Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
mzee wangu hapa ndio umemaliza kila kitu nimekuelewa vizuri sana.Watangazaji wengi wa tv na radio huko ni watu wa kuigana kwa kila kitu hata Tv zetu nyingi ubunifu zero, wanaigan karibia kila kitu. Acha twende hivyo hivyo.