Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Ebu
Mkuu soma ule uzi unaitwa
"NATAFUTA MGANGA KONKI "
ILi iwe fundisho kwa uyo kijana na ajue dunia sio ya kuchezea kirahisi ivyo
Ni tag kwenye huo uzi mzee😜kuna kakitu nataka kufanya "imeibiwa mauzo ya wiki nzima" sahivi nafyeka nyasi tu
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Mkuu mjini umeingia lini? Unaleta ''remba-remba'' dunia ya leo? Huijui dunia wewe!
 
Alivyokwambia kavamiwa na vibaka tu, hiyo ilitakiwa kuwa red flag namba uno.
Halfu kuna member mwingine amemwambie asome uzi wenye kichwa ''natafuta mganga konki'' ili arekebishe makosa aliyofanya. Asipokaa vizuri anapigwa tena.
 
Vijana wwnzetu wengi niwa hovyo sana tena sana na ndo wanaongoza kwa kurudisha nyuma vijana wenzao

Mwaka namaliza chuo nikaja kitaa na mzuka wa kutafta pesa bas bana mzee akanikabidhi duka la hardware bas mm kama kijana nkatafta wale wanafunzi wenzangu niliosoma nao sec na primary wengne ni mainjinia na wengne ni wasimamizi wa miradi.

Bas bana nkawapata km 3 iv wakaja tufanye biashara huwezi amino wote nliwakopesha vifaa wakiniaminisha kwamba wakiripwa watanilipa na mm kwakua ni vijana wenzangu na nimesoma nao na najua bas nkawahamini.

Leo ni mwaka wa 5 sinalipwa zaidi ya million20 na kibaya zaidi tumekua maadui

Tangu apo sitak tena kusikia habar za kufanya kaz na vijana
 
Inaonekana wewe una akili sana na hujawahi kukosea maishani 🥶

Hivi Kwani embe unalikuta linafunza ndani ya konkwa na halina tobo?
Pesa haikai sehemu moja na MJINGA/ WAJINGA.

Hivi utaokotaje mtu tu huna hata pa kumshikia alafu unampa biashara ya pesa aisimamie.Acheni ujinga fanyeni vitu kiprofessional.

Alafu umekuja hapa JF kuthibitisha ulivyo mjinga😂😂😂😂.

Haya mjinga siku nyingine kabla ya kuanzisha biashara au kufanya chochote katika maisha yako hata ukitaka kwenda dukani ingia kwanza JF ulizia upewe muungozo.Ukitaka kusafiri vilevile uje uulize A-Z usaidiwe akili na maarifa maana wewe huna hivyo vitu.

📌📌📌Hata ukitaka kula mbususu njoo JF kisima cha maarifa na ujuzi hutakosa msaada🤝
A
 
Vijana wengi siku hizi hawataki kazi zilizonyooka.wanataka waishi Kwa janjajanja.hasa wa mikoani na vijijini.
Akikutapeli elfu 20 ye anaona kapata.wakati Ukute angepewa kazi ya malipo hata ya laki 2 Kwa mwezi akabadili Maisha.

Wanasababisha watu waaminifu wapate tabu maana nao hawataaminika.
 
Mkuu wewe ni kama mchangiaji mada wa sita unasema kuajiri Ndugu?
👉hivi Unazijua complications za kuajiri ndugu?
👉Hao ndugu wana qualifications ya kile unachotaka kuwapa kazi au kwenye biashara au kisa tu unataka uweke mtu wa karibu uweze kumpata
.. Huna Ndugu, Mpaka unatafuta Mtu Baki wa Kuajiri ??...
 
Inaonekana wewe una akili sana na hujawahi kukosea maishani 🥶

Hivi Kwani embe unalikuta linafunza ndani ya konkwa na halina tobo?
A
Wewe jamaa unaakili za HOMO HABILIS YAANI unaufahamu mdogo sana,sijajua level yako ya ELIMU ila ni huzuni nikikwambia kuwa wewe ni mzito sana kuelewa,kufanya maamuzi na mzito katika kufikiria sawasawa.
 
Wewe jamaa unaakili za HOMO HABILIS YAANI unaufahamu mdogo sana,sijajua level yako ya ELIMU ila ni huzuni nikikwambia kuwa wewe ni mzito sana kuelewa,kufanya maamuzi na mzito katika kufikiria sawasawa.
Mimi nimeishia la pili pia hata sio homo habilisi mimi, ni zinja kabisa Raisi tu, unataka kusemaje?
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Utajifunza kupitia upumbavu wako. Mtu anayetaka kazi hawezi kuleta visingizio vya kishenzi.
 
Back
Top Bottom