William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
- Thread starter
-
- #21
Simba isahihishe kila ilipokosea kwa haki. Kama mchezaji anamadai ya haki alipwe. Kama waliahidiwa zawadi walipwe. Gawio la ofa za ushindi liwe kwa benchi la ufundi na wachezaji pekee tena 20 kwa 80 persent.Baada ya malalamiko unapendekeza kipi kifanyike ili kuweka mambo sawa?
tusitafute mkubwa wala mdogo. Chama bila simba hakuna mtu hapo Ndio maana nje ya Simba chama sio chochote na Simba wanamtegemea sana chama kama akiwekwa sawa kisaikolojia ni roho ya timu.Kwani si tulikubaliana kwa kauli moja ya kwamba Chama ni mdogo kuliko timu! Mbona kama tumeanza kugeukana tena!!
ZimbweSimba wachezaji wenye umri 30+ n watano tu
Saido,(36),Boco,(34),Shomari,(31),Chama,(32), Phiri,(30). Kati ya hao ambao huwa wanaanza ni III tu katika XI, waliobaki VIII wote n vijana. Hivo huna sababu za kusema Simba Ina wachezaji wazee. Matatizo ya Simba n mengi lakini yote yanaweza kurekebishwa kama Uongozi utakuwa dhabiti.
1. Posho, Posho Posho n tatzo kubwa sana pale Simba
2.MO Yuko juu ya sheria pale Simba SC, hamna Uwazi anajaza matangazo anavyotaka.
Nk
Acheni upuuzi wenu. Ninyi ndio chanzo cha pressure kwa wachezaji na viongozi. Kwani Simba ina shida gani kwa sasa. Mbona iko vizuri tu. Au maumivu yenu ni kwa kuwa yanga ameonekana bora ktk misimu miwili? Mbona Simba kawa mzuri kwa miaka mitano mfululizo na hamsemi? Eleweni katika mpira kuna peak times na kuna kudrop, hiyo ni kawaida. Angalia vilabu vya Ulaya kama Manu, Liverpool, Chelsea Barcelona, Ac Milan, Inter Milan, PSG na vinginevyo. Kuna kipindi vinakuwa kwenye peak na kuna kipindi vinashuka. Tatizo ji ninyi mashabiki mwendokasi mliozaliwa kuanzia miaka ya elfu mbili hivi. Kelele nyingi huku hamchangii chochote katika uendeshaji wa timu. Who is Chama? Yeye amekuwa Mungu? Mbona Yanga iliachana na Saido, Bangala na Shaban Djuma. Si iipo na inadunda tu? Acheni upuuzi.Waache waendelee tu kujenga majungu huku watani wanajenga timu. Madhaifu ya yanga yanatibika na Siku wakisimama Africa watahodhi vitu vingi sana.
Uongozi wa kutafutana na Akina Chama, Phiri na Okra. Wa kijinga sana. Wachezaji sio gari kwamba utaliuza utanunua lingine zuri.
Uongozi utafukuza wote Inaotaka kufukuza kuanzia Enocck Inonga, Chama, Kapombe, Okra, Phiri na kila wanae mtaka eti wanahujumu timu
Ata akija nani hawezi kucheza kwa fitina Zilizopo.
Wakati mwingine sio rahisi kihivyo kumpoteza mtu aliyebarikiwa kwa tamaa binafsi.
Wewe sio Shabiki wa kawaida bali shabiki mwendokasi. Kama unataka timu ya kuchukua makombe miaka yote unda timu yako kisha usajili malaika wacheze. Acha kuleta vipressure uchwara bhana.Sio hoja kaka. Nje ya migogoro ya kijinga Simba ingeweza kuchukua ata champion league msimu huu huu bila kuongeza mchezaji ata moja tu iwapo manula atakuwa sawa.
Sasa kama ni hivyo nini maana ya kutumia pesa nyingi kusajili tena wachezaji wakati waliopo wanakidhi viwango japo ni wazee.Simba isahihishe kila ilipokosea kwa haki. Kama mchezaji anamadai ya haki alipwe. Kama waliahidiwa zawadi walipwe. Gawio la ofa za ushindi liwe kwa benchi la ufundi na wachezaji pekee tena 20 kwa 80 persent.
kila kitu kitakuwa sawa. Simba hii wakiwa wamoja na kocha akaunganisha wachezaji tunaweza kulipokea clabu bingwa Africa msimu huu bila kusajili mchezaji ata moja.
Inonga na Chama out, hawa wanahujumu timu.Waache waendelee tu kujenga majungu huku watani wanajenga timu. Madhaifu ya yanga yanatibika na Siku wakisimama Africa watahodhi vitu vingi sana.
Uongozi wa kutafutana na Akina Chama, Phiri na Okra. Wa kijinga sana. Wachezaji sio gari kwamba utaliuza utanunua lingine zuri.
Uongozi utafukuza wote Inaotaka kufukuza kuanzia Enocck Inonga, Chama, Kapombe, Okra, Phiri na kila wanae mtaka eti wanahujumu timu
Ata akija nani hawezi kucheza kwa fitina Zilizopo.
Wakati mwingine sio rahisi kihivyo kumpoteza mtu aliyebarikiwa kwa tamaa binafsi.
Haya, hebu angalia upande wa piliPale Simba ni kama ukoo wa Kambale wote wana ndevu
Mwekezaji tapeli
Mwenyeti hana kauli
Coach anapangiwa kikosi
Msemaji anaongea lolote hana hata siri ya ofsi
Usajiri wa kuanglizia wakijazwa mchezaji wanazoa
Heshima stahiki mzee Rage alowaita mbumbumbu
kitafutwe chanzo cha tatizo ndani ya simba. Kitatuliwe.Baada ya malalamiko unapendekeza kipi kifanyike ili kuweka mambo sawa?
Mzamiru ana ngapi mkuu?Simba wachezaji wenye umri 30+ n watano tu
Saido,(36),Boco,(34),Shomari,(31),Chama,(32), Phiri,(30). Kati ya hao ambao huwa wanaanza ni III tu katika XI, waliobaki VIII wote n vijana. Hivo huna sababu za kusema Simba Ina wachezaji wazee. Matatizo ya Simba n mengi lakini yote yanaweza kurekebishwa kama Uongozi utakuwa dhabiti.
1. Posho, Posho Posho n tatzo kubwa sana pale Simba
2.MO Yuko juu ya sheria pale Simba SC, hamna Uwazi anajaza matangazo anavyotaka.
Nk
Imepenya hiyo [emoji382][emoji375] ndiyomaana umejibu bila kupenda [emoji1787]Wewe GONGOWAZI jifunike basi..
28 kakaMzamiru ana ngapi mkuu?
Heri ya mwaka mpya ...gongowazi..Imepenya hiyo [emoji382][emoji375] ndiyomaana umejibu bila kupenda [emoji1787]
Na kwako pia Makolokolo...[emoji120]Heri ya mwaka mpya ...gongowazi..