Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Wakuu naomba kujuzwa. Dhahabu iliyo kwenye muundo wa nugget zina bei sawa kwa gram ukilinganisha na dhahabu hizi wanazozichekecha kwenye makarai?
Gold is gold bei ni sawa....Sema watu wanapendelea nugget kwa sababu hutumi mercury

Ova
 
Wakuu naomba kujuzwa. Dhahabu iliyo kwenye muundo wa nugget zina bei sawa kwa gram ukilinganisha na dhahabu hizi wanazozichekecha kwenye makarai?
Gold nugget huwa inapatikana kwenye jiwe ....wakati wa kusaga jiwe unakutana nalo
Na dhahabu ya nyunga na vikole inapatikana kwenye vain ile kama ya zege

Ova
 
habari jf

kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu

karibu
habari jf

kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu

karibu


Naomba kufahamishwa QUARTZ ina thamani gani katika soko la madini !!!??
 
Wakuu mimi nina haya madini nataka kujua ni aina gani na soko lake kuna watu wameniambia ni colbat,copper,iron pia nimeambia kuna gold humo 0759292980
IMG-20170212-WA0012.jpeg
IMG-20170212-WA0013.jpeg
IMG-20170212-WA0010.jpeg
IMG-20170212-WA0014.jpeg
IMG-20170212-WA0011.jpeg
 
Mwenye madini ya Maika....ni cheap stone yananunuliwa Kwa tan..anijuze unatakiwa mzigo wa kutosha
 
nitumie namba kuna kitaru kina dhababbu ya kutosh unaweza kuni inbox napenda watu wanaotaka mafanikio ya haraka nakuakikishia nitakupa kitaro na utazalisha zaidi tuwalisiane kwa simu au whatsup
Mkuu na mimi pia nahitaji kitalu ni mkoa gani?
 
habari jf

kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu

karibu
Mkuu mshumbusi heshima kwako,nataraji kwa uwezo wa manani umzima.
Mkuu naomba kujuzwa "Je nitaitambuaje Ruby kwa kuitazama kama mimi si mzoefu wa.mambo ya madini ili niweze kugundua kuwa hii ni feki na hii ni original!".
Tafadhali mkuu naomba nisaidie hilo.
 
Mkuu mshumbusi heshima kwako,nataraji kwa uwezo wa manani umzima.
Mkuu naomba kujuzwa "Je nitaitambuaje Ruby kwa kuitazama kama mimi si mzoefu wa.mambo ya madini ili niweze kugundua kuwa hii ni feki na hii ni original!".
Tafadhali mkuu naomba nisaidie hilo.
Au yeyote ukumbini ambaye anaweza nisaidia jambo hili tafadhali asisite kunisaidia.
 
Mkuu Nina Ruby ya Longido kama kilo 2 na ushee na opal kidogo pamoja na mawe tofautitofauti ya kuchongwa ni Pm unitafutie mteja maana hali tete.
Mkuu habari yako, naomba nisaidie kama una uzoefu na madini ya ruby,nifahamishe sifa za ruby halisi na muonekano wake
 
habari jf

kama unaitaji kujua ,kufanya biashara ya madini ndni ya tanzania baasi njoo hapa na uhulize kitut chochote utajibiwa
kwa wanaotakakuwekeza kwenye dhahabu ,madini ya vito ,yaliyo katwa na yasio katwa baasi huu ndio wakati wa kutumia fulsa hii adimu

karibu
Rafiki, nataka kujua kwa hapa Tz nani anafanya cutting and polishing ya precious stones?
 
ongera sana kwakupenda hii biashara
kifupi mm nilianza biashara hii kwa kupata hasara sana na nilikua sijui bali nilifata hobi yangu ya kupenda hii biashara.nilianza biashara waka2009 na nilikua na jamaa yangu ambae niliamini anajua kumbe na yeye alikua hajui .hivyo nilinunu mawe kwa bei juu na kupata hasara

mara nyingine nilipewa fake na kupeleka sokoni na kupata hasara ., lakini mara zote nilikua sikati tamaa niliamini ipo siku nitaijui hii biashara ... nakumbuka niliwai kununu madini ambayo ni ya kiwango cha chini na nikapeleka dar es salaam ila sikuweza kuuza na nilirudi nayo home kipindi hicho nilikua naishi songea .... ila sikukata tamaa nikatoka nikaend amsumbiji nikaanza kuchimba na ila tulipata madini na tulivamiwa na askli wakatupiga na kutunyanganya madni ....mm niliwaacha wenzangu na kurudi home

