Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wanajitahidi.Jana nimebahatika kutazama kipindi cha Big Sunday Live kinachoongozwa na Lil Ommy. Nikiri wazi kuwa nimependa show yake, kuanzia ukumbi wamejitahidi sana maana hadi magari bajaji bodaboda zinazama mpaka kwa stage.
Pia kina segments nyingi za kuvutia ikiwemo vichekesho, michezo, performance toka kwa wasanii mbalimbali.
Kilichonifurahisha zaidi ukumbi mkubwa msanii unaanza kumuona anaperform toka uko back stage mpaka anaingia stage.
Nahisi picha yao ni kutengeneza vitu kama vya mastage ya mbele japo bado hawajafika ila naona ndoto yao imeanza.
Kwakweli big up kwa hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Team Kiba huyo ,wivu ndo unamsumbua.Kusema hawatafika episode 4 tayari ni roho ya kichawi. Sijui kwa nini wabongo wengi huwa hatuko postive kwanza.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Mbona Linah na G nako nao wame perform . sio Hip Hop tu mkuuWameanza vizuri sema naona wasanii wote waliowaleta ni wa mrengo mmoja. Yani wa Hip Hop.... sasa kwenye audience kuna mabinti ambao most of them sio wapenzi wa Hip Hop.
Kusema hawatafika episode 4 tayari ni roho ya kichawi. Sijui kwa nini wabongo wengi huwa hatuko postive kwanza.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Acha wivu mzee wataachaje kipindi Kama hicho ambacho kimetokea kupendwa na watu wengi Sana.
Wasafi Tv vipindi ambavyo huwa navipenda ni
1. Refresh
2. Tamthilia yao ya ISABELLA
nilikuwa napenda na THE BAR TENDER, Huyu Lil Ommy sijawahi muelewa hata siku moja ajawahi kuni Impress kabisa interview zake sijawahi enjoy kabisa.
Wakimaliza kutoa hizo gari sijui watakiendeleza bila kuwa na gari? maana naona kipindi kipokwajili ya hiyo zawadi ya Teleza na Tezza.Issue sio kipindi. Issue ni “continuity” ya kipindi. Sidhan kama hicho kipindi kitadumu episodes 4!...Wasafi wanaanzaga na nguvu, then wanaboronga
Kwahili nivue vyeo lakini ndio ukweliwangu huo. Yule ARMY GAL ndio namuelewa sana lakini Lil ommy sijaona maajabu kabisa.Nimekuvua vyeo vingi!
Yule ARMY GAL ndio namuelewa sana lakini Lil ommy sijaona maajabu kabisa.
Dah 😆😆😆😆 tatizo hili kama hakuna sababu.Mi wala sikwambii sababu, nimekuvua vyeo tu... imeisha hiyoooo!
Acha kusingizia vitu acha uchawi mzee.Najua ume note hoja yangu na utaipeleka kwa anaekulipa!
Yaani umuelewi lil ommy? Mzee nazani utakuwa Kuna vitu unawaza kichwani than kazi nzuri ya lil ommyWasafi Tv vipindi ambavyo huwa navipenda ni
1. Refresh
2. Tamthilia yao ya ISABELLA
nilikuwa napenda na THE BAR TENDER, Huyu Lil Ommy sijawahi muelewa hata siku moja ajawahi kuni Impress kabisa interview zake sijawahi enjoy kabisa.
Nilianza kumjua before toka Times lakini bado sikumuelewa kwangu sio maajabu anayoyafanya.Yaani umuelewi lil ommy? Mzee nazani utakuwa Kuna vitu unawaza kichwani than kazi nzuri ya lil ommy
Basi wewe ujui presenters wazuri mtu mpaka akapata tuzo ya Afrimma ya best presenter alafu unasema umuelewi Ebu tujuze sababu gani inakufanya usimuelewe?Nilianza kumjua before toka Times lakini bado sikumuelewa kwangu sio maajabu anayoyafanya.
😆 😆 😆 😆 unaweza kuniambia Afrimma walitumia vigezo gani kupick hao presenters waliokuwa nominees kushindana na Lil ommy alafu tuzo ni muda mwengine zinakuwaga fitina tu kuna watu hawana Tuzo lakini niwakali sana sijui kama unalijua hili?Basi wewe ujui presenters wazuri mtu mpaka akapata tuzo ya Afrimma ya best presenter alafu unasema umuelewi Ebu tujuze sababu gani inakufanya usimuelewe?
Remember that Afrimma sio wabongo kule Kuna wazungu,Wanigeria na wasouth Africa. Sasa fitna imetumikaje? Alafu pia kumbuka lil ommy katokea kwenye media ndogo( Time FM) so jiulize wamemuonaje?Tuje kwenye swali la msingi kipi kinakufanya usimuelewe?😆 😆 😆 😆 unaweza kuniambia Afrimma walitumia vigezo gani kupick hao presenters waliokuwa nominees kushindana na Lil ommy alafu tuzo ni muda mwengine zinakuwaga fitina tu kuna watu hawana Tuzo lakini niwakali sana sijui kama unalijua hili?