Kwa upepo Tundu Lissu anaowajaza wananchi, bila uchaguzi huru na haki 2025 tutarajie mazito

Kwa upepo Tundu Lissu anaowajaza wananchi, bila uchaguzi huru na haki 2025 tutarajie mazito

Hakuna namna Lissu hataki siasa za maridhiano za Mbowe na kwenda kulia lia kwa wakubwa wa Dunia baada ya kujitoa pale rafu zinapokithili. Lissu anasema ukiteuliwa na Chadema ukajitoa au maafisa uchaguzi ngazi za vijiji na kata wanaoishi nao au polisi wakishiriki kuiba kula itakuwa halali yao.

Lissu ameamua liwalo na liwe. Nyuma yake wapo akina Heche, Msigwa na Pambalu hawa hawaungi mkono siasa za maridhiano. Ni wakati sasa wa taasisi za dini, taasisi za kijamii za kitaifa na kimataifa kuitahadhalisha Tume Huru ya Uchaguzi uwe huru na itende haki. Haizalishi imewekwa na Rais wa chama tawala itende haki.

Lissu anasema polisi hawatoshi kama nchi nzima uchaguzi utavurugwa na kote wananchi wakajaa barabarani kudai haki yao. Ni kweli tumeshuhudia fujo inapotokea mkoa Fulani polisi na magari ya washawasha kusafirishwa toka eneo Moja kwenda linguine. Chondechode Tume mnadhamana ya kuilinda amani ya nchi hii kwa kutenda haki.

Waambieni wanasiasa wa chama tawala kuwa imekuwa Tume Huru na muoneshe uhuru huo. Msikubali walioshidwa kutetea wananchi wategemee Tume kurudi kwenye nyadhifa zao. Ule uchaguzi wa ovyo wa maremu Magufuli yasijirudie na tusiogope kusema ukweli. Kuna mazuri marehemu alifanya ila hili la kuvuruga uchaguzi lisemwe hata kama hatunae tena.
Alikuwepo Lowassa kabla ya omba omba Lisu.

Yaani mtu achague hewa badala ya mtu?
 
..Ccm wamejisahau kabisa.

..wamelewa madaraka na kuwatelekeza wananchi.

..chama kimebakia na wateule wa Rais na genge lake la macha.

..wasiokuwepo ktk makundi hayo wanataabika kwa hali ngumu ya maisha.
Endeleeni na ujinga wenu,CCM ya wapi hiyo iliyojisahau? Hakuna kipindi ccm wana uhakika wa kushinda kama. Sasa hivi achana na hizo maigizo mnaita nyomi.
 
Changamoto nyingine ni mawakala wa vyama vya siasa wanakuwa hawana hata hela ya kula akipewa elfu 50 anaachia goli bure
 
Lissu hawajazi chochote wananchi, anawakumbusha tu wajibu na haki zao.

Hili la kuwatoa ujinga wananchi na kuwapa elimu ya uraia linawaudhi na kuwakera CCM na serikali yao sana wanapolisikia...

Si ajabu vikao vinaendelea Lumumba kutafuta vifungu vya sheria vya kumshitaki TL kwa kosa la "uchochezi..."

Cha kushangaza ni CCM kutojua kuwa kila neno litokalo kwenye kinywa cha Tundu Lissu linakuwa limepimwa ktk mizani ya kisheria kwanza...

Huyu ni kama Yesu Kristo. Walikuwa wanatafuta atajikwaa kwa namna gani ktk maneno yake ili wapate sababu ya kumshitaki. Hawakuweza kumpata...

Ndivyo ilivyo kwa Tundu Lissu tangu miaka hiyo hadi leo, huwezi kumnasa kwenye mitego ya kisheria kupitia "maneno yake" unless otherwise umsingizie tu au uamue kwa makusudi kutumia mabavu ili kumuumiza...!
 
Tanzanians are not fools,they know it better
Ccm wanafikiri watawala kwa mikwara kama ya mwendazake. Ile ya kusema nikupe v8 nikulipe mshahara halafu umtangaze mpizani kushinda!
 
Back
Top Bottom