nilipo rudi nilianza upya kutafuta mtaji nikata pesa kidogo nikaenda sumbwawanga nilipofika nilitafuta watu nikawambia natafuta madini wakanipa jamaa ambaye alijifanya anayajua mawe na atanileteeea baade alitoroka na pesa yangu ikabidi nirudi home nilipofika nikapiga kazi tena lakin nikapata kama mil2 then nikaenda kongo kufata madini yanayo itwa tomalin nilifanikiwa kumuona jamaa ila sikufanikiwa kupata ya quality nzur mudahuu nilikua tayari naya jua mawe then nikarudi home


baada ya hapo
nikaanza kufahamu kuwa biashra ya mawe sio rahisi inaitaji kujitoa nakujua kuwa biashara hii inaitaji kuwa serious sana kuliko biashra nyingine maana unadeal na vitu usivyo vijua kama vipo ala ndio nikaanza kuchimba kwa kuwapa watu pesa na kuchimbisha nakuona faida


nimekueleza haya yote ujue
(1) ina matapeli
(2) sio rahisi kama wengi wanavyo zania
(3)hutakiwi kuta tamaa
(4)nikazi kama kazi zingine yaani inaitaji kujua unachokifanya

jinsi ya kufanya kama unataka kufanya biashara hii
kunanjia mbili
1. uwe broker
2.mchimbaji
3.super deals

broker
huyu niyule anae nunua madini kutoka kwa wachimbaji wadhabu wanaitwa digaras.hapa unaitaji sana kuwa na pesa na pili unaitaji kuwa vifaa vya kuangalia mawe unayo nunu maana unaweza kupewa chupa au fake mawe . unatakiwa kuyafahamu mawe in details na jiwe linakuwa lina thamni gani mfn jiwe zuri linakua halina babo,cloud ,shape nzuri,no crack , pili inatakiwa ulipie leseni nadhani kwa sasa ni 250,000/=
na maweyenye than i ni yale yenye hardness kubwa kama ruby ,diamond ,sapphaya ,ya nayo bakia hayana thamani mani ya kawaida .... hubroker pia unauzuri wake maana wachimbaji wengi hawajui dhamn halisi ya bei
hii kwa kuanzia sikushaulio ufanye hii kuwa broker

uchimbaji
uchimbajio unaugumu wake ila au hitaji pesa zaidi ya pesa kidogo ya kuwapa wanao chimba na chakula .uchimbaj nimgumu kwakua unakaa polini kwa muda mrefu hadi unapo kuta njia au vein ya madini .... Kwa watu mlio zoea town hapa inakua ngumu sana wengi wanashindwa kukaa polini wanashindwa kuishi bina net work wanashindwa kuishi kwenye ugumu wa kula ugali na maharage .... hapa kwenye uchimbaji lazima ufate caption ndizo zinakupeleka kwenye gem mawe mazuri so inawenza kuchukua hata miezi 3 au zaidi na pia unaweza kukosa..kwa sasa kuna geologist wa kukodi unaweza kumkodi na akakuelekeza jinsi ya kuchimba na kupata kwa haraka

super deals
hawa niwele wanao nunu kutoka kwa blokers ..hawa kwa ruby wapo sana waphilipino . na wananunu kulingana na ubora nilio kueleza hapo mwanzo .pia wapo wanao kujaribu kujua kama unachokiuuza unakijua hii inaitaji mtaji mkubwa maana hawa ndio wanao uza nje ya nchi .unaweza umkauza hadio kwanza upate mteja kutoka nje na mara nyingi wanakuwa wannunua kwa kontena

mwisho
hakuna pesa rahis wangu inaitaji kujituma na kukubali kitu kilichpopo moyoni kwako
jaribu kama ukipata hasara usikate temaa komaaa
Mkuu naomba ushauri nataka kununua dhahabu ila sijui pa kuanzia na je ugumu,faida na hasara inakuwaje na nina capital ya milion mbili tu
 
Mwenye ruby ya longido(Zoisite) tuwasiliane Kuna order nimepata ya ton 2,lile tone jekundu liwe kwenye jiwe kwa 50%
Kama Kna mtu Yuko longido na anaweza pata hayo mawe tiwasiliane tufanye kazi
Order hiyo haina blah blah

Ova
 

Attachments

  • 7c7183455c40f6e3ea25277df457af3f.jpg
    7c7183455c40f6e3ea25277df457af3f.jpg
    22.7 KB · Views: 317
Mwenye ruby ya longido(Zoisite) tuwasiliane Kuna order nimepata ya ton 2,lile tone jekundu liwe kwenye jiwe kwa 50%
Kama Kna mtu Yuko longido na anaweza pata hayo mawe tiwasiliane tufanye kazi
Order hiyo haina blah blah

Ova
Ruby [emoji184]

Private geologist
 
Back
Top Bottom