Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengi saizi wana mafua hauko peke yako
Hawachanganyi damu
Haujaikamilisha sentensi yako... 'Hawachanganyi damu na mwafrika'.Hawachanganyi damu
Naona watu wanavaa barakoa ,vipi "FUTA" limerudi tena?Watu wengi saizi wana mafua hauko peke yako
Hao huwa wanaoana wao kwa waoHaujaikamilisha sentensi yako... 'Hawachanganyi damu na mwafrika'.
Waisrael wengi ni wazungu kutokana na kuchanganya damu kutoka mataifa mbali mbali ya Ulaya na Asia walikokimbiliaga uhamishoni.
Hapana usiwe na wasiwasi; ni binadamu kabisa kama binadamu wengine tena wenye westeren culture ya kujichanganya, siyo kama waarabu. Zamani sana ningali kijana nusura nibanduke na mmoja wao wakati nikiwa Tokyo na yeye akiwa anatalii pale baada ya kumaliza mNational Service. Ni kwa vile nilikuwa na mjapani aliyekuwa ananibana sana.Hawachanganyi damu
Kwamba mi naweza nikawa sawa na Aucho?Wewe siyo kijana wa kiume anayetafuta mchumba; ni mzee kama mimi ila unataka kuwabania vijana wasipate fursa.
Huku mtaani watu hawavai hayo madudeNaona watu wanavaa barakoa ,vipi "FUTA" limerudi tena?
Kashika nini hiyo mkono wa kushoto?🤔