Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Siukumbuki labda nikutane naoHii kali sasa 🤣🤣🤣 nipe link nikavunje mbavu huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siukumbuki labda nikutane naoHii kali sasa 🤣🤣🤣 nipe link nikavunje mbavu huko.
Mkuu ni yupi huyo memba! Ule uzi wa Mjasiri na Mali au?Kuna mwingine sijui ni jana au juzi kaleta uzi kuwa member mwenzetu fulani amefariki msiba uko sehemu fulani.
Baadae watu wanatoa pole si moderator wakagundua marehemu na aliyeleta habari ni mtu mmoja ikabidi waunganishe zile I'd 😂😂😂
sitarudia tena ,nilijua tunainuana kumbe tofautiDuh, pole Kwa kupigwa. Siku hizi ni ngumu kusaidiana humu, Bora umpatie pesa akajifie mwenyewe kuliko kumkabidhi biashara.
Ndio ila jamaa ni kama alikuwa ajafumbuka mimi pesa kumuamin mtu ngumuAlianza kulete vipengele sana...hiyo ilikuwa inatosha kabisa kupiga chini...nauli siyo ishu
Ukute naye alikuwa ana commenye kwenye uzi kwa ID nyingineKuna mwingine sijui ni jana au juzi kaleta uzi kuwa member mwenzetu fulani amefariki msiba uko sehemu fulani.
Baadae watu wanatoa pole si moderator wakagundua marehemu na aliyeleta habari ni mtu mmoja ikabidi waunganishe zile I'd 😂😂😂
Sema na wewe unazingua, yani unambeba mtu humu mitandaoni humjui vizuri unaenda kumweka kwenye miamala?
Hamna cha kaka wa marehemu bali ni mtu mmoja alikua na account 2 huku jamiiforum hivyo akatumia akaunt ambayo haitumii sana kuzusha kifo chake kupitia account yake nyingine😂😂😂 kwamba kaka wa marehemu alikuwa anjua id ya mdogo wake duh alikosa kutumia akili kabisa
Ili apete pesa ya mchango hakufikilia kwamba watu wanaweza kwendaHamna cha kaka wa marehemu bali ni mtu mmoja alikua na account 2 huku jamiiforum hivyo akatumia akaunt ambayo haitumii sana kuzusha kifo chake kupitia account yake nyingine
Sijaona alipokosea huyu mdau sababu hajafanya naye biashara au kazi humu mtandaoni bali kwenye mazingira.yakuonana na tayari ana taarifa zake kama majina na picha halisi.Kuna mwingine sijui ni jana au juzi kaleta uzi kuwa member mwenzetu fulani amefariki msiba uko sehemu fulani.
Baadae watu wanatoa pole si moderator wakagundua marehemu na aliyeleta habari ni mtu mmoja ikabidi waunganishe zile I'd 😂😂😂
Sema na wewe unazingua, yani unambeba mtu humu mitandaoni humjui vizuri unaenda kumweka kwenye miamala?
Hao wanaonekana kama mchele mchele ndiyo huwa hatari zaidi kwenye uhalifu!!Mbona mtu mwenyewe anaonekana mchele mchele?
Asante sana ila nimejifunzaHuyu jamaa niliona tangazo lake humu aliandika gazeti refu la kutafuta ajira. Duh pole mkuu kwa kuibiwa,watu sio waaminifu kabisa
Tatizo atakamatwa akiwa hana kitu au kama ni mwerevu huwezi kumpataSijaona alipokosea huyu mdau sababu hajafanya naye biashara au kazi humu mtandaoni bali kwenye mazingira.yakuonana na tayari ana taarifa zake kama majina na picha halisi.
Unafikiri huyu kijana hatopatikana au hafahamiki kwa mleta uzi?, huyu kijana ni rahisi sana kukamatwa ikizingatiwa JF kuna member karibu kila sehwmu ya hii nchi.
Biashara za mtandaoni ndio zakufanya na member walio verified, hili mimi ni shahidi maana nafanya kazi nyingi na member wa huku huku JF.
Af ule uzi sioni tena wa msibaTatizo atakamatwa akiwa hana kitu au kama ni mwerevu huwezi kumpata