Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

mshumbusi,
Kwa hivyo vyote ulivyotaja inahitaj mtaji kama wa kiasi gani? Na kwa biashara kama ya madini ya ruby inalipa?
 
Mkuu Nina Ruby ya Longido kama kilo 2 na ushee na opal kidogo pamoja na mawe tofautitofauti ya kuchongwa ni Pm unitafutie mteja maana hali tete.
Ndugu, ruby longido bado zinapatikana? Na soko lake vipi?inalipa?
 
Is this something valuable or just a stone🤔 😂
 

Attachments

  • 20191127_172721.jpg
    20191127_172721.jpg
    80.6 KB · Views: 23
  • 20191127_172721.jpg
    20191127_172721.jpg
    80.6 KB · Views: 22
  • 20191127_172641.jpg
    20191127_172641.jpg
    98.2 KB · Views: 22
  • 20191127_172612.jpg
    20191127_172612.jpg
    57.7 KB · Views: 23
Kulingana na hii topic kuwa interested na ni connection pia kwa wanunuzi na masoko kwa pendekezo langu tuanzishe whatsap group kuhusina na biashara na uwekezaji katika sector hii it will take us somewhre
kama unahitaji hilo
tuma number yako kwa 0767334778 kuunganishwa kwenye group la kuhusiana na madini
0624320265
 
VP mkuu ulishapata partner. Ningependa pia kujiunga na Wewe ingiwa Sina ujuzi kabisa
Habari wakuu.ninatafuta partner wa kushirikiana nae kwenye uchimbaji wa gold maeneo ya mavota karibu na tulawaka goldmine.Nina leseni na nimeshachimba futi 120.nahitaji partner ambae atanunua crusher au kujenga plant ili tuanze kuozesha

Sent from my H7 using JamiiForums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu.ninatafuta partner wa kushirikiana nae kwenye uchimbaji wa gold maeneo ya mavota karibu na tulawaka goldmine.Nina leseni na nimeshachimba futi 120.nahitaji partner ambae atanunua crusher au kujenga plant ili tuanze kuozesha

Sent from my H7 using JamiiForums mobile app
Mkuu miaka 3 Sasa ishapitaa.. Natamani kuku join kwenye harakati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akhsante kwa post yako
Tuwasiliane kupitia
0752746068
0655746067
mimi napenda BIASHARA ya kuuza makilikia ya madini ya dhahabu Nina shida na mtaji kidogo nipo Geita na madura ninayo NAOMBA kupata mdau tushirikiane
 
Habari JF.

Kama unaitaji kujua, kufanya biashara ya madini ndani ya Tanzania, basi njoo hapa na uulize kitu chochote utajibiwa. Kwa wanaotaka kuwekeza kwenye dhahabu, madini ya vito, yaliyo katwa na yasio katwa basi huu ndio wakati wa kutumia fursa hii adimu.

Karibu
Kiongozi Mimi nataka nijifunze kitu Kuna sehemu Kuna Mali na waliweka wakoloni sasa namna ya kuwapatia wateja hasa wazungu wenye interest maana Kuna mekyuli, dhahabu yenye rangi nyekundu na dhahabu yenye rangi ya bluu je naweza kuwapatia tukafanya biashara nao?
 
Back
Top Bottom