unyakudongo
Member
- Apr 8, 2014
- 64
- 44
Pole mkuu maana nia yangu sio kukuaminisha wewe, nimeongea what i feel."Watu wabaki na n'nyaaaa yao nyumbani??!!",----- Hivi kweli Magu kama Rais alifikia hatua ya kutamka maneno hayo kuwaambia Watu au mnamsingizia tu kwa kuwa hayupo???? Looo siamini !!!.[emoji32]
sasa mpaka amekufa bado uhisi watu wanamuogopa!!!!Mazingira ya kutaka kusifiwa kinafiki aliyetengeneza yeye. Hizo ni sifa za dictators wote.
waombe radhi kwanini!!!Nakubaliana na wewe Mkuu. Hili jambo linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee. Na wale watu wasiojulikana waliokuwa wakishirikiana na Jiwe kuwatesa kuwauniza na hata kuwatowesha wengine Duniani, nao wanapaswa kuomba radhi peke yao kwani wao yawezekana bado wako hai.
Wasiwe na hofu kwani ni wazi kuwa walikuwa na utii kwa mwenye Mamlaka.
nimeongea what i feel.
Niliposema "what i feel" nilikuwa namaanisha kulingana na msamaha ambao jamaa amemuombea, mm nimecomment kulingana na ninavyojiskia kutokana na yaliyofanywa na Magu.Umeongea what you feel or what you believe he said with evidence ??![emoji848]
Maana yangu ni hii: tumlaumu mtu kwa matendo aliyoyatenda tusimlaumu kwa kitu ambacho hakutenda, hiyo ndio haki.
sasa mpaka amekufa bado uhisi watu wanamuogopa!!!!
huoni kama una tatizo la kufikiri???
Sisi wengine tunamshukuru tu Mungu kwa kutuondolea udhia nchi hii. Hallelujah!Kama Binadamu (Mwanadamu) tulivyo Mimi na Wewe hatujakamilika kama walivyo Watakatifu na Malaika wa Mbinguni.
Tokea Kifo chake GENTAMYCINE nimekuwa nikiona Lawama nyingi Kwake (Hayati Rais Dkt. Magufuli) kutokea humu Mitandaoni na hata katika Vichochoro (Vijiwe) ambavyo huwa najivinjari navyo 24/7.
Baada ya kuona Lawama, Chuki dhidi yake huku hata Wengine wakionyesha Furaha zao kwa Kifo chake nilidhani Kibusara tu basi Rais wa sasa Mama Samia au Chama Tawala chake (CCM) kingejitokeza Kwanza Kukiri Mapungufu yake au Matatizo aliyatengeneza ndani ya Tanzania yetu hii na Kiungwana kabisa Kuwaomba Radhi (Msamaha) wale Watanzania wote waliojeruhiwa au kuwa Wahanga wa Utawala wake.
Hivyo basi leo GENTAMYCINE kwa Utashi wangu binafsi (na hapa simlazimishi Mtu yoyote yule) nipo chini ya Miguu yenu nawaombeni TUMSAMEHE Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa yale Mapungufu yake yote au kama aliwakwaza na kuwaumiza Watu kwa namna yoyote ile.
Kikubwa nawaombeni tu tumuombee Malazi mema ya Milele aliyonayo na Mwenyezi Mungu pia amsamehe Makosa yake ila liwe ni Fundisho kwa Viongozi (Watawala) Wengine waliobaki kuwa wasije Kuyarudia yale yale na kwa nimuonavyo Rais wa sasa Mama Samia sioni hata hiyo Chembe ya ama Kuumiza au Kuwakomoa Watu katika Uso wake na hata Moyoni mwake ( japo sina Darubini ) ya Kuuona upoje au unasemaje.
Naamini kabisa kuwa Marafiki wangu (JamiiForums Members) wote mtanielewa GENTAMYCINE na sasa mtashusha Jazba zenu Kwake na Kumsamehe kidhati kabisa Baba (Mzee) wa Watu kama hata Mimi pia nimemsamehe kwani kuna mahala alinivuruga (alinikera) kwa Utawala wake kwa mambo kadha wa kadha (hasa ya Kiutendaji) japo huko nyuma nilimpigania, nilimkubali na hata Kumtetea kwa kila aina hasa alopokuwa akipopolewa (akikosolewa) kila Kona nchini.
Tumsamehe, Tumsamehe na yaishe pia!
Huwezi kuona kosa kwa Level ya Taifa kwa Sababu aliku Brainwash, ni Level ya Watu Binafsi aliofanikiwa kuwa Brainwash na wale aliokuwa anaiba nao kama Bashite, Sabaya and the like ndio wako Proud nae, ila sio WananchiKwani ametukosea nini sisi Watanzania? Kwa level ya Taifa sioni kosa lake labda kwa level ya mtu binafsi. Kama ni hivyo, basi ni jukumu la familia yake. But sisi kama Wananchi, we are proud of him and we would had wished him to live longer.
