Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 1,540
- 7,973
Na luc eymael pia.Rage ajengewe sanamu.
Manyani na mammbwa! Lqllp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na luc eymael pia.Rage ajengewe sanamu.
Makapuku wa utopolo mnazo akili?Akili za kikolo......Tabu iko pale pale
Unajipa wepesi WA kupata PRESSURE dogo!Shalom shalom
Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga Sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.
Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.
Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.
Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.
Karibu Fei Toto.
Tuna ihifadhi hiiShalom shalom
Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga Sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.
Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.
Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.
Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.
Karibu Fei Toto.
Ni vizuri umetaja wanaofanya usajili, baadae hatutaki kusikia Mangungu ajiuzulu.Shalom shalom
Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga Sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.
Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa simba Sc msimu huu ni tishio na inaonesha rasmi kuwa Simba sc imeamua kurudisha ufalme wake.
Makapi yanayoendelea kuondolewa Simba ni wazi kuwa Simba ijayo si kama ile ya miaka 3 iliyopita ambayo sisi kama Yanga tulikuwa tukinunua baadhi ya wachezaji wasaliti ambao wengine tumeshawasajili kutoka Simba msimu wa mwaka jana na mwaka huu ili waihujumu Simba.
Wanasimba naomba mnipokee mimi mwanachama mpya . Bora ya aibu kuliko fedheha ambayo ingenikuta mwakani endapo ningeendelea kuishabikia Yanga.
Karibu Fei Toto.
Tuliza kishundu kwanza, matusi ya nini?Na luc eymael pia.
Manyani na mammbwa! Lqllp
Mbumbumbu katika ubora wako.Hili wazo lingetolewa na wale wawili pekee wenye akili mlionao huko, labda ningelifikiria wazo hilo. Ila wewe kwa sababu hauna akili (haumo miongoni mwa hao 2) bora ukae kimya tu.
Mimi nilikuwa mwana Yanga mwenzenu ila uvumilivu umenishinda nimeamua kuwa mwanasimbaUnajipa wepesi WA kupata PRESSURE dogo!
Asante....nguvu moja.Karibu sana unyamani
Siku klabu yangu hii mpya ikichukua kombe uje uufufue huu uzi ...sawa?Tuna ihifadhi hii
SawaSiku klabu yangu hii mpya ikichukua kombe uje uufufue huu uzi ...sawa?
mkuu tukutane kwenye ngao mkuu ntakupiga 5Kwa simba hii.... hata mkaroge uchi kama mlivyozoea hamuwezi kuifunga
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa...
Mwaka huu ngao ni simba na yanga kweli ?mkuu tukutane kwenye ngao mkuu ntakupiga 5
Ndio na azam na coastal unionMwaka huu ngao ni simba na yanga kweli ?