Kwa umri wangu wa 20's ninamiliki nyumba 3, gari 2, viwanja na mashamba kedekede. Unamiliki nini kwa huo umri wako?

Acha utapeli we ngoima utakuja kuchanwa vibaya sehemu za siri
 
Utajiri wa kwanza ni kuwa na akili ila wewe unatofauti gani na mbuni
 
Ile hospital ya watu wenye matatizo ya akili wameikarabati, nadhani sasa waanze kupita mtaa kwa mtaa kuchukua wateja wao.
 
We kapuku tu kaache hicho kilevi.
 
Kwa hio umri sizani Kama umetafuta wewe hizo Mali Sana Sana Nina wasiwasi Kama sio za familia ni za mjomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…