ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Ooh ahsante mkuuwapo, mpaka miaka 25,26,27 wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh ahsante mkuuwapo, mpaka miaka 25,26,27 wapo
Umri ukifika maji ya shingo utasikia, nataka mume mchamungu.
Shekhe Walid anasemaga "Upungufu wa binadamu, ndio ukamilifu wake....".1. Usioe kamwe mwanamke aliyeachika.
2. Usioe ndugu wa karibu.
3. Usioe mwanamke anayeomba omba Hela Kila mara, mwanamke mwenye upendo na wewe atakuhurumia.
4. Usimtegemee mwanamke kamwe..
5. Usiishi ukweni.
6. Usidate na mwanamke anayetumia muda mwingi saluni.
7. Jitahdi sana ukiwezekana oa kwenye kabila lako.
8. Oa mwanamke anayemudu majukumu madogo madogo ya nyumbani vizuri ,kama kupika,kufua,usafi wa ndani.
9. Kama mwanamke analewa piga chini,kama anapenda club na kuhudhuria events sana piga chini.
10. Usitafute mwanamke kwenye hadusi au kwenye event yoyote.
11. Usioe class mate.
12. Usioe ndugu wa karibu.
13. Usioe mwanamke ambaye hufahamu undani wa familia yao vizuri.
14. Kama mama ni kicheche Binti atafuata nyayo zake.
15. Usioe mwanamke kwa kumhurumia.
16. Kama sio single father usioe single mother.
17. Usioe mwanamke kama unatofautiana nae zaidi ya miaka 5.
18. Kama mwanamke hajiusishi na Imani ya Mungu ,shetani atakuwa upande wake.
19. Epuka mademu wote wasiopenda ujue wanapoishi.
20. Bukimpa mwanamke Hela ukisikia hii haitoshi temana naye.
21. Kama mwanamke alishawahi kutoa mimba fahamu kuwa anaweza kukuua hata wewe
22. Epuka mwanamke anayependa kutumia shortcut kwenye maisha.
23. Kama mwanamke ukiona anakurekebisha sana kuhusu mwonekano wako temana nae mapema.
24. Mwanamke mwenye ujasiri wa kutembea usiku sana ,hata akija kwako habadiliki rangi. Ki
25. Mwanamke asiyejisitiri vizuri.
26. Kama anakuzidi kipato sana, achana naye.
27. Kama familia yao ni tajiri sana kuliko ya kwenu.
28. Kama ni mchumba wa mtu mwingine na anataka kumwacha kwa ajili yako.
29. Kama hajui asili ya chimbuko lake ni wapi.
30. Kama chakula chake kikuu ni chipsi kuku daily.
31. Kama ana makucha marefu.
32. Kama anavaa mawigi nyenye rangi njano,bluu au redi.
33. Kama ametoboa pua, ulimi,k itovu.
34. Kama ana tattoo mwilini.
35. Kama anavaa cheni kiunoni au kikuku.
36. Kama anavuta bangi,au miraa.
37. Kama anaendaga kwa waganga
38. Kama ana chale au hirizi.
39. Kama anakutaka umwingilie kwa mpalange
😅😂 nmekumithikukesha tu bar,ila kanisani/msikitini aaah
Hiyo inaendana na ile kwamba usioe kwa kumuonea huruma.Ziko baadhi sikubaliani nazo. Vilevile Labda ulisahau na hii ya muhimu, basi niongeze moja, kwamba usioe mwanamke MSIYEPENDANA.
Ova
kumbe ndoman nmeota nakimbizwa 😂,, fanya uoe kijana😅😂 nmekumithi
Kwenye suala la ndoa, kupendana kunapaswa kutamkwa moja kwa moja, siyo kupitia. Kuonea huruma kuna tafsiri pana isiyohusu kupenda au kutopenda.Hiyo inaendana na ile kwamba usioe kwa kumuonea huruma.
Kuna jamaa alikuwa akiishi ukweni, bila haya na saa zingine analewa na kulewa na yule demu akimzingua na kichapo anakula... 😂Hapo cha kukazia ni USIISHI UKWENI. Bora hata ukalale nyumba haina madirisha ila sio kukaa ukweni.
