
Mimi kwa kuona hiyo sura tu, tayari ningejua huyo mtu siyo.
Mkuu mjini umeingia lini? Unaleta ''remba-remba'' dunia ya leo? Huijui dunia wewe!Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Haya. Mwingine huyu hapa. Atakuliza tena mara ya pili.Mkuu soma ule uzi unaitwa
"NATAFUTA MGANGA KONKI "
ILi iwe fundisho kwa uyo kijana na ajue dunia sio ya kuchezea kirahisi ivyo
Halfu kuna member mwingine amemwambie asome uzi wenye kichwa ''natafuta mganga konki'' ili arekebishe makosa aliyofanya. Asipokaa vizuri anapigwa tena.Alivyokwambia kavamiwa na vibaka tu, hiyo ilitakiwa kuwa red flag namba uno.
APesa haikai sehemu moja na MJINGA/ WAJINGA.
Hivi utaokotaje mtu tu huna hata pa kumshikia alafu unampa biashara ya pesa aisimamie.Acheni ujinga fanyeni vitu kiprofessional.
Alafu umekuja hapa JF kuthibitisha ulivyo mjinga😂😂😂😂.
Haya mjinga siku nyingine kabla ya kuanzisha biashara au kufanya chochote katika maisha yako hata ukitaka kwenda dukani ingia kwanza JF ulizia upewe muungozo.Ukitaka kusafiri vilevile uje uulize A-Z usaidiwe akili na maarifa maana wewe huna hivyo vitu.
📌📌📌Hata ukitaka kula mbususu njoo JF kisima cha maarifa na ujuzi hutakosa msaada🤝
Vizuri mmemkamata! Mmemkuta na pesa au kashazitumia?huyooooo halo kaka Jambazi na simu alizoiba,ile kubwa kanunua kaki nne
.. Huna Ndugu, Mpaka unatafuta Mtu Baki wa Kuajiri ??...
nitafuteEbu
Ni tag kwenye huo uzi mzee😜kuna kakitu nataka kufanya "imeibiwa mauzo ya wiki nzima" sahivi nafyeka nyasi tu
Wewe uatibiwa tena waganga hawana uwezo wa kumleta mwizi wako Amini kwambanitafute
Wewe jamaa unaakili za HOMO HABILIS YAANI unaufahamu mdogo sana,sijajua level yako ya ELIMU ila ni huzuni nikikwambia kuwa wewe ni mzito sana kuelewa,kufanya maamuzi na mzito katika kufikiria sawasawa.Inaonekana wewe una akili sana na hujawahi kukosea maishani 🥶
Hivi Kwani embe unalikuta linafunza ndani ya konkwa na halina tobo?
A
Mimi nimeishia la pili pia hata sio homo habilisi mimi, ni zinja kabisa Raisi tu, unataka kusemaje?Wewe jamaa unaakili za HOMO HABILIS YAANI unaufahamu mdogo sana,sijajua level yako ya ELIMU ila ni huzuni nikikwambia kuwa wewe ni mzito sana kuelewa,kufanya maamuzi na mzito katika kufikiria sawasawa.
Alibaki 260kVizuri mmemkamata! Mmemkuta na pesa au kashazitumia?
usikariri Maisha wewe jiulize nimemkamata vpWewe uatibiwa tena waganga hawana uwezo wa kumleta mwizi wako Amini kwamba
Kesi imeendaje?Alibaki 260k
usikariri Maisha wewe jiulize nimemkamata vp
Utajifunza kupitia upumbavu wako. Mtu anayetaka kazi hawezi kuleta visingizio vya kishenzi.Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Wewe ndo pumbavu.Nilimtega akaingia say hiz yuko sero slender Bridge.Utajifunza kupitia upumbavu wako. Mtu anayetaka kazi hawezi kuleta visingizio vya kishenzi.
Niliingia ma we e yakoMkuu mjini umeingia lini? Unaleta ''remba-remba'' dunia ya leo? Huijui dunia wewe!