Kwa vijana wa kiume mnaotarajia kuoa

Kwa vijana wa kiume mnaotarajia kuoa

1. Usioe kamwe mwanamke aliyeachika.

2. Usioe ndugu wa karibu.

3. Usioe mwanamke anayeomba omba Hela Kila mara, mwanamke mwenye upendo na wewe atakuhurumia.

4. Usimtegemee mwanamke kamwe..

5. Usiishi ukweni.

6. Usidate na mwanamke anayetumia muda mwingi saluni.

7. Jitahdi sana ukiwezekana oa kwenye kabila lako.

8. Oa mwanamke anayemudu majukumu madogo madogo ya nyumbani vizuri ,kama kupika,kufua,usafi wa ndani.

9. Kama mwanamke analewa piga chini,kama anapenda club na kuhudhuria events sana piga chini.

10. Usitafute mwanamke kwenye hadusi au kwenye event yoyote.

11. Usioe class mate.

12. Usioe ndugu wa karibu.

13. Usioe mwanamke ambaye hufahamu undani wa familia yao vizuri.

14. Kama mama ni kicheche Binti atafuata nyayo zake.

15. Usioe mwanamke kwa kumhurumia.

16. Kama sio single father usioe single mother.

17. Usioe mwanamke kama unatofautiana nae zaidi ya miaka 5.

18. Kama mwanamke hajiusishi na Imani ya Mungu ,shetani atakuwa upande wake.

19. Epuka mademu wote wasiopenda ujue wanapoishi.

20. Bukimpa mwanamke Hela ukisikia hii haitoshi temana naye.

21. Kama mwanamke alishawahi kutoa mimba fahamu kuwa anaweza kukuua hata wewe

22. Epuka mwanamke anayependa kutumia shortcut kwenye maisha.

23. Kama mwanamke ukiona anakurekebisha sana kuhusu mwonekano wako temana nae mapema.

24. Mwanamke mwenye ujasiri wa kutembea usiku sana ,hata akija kwako habadiliki rangi. Ki

25. Mwanamke asiyejisitiri vizuri.

26. Kama anakuzidi kipato sana, achana naye.

27. Kama familia yao ni tajiri sana kuliko ya kwenu.

28. Kama ni mchumba wa mtu mwingine na anataka kumwacha kwa ajili yako.
29. Kama hajui asili ya chimbuko lake ni wapi.

30. Kama chakula chake kikuu ni chipsi kuku daily.

31. Kama ana makucha marefu.

32. Kama anavaa mawigi nyenye rangi njano,bluu au redi.

33. Kama ametoboa pua, ulimi,k itovu.

34. Kama ana tattoo mwilini.

35. Kama anavaa cheni kiunoni au kikuku.

36. Kama anavuta bangi,au miraa.

37. Kama anaendaga kwa waganga

38. Kama ana chale au hirizi.

39. Kama anakutaka umwingilie kwa mpalange
Shekhe Walid anasemaga "Upungufu wa binadamu, ndio ukamilifu wake....".

Kila binadamu anamapungufu yake,Oa mwanamke utakayeweza kustahimili mapungufu yake.

Vigezo 39 huyo sio binadamu ni malaika.
 
Hiyo inaendana na ile kwamba usioe kwa kumuonea huruma.
Kwenye suala la ndoa, kupendana kunapaswa kutamkwa moja kwa moja, siyo kupitia. Kuonea huruma kuna tafsiri pana isiyohusu kupenda au kutopenda.

Iwekwe tu peke yake kupendana. Kwani kupendana ni suala la pande zote mbili.

Ova
 
Hapo cha kukazia ni USIISHI UKWENI. Bora hata ukalale nyumba haina madirisha ila sio kukaa ukweni.
Kuna jamaa alikuwa akiishi ukweni, bila haya na saa zingine analewa na kulewa na yule demu akimzingua na kichapo anakula... 😂
 
1. Usioe kamwe mwanamke aliyeachika.

2. Usioe ndugu wa karibu.

3. Usioe mwanamke anayeomba omba Hela Kila mara, mwanamke mwenye upendo na wewe atakuhurumia.

4. Usimtegemee mwanamke kamwe..

5. Usiishi ukweni.

6. Usidate na mwanamke anayetumia muda mwingi saluni.

7. Jitahdi sana ukiwezekana oa kwenye kabila lako.

8. Oa mwanamke anayemudu majukumu madogo madogo ya nyumbani vizuri ,kama kupika,kufua,usafi wa ndani.

9. Kama mwanamke analewa piga chini,kama anapenda club na kuhudhuria events sana piga chini.

10. Usitafute mwanamke kwenye hadusi au kwenye event yoyote.

11. Usioe class mate.

12. Usioe ndugu wa karibu.

13. Usioe mwanamke ambaye hufahamu undani wa familia yao vizuri.

14. Kama mama ni kicheche Binti atafuata nyayo zake.

15. Usioe mwanamke kwa kumhurumia.

16. Kama sio single father usioe single mother.

17. Usioe mwanamke kama unatofautiana nae zaidi ya miaka 5.

18. Kama mwanamke hajiusishi na Imani ya Mungu ,shetani atakuwa upande wake.

19. Epuka mademu wote wasiopenda ujue wanapoishi.

20. Bukimpa mwanamke Hela ukisikia hii haitoshi temana naye.

21. Kama mwanamke alishawahi kutoa mimba fahamu kuwa anaweza kukuua hata wewe

22. Epuka mwanamke anayependa kutumia shortcut kwenye maisha.

23. Kama mwanamke ukiona anakurekebisha sana kuhusu mwonekano wako temana nae mapema.

24. Mwanamke mwenye ujasiri wa kutembea usiku sana ,hata akija kwako habadiliki rangi. Ki

25. Mwanamke asiyejisitiri vizuri.

26. Kama anakuzidi kipato sana, achana naye.

27. Kama familia yao ni tajiri sana kuliko ya kwenu.

28. Kama ni mchumba wa mtu mwingine na anataka kumwacha kwa ajili yako.
29. Kama hajui asili ya chimbuko lake ni wapi.

30. Kama chakula chake kikuu ni chipsi kuku daily.

31. Kama ana makucha marefu.

32. Kama anavaa mawigi nyenye rangi njano,bluu au redi.

33. Kama ametoboa pua, ulimi,k itovu.

34. Kama ana tattoo mwilini.

35. Kama anavaa cheni kiunoni au kikuku.

36. Kama anavuta bangi,au miraa.

37. Kama anaendaga kwa waganga

38. Kama ana chale au hirizi.

39. Kama anakutaka umwingilie kwa mpalange
Kubwa kuliko lote
"USIOE MWANAMKE KAMA SIO BIKRA"
 
Back
Top Bottom