Kwa ukubwa wa usajili wanaoufanya Simba Sc kwa msimu wa 2024/2025, natangaza rasmi kurudisha kadi yangu ya Yanga na kuhamia Simba Sc

Kwa ukubwa wa usajili wanaoufanya Simba Sc kwa msimu wa 2024/2025, natangaza rasmi kurudisha kadi yangu ya Yanga na kuhamia Simba Sc

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Shalom shalom

Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga Sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.

Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.

Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.

Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.

Karibu Fei Toto.
 
Shalom shalom

Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.

Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.

Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.

Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.

Karibu Fei Toto.
Rage ajengewe sanamu.
 
Shalom shalom

Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.

Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.

Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.

Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.

Karibu Fei Toto.
Thiiimbaaaa 5imba.
 
Mnasemaga hivi hivi kila mwanzo wa msimu alafu baadae mnagawanyika, wengine wanasema Mangungu hafai na wengine wanasema Yanga anatumia Bahasha, ila mwanzo huwa mnakuwa na umoja sana wana Simba baada ya kujazwa na kuambiwa simba mmesajili mashine za hatari! Haya huwa mnajazwa na Ahmed Ally ila msimu ukianza sasa ........

Kinachofuata ni kufukuza makocha mmoja baada ya mwingine
 
Shalom shalom

Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.

Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.

Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.

Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.

Karibu Fei Toto.
Nakuomba usije ukakaa karibu na sumu ngao ya jamiii maana Gamondi yupo kwao halali anandaa mifumo tu
 
Shalom shalom

Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.

Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.

Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.

Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.

Karibu Fei Toto.
Hizi kelele zenu mwisho 5imba day baada ya hapo ni vilio na lawama
 
Kwa hili kosi dk ya nne tu kipindi cha kwanza,kona 39.Ni msako mwanzo ,mwisho .
 
Shalom shalom

Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.

Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.

Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.

Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.

Karibu Fei Toto.
Well hapokuwa umeongeza chumvi, simba wameanza kuwa serious na sajili wanazofanya, taratiibu watarudi kwenye ubora ila ukweli usio semwa ni kuwa watachukua muda sana
 
Usajili wa Simba naona hawajasajili watu wenye majina kiivo ila Kuna namna combination inayotengenezwa ni hatari kidogo,
Pale kiungo mshambuliaji akikaa mutale na Charles hapa nyuma yao akakaa muzamir basi zile machine za kufunga Fredy na Hiki Chuma kilichokuja zitatupia.

Tatizo Bado lipo hapa nyuma safu ya ulinzi ndo tunasubiri TUONE Sajili zake.
 
Shalom shalom

Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga Sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.

Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.

Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.

Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.

Karibu Fei Toto.
Matampi vp tayar amesaini?!
 
Shalom shalom

Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga Sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.

Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.

Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.

Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.

Karibu Fei Toto.
Muhimu tu ligi ikianza, visingizio visiwepo.
 
Shalom shalom

Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga Sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.

Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.

Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.

Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.

Karibu Fei Toto.
Mnasajili vifaa vipya kwa uongozi upi?, Yaani huhuu uliofeli msimu uliopita
 
Back
Top Bottom