R.I.P JPM
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mi bado sijamsamehe aisee. Ametutesa sana watu wa kaskazini. Yan kutoka Arusha iliyokuwa inasifika kwa maisha bora mpaka ukapuku. Alihakikisha vyanzo vyote vya mapato vinavyowainua watu wa Arusha anavivuruga na kuvibana, alihakikisha biashara na Kenya haifanyiki, matajiri wa migodi ya Tanzanite wanachukuliwa hela zao kwenye akaunti kwa kodi za kubambikiwa, wengine wanashtakiwa ili washindwe tu kuendeleza uchimbaji, makampuni yaliyokuwa yanaendesha biashara ya mbogamboga na maua wakavurugwa hadi wakahamia kenya, utalii ukavurugwa kwa kuongeza kodi za ajabu ajabu, mikutano ya kimataifa ikapigwa zengwe isifanyikie Arusha, kisa tu watu wa kaskazini ni wapinzani. Sasaiv majority ya watu wa Arusha wanapitisha mchana bila kula daily, usiku nayo imekuwa kula ni majaliwa! Toka Geneva ya Africa mpaka ukapuku! Lakin ukienda kwao kanda ya ziwa full kujiachia! Hakuna kitu kimeguswaMarehemu asemwi vibaya ila jiwe alipokufa watu mioyo yao ilishangilia.
Kufa wote tutakufa ila insue nani anatangulia?
Jiwe kanitesa binafsi ila nishamsamehe muda sana.
Umetumia kigezo cha kumwomba msamaha jpm,JE na familia zilizopoteza watu wao wakimlilia jpm kwa mapenz makubwa? Na kundi kubwa la waombelezaji,JE kuna watu waliandamana kufurahia kifo chake?!,usiwe mnafiki,bora ujiombee wewe mwenyewe,naamini wewe ukifa hakuna hata mmoja atakae kulilia wala kufa kwa ajiri yako,bora hai waharifu wasimsamehe magu,Kama Binadamu (Mwanadamu) tulivyo Mimi na Wewe hatujakamilika kama walivyo Watakatifu na Malaika wa Mbinguni.
Tokea Kifo chake GENTAMYCINE nimekuwa nikiona Lawama nyingi Kwake (Hayati Rais Dkt. Magufuli) kutokea humu Mitandaoni na hata katika Vichochoro (Vijiwe) ambavyo huwa najivinjari navyo 24/7.
Baada ya kuona Lawama, Chuki dhidi yake huku hata Wengine wakionyesha Furaha zao kwa Kifo chake nilidhani Kibusara tu basi Rais wa sasa Mama Samia au Chama Tawala chake (CCM) kingejitokeza Kwanza Kukiri Mapungufu yake au Matatizo aliyatengeneza ndani ya Tanzania yetu hii na Kiungwana kabisa Kuwaomba Radhi (Msamaha) wale Watanzania wote waliojeruhiwa au kuwa Wahanga wa Utawala wake.
Hivyo basi leo GENTAMYCINE kwa Utashi wangu binafsi (na hapa simlazimishi Mtu yoyote yule) nipo chini ya Miguu yenu nawaombeni TUMSAMEHE Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa yale Mapungufu yake yote au kama aliwakwaza na kuwaumiza Watu kwa namna yoyote ile.
Kikubwa nawaombeni tu tumuombee Malazi mema ya Milele aliyonayo na Mwenyezi Mungu pia amsamehe Makosa yake ila liwe ni Fundisho kwa Viongozi (Watawala) Wengine waliobaki kuwa wasije Kuyarudia yale yale na kwa nimuonavyo Rais wa sasa Mama Samia sioni hata hiyo Chembe ya ama Kuumiza au Kuwakomoa Watu katika Uso wake na hata Moyoni mwake ( japo sina Darubini ) ya Kuuona upoje au unasemaje.
Naamini kabisa kuwa Marafiki wangu (JamiiForums Members) wote mtanielewa GENTAMYCINE na sasa mtashusha Jazba zenu Kwake na Kumsamehe kidhati kabisa Baba (Mzee) wa Watu kama hata Mimi pia nimemsamehe kwani kuna mahala alinivuruga (alinikera) kwa Utawala wake kwa mambo kadha wa kadha (hasa ya Kiutendaji) japo huko nyuma nilimpigania, nilimkubali na hata Kumtetea kwa kila aina hasa alopokuwa akipopolewa (akikosolewa) kila Kona nchini.
Tumsamehe, Tumsamehe na yaishe pia!
Mkuu wewe ni miongoni mwao nn?? Kumbuka kila alitendalo binadamu gizani Mungu huliweka nuruni.waombe radhi kwanini!!!
kwani walifanya kwa kumuonea mtu!!kwa sasa bado hayo mambo yapo sana tu.mtaanza kuyasikia tena ili muelewe aina ya jambo mnalopigia kelele.
ya Mungu apewe mungu na kaisari apewe kaisari.Mkuu wewe ni miongoni mwao nn?? Kumbuka kila alitendalo binadamu gizani Mungu huliweka nuruni.
Dah! Inahuzunisha kwa kweli,Mi sidhani Kama naweza msamehe kwa kuwa ardhi yangu bado sijarudishiwa na sidhani Kama nitarudishiwaPole sana mkuu,,yule kiumbe hakuna ambae hajapitia madhila yake, nahisi yule hakuwa binadamu
Wacha uwongo wewe. Hata mama Janet Magufuli mwenyewe alikuwa anateseka sasa hivi ndiyo tunaiona smile yake baada ya Mwendazake kufariki, sembuse ya wewe unyakudongo ??watanzania gani waliumia wewe.wananchi tulio wengi tuliishi maisha ya kawaida tu kama tunavyoishi sasa.labda ninyi mabepari wakwepa kodi ndo mdai mliumizwa.afu msipende kuzungumzia maumivu yenu wachache kuwakilisha umma mkubwa wa watanzania
Naisubiria pocket money kutoka kwa mshua! Si unajua huu ni mwisho wa mwezi! Wewe ulishafika shule?Hivi bado haujaenda shule