Kwa umri huu, huyu mtoto atakuwa na tatizo gani?

Kwa umri huu, huyu mtoto atakuwa na tatizo gani?

Gmox

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
319
Reaction score
478
Wasalaam ,

Msaada wa ushauri unahitajika kuokoa maisha ya mwanangu. Mimi ni kijana wa miaka kati ya 25 na 30 niko na familia ya watoto wawili ila mama yao tulishatengana miaka minne iliyopita kwahiyo watoto imebidi wakasome kwa bibi yao.

Tatizo langu ni hawa watoto mmoja wa kiume ana miaka 8 sasa na wa kike ana miaka 5 sasa ajabu ni kwamba huyu wa kiume amekuwa akimwingilia kimwili mdogo wake kiasi cha kutisha yaani ameonywa kwa fimbo mpaka shule lakini bado habadiliki na hatari ni kuwa imefikia kipindi mpaka anamuumiza na bibi yao yuko kimya anaogopa kunijuza.

Sasa hii ni mbaya kwaajili ya hatma ya mwanangu wa kike naombeni ushauri wakubwa.
 
Chukua huyo wa kiume uishi nae, huyo wa kike muache kwa bibi yake case closed halafu ukishi nae akileta upuuzi piga chapa sana bakora atakaa sawa tuu huo ndo umri wa kumuonyoa ukishindwa hapo badae utajuta...
 
Mkuu huyo hayuko sawa mentally au spritual, ana pepo linamuendesha maana hata mtu mzima hawezi kumuingilia Mwanamke kwa kiwango kikubwa Kama hicho labda awe na pepo la ngono linamuendesha.
Mtaftie tiba Mapema za kiroho na kiakili
 
Fanya bidii haraka iwezekanavyo umchukue huyo Mtoto wa kiume uishi naye.
 
Miaka 8 ni mkubwa sana kucheza kibaba mama na dada yake, hebu watenganishe
 
Yaani mtoto wa kiume badala awe mlinzi wa dadaake yeye ndo anamtafuna.

Miaka nane hahitaji sana kukaa na bibi kaa nae wewe. Pia unaweza mlaumu huyo wa kiume kumbe wa kike na yeye ana shida yake.
 
Wasalaam ,

Msaada wa ushauri unahitajika kuokoa maisha ya mwanangu. Mimi ni kijana wa miaka kati ya 25 na 30 niko na familia ya watoto wawili ila mama yao tulishatengana miaka minne iliyo pita kwahiyo watoto imebidi wakasome kwa bibi yao.

Tatizo langu ni hawa watoto mmoja wa kiume ana miaka 8 sasa na wa kike ana miaka 5 sasa ajabu ni kwamba huyu wa kiume amekuwa akimwingilia kimwili mdogo wake kiasi cha kutisha yaani ameonywa kwa fimbo mpaka shule lakini bado habadiliki , na hatari ni kuwa imefikia kipindi mpaka anamuumiza na bibi yao yuko kimya anaogopa kunijuza.

Sasa hii ni mbaya kwaajili ya hatma ya mwanangu wa kike naombeni ushauri wakubwa.
Wewe baba nawe si wa kawaida. Kwanza umri wako huujui kwa uhakika, kama hii taarifa nayo hudanganyi hapa basi wewe ndio tatizo. Sijapata kusikia ndugu kuingiliana tena katika umri huo. Inajulikana wanacheza michezo ambayo wakiwa wakubwa wala hawawezi kujaribu mfano kubebana na kubusiana lakini sio kuingiliana. Iwapo si wewe basi bibi yao kuna uchawi kwenye vichwa vyenu.

Kama kuna shaka hizo chukua ushauri huo wa kuwatenganisha kama ulivyoelezwa hapo juu. Huyo mtoto wa kiume pia muangalie sana anaweza akageuka shoga hatimae.
 
Wasalaam ,

Msaada wa ushauri unahitajika kuokoa maisha ya mwanangu. Mimi ni kijana wa miaka kati ya 25 na 30 niko na familia ya watoto wawili ila mama yao tulishatengana miaka minne iliyo pita kwahiyo watoto imebidi wakasome kwa bibi yao.

Tatizo langu ni hawa watoto mmoja wa kiume ana miaka 8 sasa na wa kike ana miaka 5 sasa ajabu ni kwamba huyu wa kiume amekuwa akimwingilia kimwili mdogo wake kiasi cha kutisha yaani ameonywa kwa fimbo mpaka shule lakini bado habadiliki , na hatari ni kuwa imefikia kipindi mpaka anamuumiza na bibi yao yuko kimya anaogopa kunijuza.

Sasa hii ni mbaya kwaajili ya hatma ya mwanangu wa kike naombeni ushauri wakubwa.

Mtoto kashavimiwa na roho chafu huyo. Hilo ni jambo la kiroho mtoto wa miaka8 hizo hamu anapata wapi kama sio mizimu na mapepo

Tafuta msaada wa kiroho haraka maana yanayofuata ni hatari zaidi

Pole sana
 
Eeeee hatareeee huyo sio mtoto ni pepo yani kama ajaingiliwa na pepo basi huyo mtoto ndio pepo lenyewee
 
Mtoto wa miaka 8 amejifunza wapi hayo mambo? Inaonekana hiyo nyumba si salama Kwa malezi ya hao watoto, kama ni nyumba ya wapangaji changanyikeni basi fuatilieni unaweza kuta kuna kichaa mmoja humo ndani ndo anamfundisha huyo boy kumfanyia huo upuuzi mdogo ake
 
kutatua tatizo mchukue huyo wa kiume ukae nae kwa ukaribu ili umlee katika malezi yaliyonyooka kama baba
 
Back
Top Bottom