Kwa ukatili nilioufanya kwa huyu paka, naomba tu Mungu unisamehe

Kwa ukatili nilioufanya kwa huyu paka, naomba tu Mungu unisamehe

Nikiwa zangu nimetulia na familia yangu chini ya mti hapa nyumbani akaja paka na mwanae wakakaa pembeni yetu kama kawaida kwa paka wanaoishi vizuri na binadamu hawaogopi hata wanaweza kukuchezea kama kuku tupia mguu hivi

Basi bhana yule paka mdogo sijui ni shetani gani alimuingia ghafla akakirukia kifaranga cha kuku kilichokuwa kimejikunyata kwa ugonjwa, akakibugia kichwa mdomoni, kifaranga kikaanza kufurukuta,

Nikampigia kelele nikimaanisha amwachie yeye kakimbia nae shambani, nikamfuata huko huko, sikutaka kumuonesha uso wa kukasirika nikambembeleza akamwachia ila amemla kichwa

Nikamwita taratibu mpaka akaingia ndani, nikafunga mlango na dirisha, nikaenda kuchukua kipisi cha nondo, nilichomfanyia Mungu tu anisamehe maana hayupo tena duniani,

Kama umewahi fanya ukatili kwa myama yoyote na wewe tubu hii dhambi kwani ni dhambi kama dhambi zingine.
R.I.P. paka.Ila vipigo vingine ni vya kijitkia
 
Kuna mwamba alimfungia kwenye wavu akamwagia mafuta hadi akalowana chepechepe halafu manyoya yake ndo yalikuwa kuni
 
Utotoni tulikuwa tunawamwagia mafuta ya taa na tunawasha kiberiti. Anavyofurukuta kufa tunaona raha na tunasema paka ana roho saba .
 
Wanasema hakufi haraka
Hakuna mimi shahidi

Mpige kichwani hata na gongo au ubao mzito analala kimya dakika tu usimtwange kiunoni au mbavuni winda kichwa
Na dawa yake shika nondo halafu itia nyau nyau mrushie kanyama hata Kasamaki
akiwa ana concentrate kula mtandike kichwani hiyo ndio dawa ya paka mwizi au paka Kero kuondokana naye for good
 
Walikuwa wanakula Sana kuku wangu nikafanya maamuzi ya sumu asubuhi niliwakuta wamelala wanapepeta tu shenzi zao
 
Utotoni tulikuwa tunawamwagia mafuta ya taa na tunawasha kiberiti. Anavyofurukuta kufa tunaona raha na tunasema paka ana roho saba .
Kuna mmoja walimfungia ndani paka wa jirani wakammwagia mafuta ya taa,wakamtia kiberiti halafu wakamuachia,

Paka alikimbilia kwao kwenye migomba[emoji23][emoji23]. Migomba iliwaka lipaka likawa linatapatapa tu wakamzima lkn hakufa.
 
Paka sio wako umwite hadi ndani na aje??alafu paka akiwa na watoto alivyo mjanja eri eje kihasarahasara namna hiyo? Na nijuavyo paka mwizi hasogelei mtu karibu.na paka akishajua kaharibu anavyo kimbia humuoni kutwa nzima.
Broo hii chai
Niliyemuua ni mtoto wa paka paka mkubwa hana shida yeye ni mpole
 
Nishaua na ninaua paka sana vipo visa vingi ila paka ninaoua wengi wanaingia ndani tena kwa kuvuta nyavu za dirisha la aluminium huwezi amini pakq anasukuma wavu pembeni anaingia anakula kilichopo anasepa sasa sikujua kwa muda mrefu ila kila nikija samaki wameliwa nashangaa kukuta nyavu imesukumwa pembeni kidogo dah🤔🤔🤔🤔

Siku moja nimetoka ferry na samaki nikawaandaa nikakaanga basi wameiva nimewafunika na wavu kwenye sufuria juu ya meza nikaenda kuoga ile natoka bafuni naona paka anakimbia nikamkimbiza akashindwa kutoka kwenye nyavu basi nikarudishia madirisha na milango nikamuacha acheze koridoni milango ya vyumba yote nikafunga yule paka akaanza kuvimba basi sikua na huruma nikaweka panga la mgongo alagu nikamalizia kichwa ndani ya dakika kama mbili mchezo ukawa umeisha mwingine nae aliingia alafu kumkurupusha akaanza kupanda kwenye pazia nikapiga panga nikamosa nikakata pazia dah nilijawa na hasira nikampa dozi nene nikamkata kata vipande nikamchemsha nikawapa mbwa wakala.
Jingine ni paka moja la mtaani baya hilo limekomaa nililikuta nileiba chapati za kumimina dah nina njaa sio mchezo basi nikawa naliita haliji siku limejichanganya nakula nje likaja nikachukua panga langu ndani nikaliita nilipe chakula ile limeleta shingo nikaweka upanga hapo hapo kichwa kikabaki yeye kawa anaruka ruka kama wacheza ngoma za asili ikawa mwisho wake sio siri nina damu nyingi za paka mikononi mwangu ila kati yao wote hakuna ambae hajanipiga tukio na kwa maisha yetu ya kibongo huwezi funga madirisha kisa paka nyumba inakua na hewa nzito .

Mbwa nao hawajakaa salama sana kuna siku nimerudi mtaani naskia kuna mbwa ana kichaa basi nikawaambia huyo kaisha nikaanza kumsaka nikamkuta sehemu kajificha kwenye gofu lenye vichaka ndani yake nikamfunika na kiroba cha simenti nikadaka kichwa nikamfunga cheni na mdomo nikapiga manati asilete ujeuri yule mbwa nilimfungia ndani mpka usiku mkali nikatoka nae nimefunga cheni kwenyw pikipiki taratibuu tunatembea nilipofika lami nikaikoka moto pikipiki mbwa alinuruzika from kibada njia ya kati to mnadani nikaenda kumtupa nyumba ya navy kuelekea tiper asubuhi watu wanauliza yuko wapi nawaambia nimemtupa baharini wanacheka tu.

Ninapenda wanyama ila nina roho mbaya sana kama mnyama naakua mateso kwetu zsinaga huruma japo nafuga mbwa ila nasemaga siku akiwa koko au mwizi imekula kwake hatoiona siku mpya
 
Back
Top Bottom