Kwa umri wangu wa 20's ninamiliki nyumba 3, gari 2, viwanja na mashamba kedekede. Unamiliki nini kwa huo umri wako?

Kwa umri wangu wa 20's ninamiliki nyumba 3, gari 2, viwanja na mashamba kedekede. Unamiliki nini kwa huo umri wako?


Mbona unajicontradict na post zako?
 
Halafu una kufa kwenye 30's Unaviacha.
Sisi ambao tunaanza kujipanga kwenye 30' tunatoboa 90 tukivienjoy kwasanaa...
Mshukuru Mungu enjoy kimya kimya, saidia wengine kusimama inapowezekana Mungu humpa yeyote na kumnyanganya yeyote muda anaotaka...
 
Au nyie wenzangu kama kawaida yenu team wivu mnamiliki majungu,fitina,chuki,wivu na udini? Kwa huu umri wangu wa 20's atleast nimemiliki vitu kadhaa ambao wewe mwenye 30 plus n.k hauna kazi umekalia wivu na majungu tu hivyo vitu haviwaisaidii nyie waswahili majungu,wivu,chuki na fitina si mtaji pambaneni na nyie mtakuja kuvipata japo wengine umri wenu umeenda kwa sasa mnahangaika na mafuta ya upako tu.


Kwa huu umri wangu Nina akiba milioni of money 💰 kama wewe nj team majungu na chuki acheni majungu fanyeni kazi mtapata majungu si mtaji nyie endeleeni na Bata na hizo pisi kali zenu hayo si mafanikio yenu? Sisi wengine wacha tuendelee kufanya saving till we die

Team majungu,chuki,fitina na wivu karibuni
Maskini akipata matako hulia mbwata. Utakuta wewe unaishi kwa jamaa na unajifanya unazo. Wenye nazo mwanangu huwa hawasemi
 
Halafu una kufa kwenye 30's Unaviacha.
Sisi ambao tunaanza kujipanga kwenye 30' tunatoboa 90 tukivienjoy kwasanaa...
Mshukuru Mungu enjoy kimya kimya, saidia wengine kusimama inapowezekana Mungu humpa yeyote na kumnyanganya yeyote muda anaotaka...
We ni mungu?
 
Au nyie wenzangu kama kawaida yenu team wivu mnamiliki majungu,fitina,chuki,wivu na udini? Kwa huu umri wangu wa 20's atleast nimemiliki vitu kadhaa ambao wewe mwenye 30 plus n.k hauna kazi umekalia wivu na majungu tu hivyo vitu haviwaisaidii nyie waswahili majungu,wivu,chuki na fitina si mtaji pambaneni na nyie mtakuja kuvipata japo wengine umri wenu umeenda kwa sasa mnahangaika na mafuta ya upako tu.


Kwa huu umri wangu Nina akiba milioni of money 💰 kama wewe nj team majungu na chuki acheni majungu fanyeni kazi mtapata majungu si mtaji nyie endeleeni na Bata na hizo pisi kali zenu hayo si mafanikio yenu? Sisi wengine wacha tuendelee kufanya saving till we die

Team majungu,chuki,fitina na wivu karibuni
Mshamba sana wewe ,wenzako wanamiliki ma mansions na hawana kelele. Leo nikiwa jogging mitaa ya palace hotel Chugga kwa chini pale bank ya CRDB, kwenye ATM nimeona mnyama mpya kabisa akiwa hata hajatolewa karatasi , Jaguar XF. Huna Hela unnamiliki makopo ya kijapan ya 2010 kushuka chini
 
Hiii unasifia mali za mwanaume mwenzako? Au yeye ni mumeo? Nenda akakukule
Mshamba sana wewe ,wenzako wanamiliki ma mansions na hawana kelele. Leo nikiwa jogging mitaa ya palace hotel Chugga kwa chini pale bank ya CRDB, kwenye ATM nimeona mnyama mpya kabisa akiwa hata hajatolewa karatasi , Jaguar XF. Huna Hela unnamiliki makopo ya kijapan ya 2010 kushuka chini
 
Au nyie wenzangu kama kawaida yenu team wivu mnamiliki majungu,fitina,chuki,wivu na udini? Kwa huu umri wangu wa 20's atleast nimemiliki vitu kadhaa ambao wewe mwenye 30 plus n.k hauna kazi umekalia wivu na majungu tu hivyo vitu haviwaisaidii nyie waswahili majungu,wivu,chuki na fitina si mtaji pambaneni na nyie mtakuja kuvipata japo wengine umri wenu umeenda kwa sasa mnahangaika na mafuta ya upako tu.


Kwa huu umri wangu Nina akiba milioni of money 💰 kama wewe nj team majungu na chuki acheni majungu fanyeni kazi mtapata majungu si mtaji nyie endeleeni na Bata na hizo pisi kali zenu hayo si mafanikio yenu? Sisi wengine wacha tuendelee kufanya saving till we die

Team majungu,chuki,fitina na wivu karibuni

Ushaoa? Maana hakuna anayemiliki chochote kabla ta kuoa na kukaa na mke kwa miaka 10.

Akija mwanamke mchawi, au mshenzy vyote vinaenda, kwa kifupi hapo umiliki kitu.
 
Back
Top Bottom