Kwa umri wangu wa 20's ninamiliki nyumba 3, gari 2, viwanja na mashamba kedekede. Unamiliki nini kwa huo umri wako?

Kwa umri wangu wa 20's ninamiliki nyumba 3, gari 2, viwanja na mashamba kedekede. Unamiliki nini kwa huo umri wako?

Unaandika kama mfuasi wa upinde, au goli lipo wazi tuzamishe mpira?

Alipakwa mafuta huyu majuzi tu hapa aisee
 

Alipakwa mafuta huyu majuzi tu hapa aisee
Endelea kumfukulia kaburi nahc kajisahau ...La sivyo tukacheki file lake mirembe Inawezekana ametoroka
 
Jinsi inavyoonekana na jinsi ilivyo
4B5FBC61-27D3-4689-BE9C-57FCF5DCB2B9.jpeg
 
Au nyie wenzangu kama kawaida yenu team wivu mnamiliki majungu,fitina,chuki,wivu na udini? Kwa huu umri wangu wa 20's atleast nimemiliki vitu kadhaa ambao wewe mwenye 30 plus n.k hauna kazi umekalia wivu na majungu tu hivyo vitu haviwaisaidii nyie waswahili majungu,wivu,chuki na fitina si mtaji pambaneni na nyie mtakuja kuvipata japo wengine umri wenu umeenda kwa sasa mnahangaika na mafuta ya upako tu.


Kwa huu umri wangu Nina akiba milioni of money [emoji383] kama wewe nj team majungu na chuki acheni majungu fanyeni kazi mtapata majungu si mtaji nyie endeleeni na Bata na hizo pisi kali zenu hayo si mafanikio yenu? Sisi wengine wacha tuendelee kufanya saving till we die

Team majungu,chuki,fitina na wivu karibuni
Kale kanyoka hakajaanza kuumwa?
 
Au nyie wenzangu kama kawaida yenu team wivu mnamiliki majungu,fitina,chuki,wivu na udini? Kwa huu umri wangu wa 20's atleast nimemiliki vitu kadhaa ambao wewe mwenye 30 plus n.k hauna kazi umekalia wivu na majungu tu hivyo vitu haviwaisaidii nyie waswahili majungu,wivu,chuki na fitina si mtaji pambaneni na nyie mtakuja kuvipata japo wengine umri wenu umeenda kwa sasa mnahangaika na mafuta ya upako tu.


Kwa huu umri wangu Nina akiba milioni of money 💰 kama wewe nj team majungu na chuki acheni majungu fanyeni kazi mtapata majungu si mtaji nyie endeleeni na Bata na hizo pisi kali zenu hayo si mafanikio yenu? Sisi wengine wacha tuendelee kufanya saving till we die

Team majungu,chuki,fitina na wivu karibuni
Mshukuru Mungu kwa ulichopata

Ila usijkweze ni neema ya Mungu imekufikisha hapo


Usione wengine wazembe au vipi
 
Kwenye maisha yako yotee....kuna mambo mawil hupaswi kuyafanya....KUPOST PESA ZAKO na kingine...KUMPOST MKE WAKO KWA SHOW OFF....huwaamin endelea...Mifano tunayo mingi tu...na yamewatokea puani...
 
Mwandiko wa mtu aliyepoteza ubingwa [emoji706]
 
Hakuna haja ya kutangaza unacho miliki
Ili iweje?
 
Back
Top Bottom