Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa
Your content
Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa join the chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee et al
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji
Hiyo F. natafuta ile voice note ya Mbowe na Wema Sepetu.
 
Sio kweli, ni BABA wa demokrasia maana uchaguzi uliofanyika hakuna kiongozi wa chama amewahi jaribu kufanya. Kaondoka na heshima kubwa mnoo hata sisi tuliompinga tumesahau yote na tunakumbuka demokrasia yake
Wewe, siyo Lisu, Lema and Co.Ltd, including Maria "space", Slaa and so many others! Kuna watu hutegemei to behave in such a manner, a rude worthless manner!
Watu tuliowajua na kuwategemea! I am very much disappointed
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa
Your content
Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa join the chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee et al
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji
Unajua kuna wale watu kukubali kuwa its over ni ngumu? Ndio wewe sasa. Punguxa kung'ang'ania
 
Unajua kuna wale watu kukubali kuwa its over ni ngumu? Ndio wewe sasa. Punguxa kung'ang'ania
History should be kept right! Kuna ya kisahau, siyo haya ya deliberate "assassination"

Mbona Lisu bado anaimba wimbo wa risasi 16. YOU CAN NEVER FORGET THAT MU DEAR
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa
Your content
Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa join the chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee et al
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji
Harafu Kuna mapunguani Huwa wanaacha shughuli zao wanaenda kuhangaika kupigia makelele Wanasiasa pasi kunufaila na chochote.

Kwa sisi tunaeona Michezo ya siasa labda utatukuta tuna enjoy humu mitandaoni lakini sio kuacha mambo yetu eti tunaenda kuoigni Wanasiasa pasi kunufaika,hiyo ni kazi ya wajinga.
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa
Your content
Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa join the chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee et al
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji
Binafsi nimefurahia sana jinsi Machadema walivyodhariridhana Kwa sababu hizo tabia za kishenzi ndio wamekuwa Wana wa brand wan CCM miaka Mingi ,kuita watu chawa ,sijui kusema hawana akili kisa hawawaungi wao mkono .

Sasa yamewakuta wao ni Raha tupu Kwangu.
 
watu mnapenda kujisingiza sana, Lissu alimtetea zaidi Mbowe kuliko Mbowe alivyomkabili Lissu, mnapenda sana kutengeneza vistory ili ku justify ujinga wenu.
Mfano hiyo join the chain, inaonyesha dhhiri mlivyo visolokwinyo. Wene ndiye aliibua na kudai ilianzishwa na akina Lissu ili kumpindua Mbowe, Katibu Mkuu wenu akaitolea ufafanuzi halafu wewe leo unakuja na story zako mpya.

Kwenye Kampeni zenu ninyi mlimtukana sana Lissu, lakini kila anayemuunga mkono Lissu kila aliposimama alianza kwa kumshukuru na kumsifu Mbowe, haki ambayo kwenu timu ya upande mwingine ilikuwa ni tofauti kabisa
Sijawahi sikia Mbowe akitukana mtu hiyo sio silka ya watu wenye hela ila ni hulka ya maskini maana hawana Cha kupoteza
 
History should be kept right! Kuna ya kisahau, siyo haya ya deliberate "assassination"

Mbona Lisu bado anaimba wimbo wa risasi 16. YOU CAN NEVER FORGET THAT MU DEAR
You have no logic, first ulikuwa unamshambulia hawezi kushinda, but then akashinda bado tena uko pale pale?

Yaani unachotaka ni nani?
 
. Matokeo ni lissu kuibuka mshindi, msimsakame muacheni afanye kazi ya kukijenga chama hicho katika maono mapya. Huu si wakati wa kuandika upupu juu ya chama hicho
Chama hakijengwi kwa maneno matupu bila pesa

Uchaguzi huu unaokuja Lisu hatakuwa na pesa hata za kujenga majukwaa ya kuhutubia ya maana

Kuna hatari Lisu aweza hutubia alkwa kasimama juu ya pipa

Asione yale.majukwaa mazuri alikuwa anayatumia wakati wa Mbowe.Pesa ilitumika

Changamoto ya kwanza ya Lisu ni ukosefu wa hela yaani ukata wa nguvu

Halafu viongozi wote alionao akiwemo yeye anasubiri chama kimpe pesa wakati hakina hela
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
Wanaokataa kwamba kundi la Lissu lilifanya siasa chafu ni wajinga na wasiopenda kuona ukweli ukitamalaki.

Binafsi nilimpigia kura Lissu 2020 lakini aina ya siasa zake siwezi kumpigia kura 2025.
 
NO COMMENT
Umeandika kama mtoto anaejifunza kutembea, ungeweka ushaidi kwenye kila shutuma ungeonekana wa maana sana.
Au wewe ukitaka Mbowe agombee na Odero Charles Odero pekee? Mbowe alikuwa anaambiwa madhaifu yake wakati wa kampeni ili wajumbe wajiamulie baada ya kupima hoja ila yeye akajikita kwa namna alivyomsaidia Lissu sasa unajiuliza alikuwa anatoa rushwa?

Kubalini Demokrasia mnayojipambanua kama Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
 
Back
Top Bottom