Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
Mkuu bado unatafuta wawezaji kwa GypsumLindi mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bado unatafuta wawezaji kwa GypsumLindi mkuu.
unao nini mkuu,,nidm namba yako tutete tunaclaim hapo Lindi naleseniMkuu bado unatafuta wawezaji kwa Gypsum
Ndugu, ruby longido bado zinapatikana? Na soko lake vipi?inalipa?Mkuu Nina Ruby ya Longido kama kilo 2 na ushee na opal kidogo pamoja na mawe tofautitofauti ya kuchongwa ni Pm unitafutie mteja maana hali tete.
Mkuu toka aingie mzee baba soko limekuwa ni Shida.Mcheki member mmoja anaitwa Mrangi takupa uhakika.Ndugu, ruby longido bado zinapatikana? Na soko lake vipi?inalipa?
Shukrani bossMkuu toka aingie mzee baba soko limekuwa ni Shida.Mcheki member mmoja anaitwa Mrangi takupa uhakika.
Mkuu hii gypsum ninya wapi?una eneo kubwa kiasi gani?mshumbusi,
Naomba uniunganishe na wateja serious wa madini ya gypsum, purity yake ni 92%.
nitumie namba kuna kitaru kina dhababbu ya kutosh unaweza kuni inbox napatu wanaotaka mafanikio ya haraka nakuakikishia nitakupa kitaro na utazalisha zaidi tuwalisiaNE
0624320265Kulingana na hii topic kuwa interested na ni connection pia kwa wanunuzi na masoko kwa pendekezo langu tuanzishe whatsap group kuhusina na biashara na uwekezaji katika sector hii it will take us somewhre
kama unahitaji hilo
tuma number yako kwa 0767334778 kuunganishwa kwenye group la kuhusiana na madini
Mkuu habari yako mimi ni mgeni humu naomba kujua hili ni dini au lah na kama. Dini ni la aina gani?OK KUNAWACHINA NAKUTUMIACONTACT ZAO NICHEK INBOX![]()
Habari wakuu.ninatafuta partner wa kushirikiana nae kwenye uchimbaji wa gold maeneo ya mavota karibu na tulawaka goldmine.Nina leseni na nimeshachimba futi 120.nahitaji partner ambae atanunua crusher au kujenga plant ili tuanze kuozesha
Sent from my H7 using JamiiForums mobile app
Mkuu miaka 3 Sasa ishapitaa.. Natamani kuku join kwenye harakatiHabari wakuu.ninatafuta partner wa kushirikiana nae kwenye uchimbaji wa gold maeneo ya mavota karibu na tulawaka goldmine.Nina leseni na nimeshachimba futi 120.nahitaji partner ambae atanunua crusher au kujenga plant ili tuanze kuozesha
Sent from my H7 using JamiiForums mobile app
mimi napenda BIASHARA ya kuuza makilikia ya madini ya dhahabu Nina shida na mtaji kidogo nipo Geita na madura ninayo NAOMBA kupata mdau tushirikianeAkhsante kwa post yako
Tuwasiliane kupitia
0752746068
0655746067
Mkuu naomba kama Una Soko la nje nionganisheKama unaswali lolote kuhusu dhahabu niulize nitakujibu
Mkuu naomba kama Una Soko la nje nionganishe
Kiongozi Mimi nataka nijifunze kitu Kuna sehemu Kuna Mali na waliweka wakoloni sasa namna ya kuwapatia wateja hasa wazungu wenye interest maana Kuna mekyuli, dhahabu yenye rangi nyekundu na dhahabu yenye rangi ya bluu je naweza kuwapatia tukafanya biashara nao?Habari JF.
Kama unaitaji kujua, kufanya biashara ya madini ndani ya Tanzania, basi njoo hapa na uulize kitu chochote utajibiwa. Kwa wanaotaka kuwekeza kwenye dhahabu, madini ya vito, yaliyo katwa na yasio katwa basi huu ndio wakati wa kutumia fursa hii adimu.
Karibu