Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Sio lazima wote tutazame sawa wewe tazama aliyoongea sie tunatazama tabia zake hizo za hovyo na muonekano wenye uwalakiniBinadamu wanyama wa ajabu sana, kijana ameongea mambo ya maana hawayaoni ila wanaangalia madhaifu yake, binanamu ana hulka zake na mnyama ana silka zake. Tumekuwa wepesi kuhukumu sana, tunahitaji nusura.
mimi nilidhani utauliza mimi ndo moses Iyobo unauliza wema???? wema ndo nani kwenye hili swali mbona sioni uhusiano. Sauti ni sauti haibadilishi uanaume wako au uuke wakoWewe ni wem sepetu nn
kwani nimekwambia huna adabu bi dada??? ustaaarabu kitu cha bure kila mtu ana jinsi alivyo kimaumbile n.k mbona wapo wengi tuu wanaume wenye sauti hizo na ni wanaume kamili tuu. Mtajichumia dhambi kwa kudhani na kuhukumuAdabu tunazo hatujazisahau lakini kucha ya sauti pose pia linaleta utata.