Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
watu mnapenda kujisingiza sana, Lissu alimtetea zaidi Mbowe kuliko Mbowe alivyomkabili Lissu, mnapenda sana kutengeneza vistory ili ku justify ujinga wenu.
Mfano hiyo join the chain, inaonyesha dhhiri mlivyo visolokwinyo. Wene ndiye aliibua na kudai ilianzishwa na akina Lissu ili kumpindua Mbowe, Katibu Mkuu wenu akaitolea ufafanuzi halafu wewe leo unakuja na story zako mpya.

Kwenye Kampeni zenu ninyi mlimtukana sana Lissu, lakini kila anayemuunga mkono Lissu kila aliposimama alianza kwa kumshukuru na kumsifu Mbowe, hali ambayo kwenu timu ya upande mwingine ilikuwa ni tofauti kabisa
 
samia na jopo lake la walafi, waroho wa madaraka na machawa wake ndani ya ccm wamesoma uzi huu, walipofika kwenye paragraph inayomtaja gwajima wakaishia kucheka, wamecheka sana mpaka wamegalagala
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
Chadema na Mbowe ni kitu kimoja, huwezi kusema hayo uliyoyasema kama wewe ni "mature politician" ulivyoongea hapo ni typical CCM politics, siasa za visa. Sasa hivi ni muda wa Mbowe kuonyesha (prove) kua yeye siyo yule aliyefikiriwa kama wewe unavyotaka kutuelewa, wewe ni old school real, ingia kwenye kundi.

Hata Lisu akienda mrama naye tutamvaa.

Wote ni CHADEMA, siasa siyo uadui.
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
Unataka kusema nini sasa wewe mbogamboga?
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
Mbowe alichafuliwa haswa
 
Ninachoamini mimi kuna game imeshindikana. Kumchokonoa Mbowe ili ajae vizuri yeye na supporters wake ili kuwazuia Lisu na Heche wasigombee ili kuleta mgogoro ndani ya chama NA MWISHO KABISA LISU NA HECHE WAONDOKE CHADEMA kwenda kuunga juhudi au kujiunga na ACT.

Hata kwenye uchaguzi waliofanya ingetokea Mbowe kushinda lazima kungetengenezwa mgogoro.

Plan A imefeli kutokana na umafya wa Mbowe
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
Mbowe alifanyiwa timing, kamwe kwa hiari yake, kwa mapenzi yake asingemwachia chama Lissu, alijiamini for nothing. Chadema sasa ndio ya kitaifa imetoka mikononi mwa kabila.
 
Ninachoamini mimi kuna game imeshindikana. Kumchokonoa Mbowe ili ajae vizuri yeye na supporters wake ili kuwazuia Lisu na Heche wasigombee ili kuleta mgogoro ndani ya chama NA MWISHO KABISA LISU NA HECHE WAONDOKE CHADEMA kwenda kuunga juhudi au kujiunga na ACT.

Hata kwenye uchaguzi waliofanya ingetokea Mbowe kushinda lazima kungetengenezwa mgogoro.

Plan A imefkutokana na umafya wa Mbowe
Acheni ulofa Mbowe ni kiazi tu hana umafia wowote. Mwenyekiti wa miaka 21 anashindwa kwenye uchaguzi? Ile ni aibu ya karne, ameondoka kwa aibu na fedheha, kawaida mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Uchaguzi wa ndani ya chadema umeshafanyika na mshindi amejulikana.
The game is over ndani ya chadema.
Move on retired.
Acha Tundu Antipas Lissu na anaoshirikiana nao waijenge chadema.
#Stronger together.
Chama kimeshazikwa rasmi. Heche ndio angeweza kukiokoa chadomo. Kwa bahati mbaya amegombea umakamu. Wacha wafu wazike wafu wao.
 
Back
Top Bottom