Kwa utetezi huu naona ni wakati wa Mungu anaenda kumuinua mchungaji John shusho baada ya miaka mingi ya kupuuzwa na bibie tina licha ya alivyopambana

Kwa utetezi huu naona ni wakati wa Mungu anaenda kumuinua mchungaji John shusho baada ya miaka mingi ya kupuuzwa na bibie tina licha ya alivyopambana

Taitu2024

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2024
Posts
244
Reaction score
295
Kwa utetezi huu naona ni wakati wa Mungu anaenda kumuinua mchungaji John shusho baada ya miaka mingi ya kupuuzwa na bibie tina licha ya alivyopambana kumpeleka studio na Kuwa star kisha akamwacha
 
Amuinue kumpeleka wapi? Kwanza Mungu hana issue na hao matapeli. Mungu afanyagi kazi zake kwa kutafuta kiki
 
Kwa utetezi huu naona ni wakati wa Mungu anaenda kumuinua mchungaji John shusho baada ya miaka mingi ya kupuuzwa na bibie tina licha ya alivyopambana kumpeleka studio na Kuwa star kisha akamwacha
View attachment 2994790
Kumuinuaje sasa? Mchungaji kuinulia inakuwa ktk nin?
Ongezeko la Sadaka, umaarfu, mke mwingine mzuri zaidi, pesa magari au Kuongezeka uwezo wa kiroho??
 
Kwa utetezi huu naona ni wakati wa Mungu anaenda kumuinua mchungaji John shusho baada ya miaka mingi ya kupuuzwa na bibie tina licha ya alivyopambana kumpeleka studio na Kuwa star kisha akamwacha
View attachment 2994790
Kijana acha kufuatilia issues za watu. pambana na hali yako...
 
Back
Top Bottom