Kibao!Hivi wapo bado?
Kubwa kuliko lote1. Usioe kamwe mwanamke aliyeachika.
2. Usioe ndugu wa karibu.
3. Usioe mwanamke anayeomba omba Hela Kila mara, mwanamke mwenye upendo na wewe atakuhurumia.
4. Usimtegemee mwanamke kamwe..
5. Usiishi ukweni.
6. Usidate na mwanamke anayetumia muda mwingi saluni.
7. Jitahdi sana ukiwezekana oa kwenye kabila lako.
8. Oa mwanamke anayemudu majukumu madogo madogo ya nyumbani vizuri ,kama kupika,kufua,usafi wa ndani.
9. Kama mwanamke analewa piga chini,kama anapenda club na kuhudhuria events sana piga chini.
10. Usitafute mwanamke kwenye hadusi au kwenye event yoyote.
11. Usioe class mate.
12. Usioe ndugu wa karibu.
13. Usioe mwanamke ambaye hufahamu undani wa familia yao vizuri.
14. Kama mama ni kicheche Binti atafuata nyayo zake.
15. Usioe mwanamke kwa kumhurumia.
16. Kama sio single father usioe single mother.
17. Usioe mwanamke kama unatofautiana nae zaidi ya miaka 5.
18. Kama mwanamke hajiusishi na Imani ya Mungu ,shetani atakuwa upande wake.
19. Epuka mademu wote wasiopenda ujue wanapoishi.
20. Bukimpa mwanamke Hela ukisikia hii haitoshi temana naye.
21. Kama mwanamke alishawahi kutoa mimba fahamu kuwa anaweza kukuua hata wewe
22. Epuka mwanamke anayependa kutumia shortcut kwenye maisha.
23. Kama mwanamke ukiona anakurekebisha sana kuhusu mwonekano wako temana nae mapema.
24. Mwanamke mwenye ujasiri wa kutembea usiku sana ,hata akija kwako habadiliki rangi. Ki
25. Mwanamke asiyejisitiri vizuri.
26. Kama anakuzidi kipato sana, achana naye.
27. Kama familia yao ni tajiri sana kuliko ya kwenu.
28. Kama ni mchumba wa mtu mwingine na anataka kumwacha kwa ajili yako.
29. Kama hajui asili ya chimbuko lake ni wapi.
30. Kama chakula chake kikuu ni chipsi kuku daily.
31. Kama ana makucha marefu.
32. Kama anavaa mawigi nyenye rangi njano,bluu au redi.
33. Kama ametoboa pua, ulimi,k itovu.
34. Kama ana tattoo mwilini.
35. Kama anavaa cheni kiunoni au kikuku.
36. Kama anavuta bangi,au miraa.
37. Kama anaendaga kwa waganga
38. Kama ana chale au hirizi.
39. Kama anakutaka umwingilie kwa mpalange
Sasa ndoto yako na kukumis kunahusianaje? Mwisho wa siku useme nachukia wasabato.kumbe ndoman nmeota nakimbizwa 😂,, fanya uoe kijana
wasabato unawapenda sana,haipiti wiki hujanihusisha nao,,kama unataka kuoa msabato nenda kapange karibu na kanisa la SDASasa ndoto yako na kukumis kunahusianaje? Mwisho wa siku useme nachukia wasabato.
Nipe location kwa hapo dodomawasabato unawapenda sana,haipiti wiki hujanihusisha nao,,kama unataka kuoa msabato nenda kapange karibu na kanisa la SDA
aloooh umenifananisha,,dodoma tenaNipe location kwa hapo dodoma
Nilidhani ni wa dom, miili hiyo ipo sana dodomaaloooh umenifananisha,,dodoma tena
Hahahaha 😂 jinga weyeNilidhani ni wa dom, miili hiyo ipo sana dodoma
Pacha wako dada wa taifa sijui alikutorokaje akaenda amerika.Hahahaha 😂 jinga weye
niombe msamaha wewePacha wako dada wa taifa sijui alikutorokaje akaenda amerika.
Kwanininiombe msamaha wewe