Kwa Ule Mjengo wa Boniface Jacobo: Hakuna Polisi Mwenye Uwezo wa Kujenga

Kwa Ule Mjengo wa Boniface Jacobo: Hakuna Polisi Mwenye Uwezo wa Kujenga

Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma.
Polisi wa cheo kipi mkuu, Saidi Mwema ana mabasi ndio ashindwe kujenga nyumba hiyo kweli?
 
Wao wenyewe walifika pale lakini kimoyomoyo wanasema dah,huyu msenge kajenga..kwani hujawahi kuona unaendabmsibani halafu watu wanashangaa mjengo..? Tutafuteni hela.
Kama ule mjengo wa marehemu wa ofisi ya uhasibu aliyededi juzi kati hapa.
 
Back
Top Bottom