Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kudeal naye ni jambo jingine na kumtia nguvuni ni jambo jingine pia.Hakikisha unadili nae ulalo ulalo
vijana wamekuwa matapeli sana siku hizi
usimwachie aisee hakikisha anaenda segedance
Mleta mada hajaainisha kama alikuwa na particulars sahihi za mhusika.