Unaandika kama mfuasi wa upinde, au goli lipo wazi tuzamishe mpira?
Endelea kumfukulia kaburi nahc kajisahau ...La sivyo tukacheki file lake mirembe Inawezekana ametorokaHakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili. Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba...www.jamiiforums.com
Alipakwa mafuta huyu majuzi tu hapa aisee
Karibu member mpya umebleed leo?Hamna kitu hapo
Kale kanyoka hakajaanza kuumwa?Au nyie wenzangu kama kawaida yenu team wivu mnamiliki majungu,fitina,chuki,wivu na udini? Kwa huu umri wangu wa 20's atleast nimemiliki vitu kadhaa ambao wewe mwenye 30 plus n.k hauna kazi umekalia wivu na majungu tu hivyo vitu haviwaisaidii nyie waswahili majungu,wivu,chuki na fitina si mtaji pambaneni na nyie mtakuja kuvipata japo wengine umri wenu umeenda kwa sasa mnahangaika na mafuta ya upako tu.
Kwa huu umri wangu Nina akiba milioni of money [emoji383] kama wewe nj team majungu na chuki acheni majungu fanyeni kazi mtapata majungu si mtaji nyie endeleeni na Bata na hizo pisi kali zenu hayo si mafanikio yenu? Sisi wengine wacha tuendelee kufanya saving till we die
Team majungu,chuki,fitina na wivu karibuni
jobless mara tajiri aache kufake life
Mara kavuta bangi hahaha ila ni jf tusiyachukulie saana.jobless mara tajiri aache kufake life
Sahihi sanaAsilimia kubwa ya matajiri niliokutana nao wapo very humble online na offline pia.
Mshukuru Mungu kwa ulichopataAu nyie wenzangu kama kawaida yenu team wivu mnamiliki majungu,fitina,chuki,wivu na udini? Kwa huu umri wangu wa 20's atleast nimemiliki vitu kadhaa ambao wewe mwenye 30 plus n.k hauna kazi umekalia wivu na majungu tu hivyo vitu haviwaisaidii nyie waswahili majungu,wivu,chuki na fitina si mtaji pambaneni na nyie mtakuja kuvipata japo wengine umri wenu umeenda kwa sasa mnahangaika na mafuta ya upako tu.
Kwa huu umri wangu Nina akiba milioni of money 💰 kama wewe nj team majungu na chuki acheni majungu fanyeni kazi mtapata majungu si mtaji nyie endeleeni na Bata na hizo pisi kali zenu hayo si mafanikio yenu? Sisi wengine wacha tuendelee kufanya saving till we die
Team majungu,chuki,fitina na wivu karibuni
Sawa sawaUkimuona mtu anatangaza utajiri wake huyo ni masikini. Matajiri huwa hawana hizo mambo