Kwa uteuzi wa Prof. Kabudi katiba na sheria tukubaliane tu Mwambukusi atanyoosha mikono kama ilivyokuwa kwa Lissu na kudhibitiwa

Hii nchi ina vituko kwelikweli, kuna siku Kabudi na Lissu walikutana mahakamani kushindana kutafsiri sheria kwenye kesi? Je, serikali haijaona umuhimu wa kumtumia huyo Kabuni unayemsema kwenye kesi zile tunazodaiwa huko nje?
Ila wewe ni mpotoshaji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…