Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Mtoa mada katupea tu attention nasio katapeliwa. Uwongo uwongo uwongo.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Yaani mtu azime simu alafu umwamini
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Unawezaje mpa mtu kazi tena ya uwakala ilihali humjui
 
Duh, pole Kwa kupigwa. Siku hizi ni ngumu kusaidiana humu, Bora umpatie pesa akajifie mwenyewe kuliko kumkabidhi biashara.
Sasa ukiwa na biashara mbili au zaidi unazifanyia zote, si lazima uajiri msaidizi.
Kijana mwizi mpuuzi tu huyo lakini haimaanishi kuwa watu wote ni wezi.
 

Attachments

  • IMG-20240620-WA0000.jpg
    IMG-20240620-WA0000.jpg
    12 KB · Views: 2
Hakika kaka wewe ndio mwenye kosa

Hakika nakuambia ndugu,

Kuna matapeli humu, kuna makahaba humu, kuna vibaka humu,

HOW COULD YOU JUST TRUST SOMEONE SO EASILY??
Asipokusikiliza hapa basi..!! 😹
 
Hivi kweli kabisa unamuokota mtu humu unaenda kumuamini na kumkabidhi kitengo cha pesa?? 😹😹😹

Huko piem wanakula afu tatu hawaogopi itakuwa huko uraiani awwweehh pole sana 🤣
 
Mtoa mada katupea tu attention nasio katapeliwa. Uwongo uwongo uwongo.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Yaani mtu azime simu alafu umwami

Chai zimekuwa nyingi tunakimbilia kutoa pole na misaada, kama ni kweli mkuu pole sana mkuu wakati majukwaa yanatumika kutukwamua vijana kiuchumi na kupata fursa za ajira wengine wanazitumia kwa wizi na utapeli wengine wanadiriki kusema mtu fulani kafariki ili wachangiwe kumbe ni ID yake naomba uongozi wa JF kwa ujumla na content controllers mtusaidie hivi vitendo vitakidhiri visiposhughulikiwa, JF itageuka uwanja wa matapeli na wezi
hii so chai ndugu,ymenikuta
 

Attachments

  • IMG-20240620-WA0000.jpg
    IMG-20240620-WA0000.jpg
    12 KB · Views: 2
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Alisha ku alert lakini hukutaka kuamini kuwa huyo jamaa sio muaminifu pole sana ni mwenyeji wa wapi mkuu huyo kijana.
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Mkuu huyo kijana kama alitokea humu JF weka ID yake tumjue ni hatua moja mbele ya kupatikana kwake
 
Back
Top Bottom