Uchaguzi 2020 Kwa Umati ule 'Kiduchu' wa kampeni ya Bernard Membe tena 'Kwao' Mkoani Lindi ni bora tu angeungana na Tundu Lissu na awe Mgombea Mwenza wake

Ukisikia kizibo basi ndio ninyi..kila siku mnalalamika humu jukwaani kuwa wazanzibar hawapewi haki zao..lkn kwa maslahi yenu unaongelea rais na makamu wake watoke bara!!!Kama sio upashukuna ni nini!

You're an 'Authentic' Idiot.
 
Hivi unajua katiba inasema nini kuhusu mgombea mwenza,au ndio mnaamua kutumalizia bando zetu kwa makusudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…