Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Hiyo picha iko wapi? Mbona mie sijaoiona jamani? Msaada tafadhaliHiyo picha inaleta vibe la mtu asiyeajirika....
Unataka umuongezee machungu au sioMkuu soma ule uzi unaitwa
"NATAFUTA MGANGA KONKI "
ILi iwe fundisho kwa uyo kijana na ajue dunia sio ya kuchezea kirahisi ivyo
Kweli kabisa watu tunasaka connection,wengine wananyea kambiUnalokotaje mtu mtandaoni unamuweka kwenye miamala? Wengi ni wapigaji na ndiyo wanasababisha watu walio na uhitaji wanakosa misaada.
Kahaba mmoja aje inbox tuyajengeHakika kaka wewe ndio mwenye kosa
Hakika nakuambia ndugu,
Kuna matapeli humu, kuna makahaba humu, kuna vibaka humu,
HOW COULD YOU JUST TRUST SOMEONE SO EASILY??
Unawezaje mpa mtu kazi tena ya uwakala ilihali humjuiKuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Sasa ukiwa na biashara mbili au zaidi unazifanyia zote, si lazima uajiri msaidizi.Duh, pole Kwa kupigwa. Siku hizi ni ngumu kusaidiana humu, Bora umpatie pesa akajifie mwenyewe kuliko kumkabidhi biashara.
Hiyo picha iko wapi? Mbona mie sijaoiona jamani? Msaada tafadhali
Asipokusikiliza hapa basi..!! 😹Hakika kaka wewe ndio mwenye kosa
Hakika nakuambia ndugu,
Kuna matapeli humu, kuna makahaba humu, kuna vibaka humu,
HOW COULD YOU JUST TRUST SOMEONE SO EASILY??
Mtoa mada katupea tu attention nasio katapeliwa. Uwongo uwongo uwongo.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Yaani mtu azime simu alafu umwami
hii so chai ndugu,ymenikutaChai zimekuwa nyingi tunakimbilia kutoa pole na misaada, kama ni kweli mkuu pole sana mkuu wakati majukwaa yanatumika kutukwamua vijana kiuchumi na kupata fursa za ajira wengine wanazitumia kwa wizi na utapeli wengine wanadiriki kusema mtu fulani kafariki ili wachangiwe kumbe ni ID yake naomba uongozi wa JF kwa ujumla na content controllers mtusaidie hivi vitendo vitakidhiri visiposhughulikiwa, JF itageuka uwanja wa matapeli na wezi
Alisha ku alert lakini hukutaka kuamini kuwa huyo jamaa sio muaminifu pole sana ni mwenyeji wa wapi mkuu huyo kijana.Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Mkuu huyo kijana kama alitokea humu JF weka ID yake tumjue ni hatua moja mbele ya kupatikana kwakeKuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.