Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!

Asingegombea hayo yangetoka wapi?
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
Ikiwa dhamira yake ni kuhama,najua hana pingu,ila kuhama itatoa tafsiri sahihi zaidi.
 
Kuna watu Nilikuwa nawaheshimi nikiamini wana busara kama Huyu Retired.

Kumbe ni mbaguzi mmoja wa hovyo kabisa. Hakuna busara hapo
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
Iwapo hiyo itaitwa ya mapinduzi je ile ya covid_19 tuiite ya dunia au ya wenyewe kwa wenyewe au ya kimbari?
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!

Kwa hiyo unamshauri asuse chama kwa akina Lissu? Mbona yeye alivyokuwa kiongozi alipewa ushirikiano kikamilifu?
 
Hii ni kweli kabisa, kuisha kwa uchaguzi sio mwisho wa character assassination iliyofanywa na ATL. Heri hata Henche alibalance vizuri sana speech zake. Sioni namna ATL atayamaliza na kundi la Mbowe.
KAA NAO UWAJUE, KUMBE LISU NI POWERMONGER!.........................A person who wields power in a tyrannical or irresponsible fashion. Put in a simple meaning, a person who seeks power in an excessive or harmful way
 
Wewe, siyo Lisu, Lema and Co.Ltd, including Maria "space", Slaa and so many others! Kuna watu hutegemei to behave in such a manner, a rude worthless manner!
Watu tuliowajua na kuwategemea! I am very much disappointed
Mahaba binafsi kwa Mbowe ndiyo yaakutesa na utateseka sana, Mbowe mwenyewe ameshakubali yaishe anaendelea na mishe zake wewe kila siku unaomboleza hapa utafikiri umefiwa na mumeo.
 
Aisee acha hizi, nyang'au wewe...

Kama ni ishu ya kutukana na kubagaza, Freeman Mbowe yeye mwenyewe personally ukiacha chawa wake, alimtukana na kumbagaza Tundu Lissu waziwazi mpaka jamii ilibidi kumkemea. Mfano:

1. Alitamba waziwazi na mchana kweupe kuwa Tundu Lissu ni masikini (mbangaizaji) asiye na pesa za kuendesha chama. Yeye ni tajiri, mwenye biashara kubwa ndani na nje ya nchi na amekikopesha chama TZS 250,000,000 (kukinunua/rushwa) ili kiendeshe uchaguzi..

2. Alitamba waziwazi na mchana kweupe kuwa "Tundu Lissu hana shukrani" eti tu kwa kuwa alishawahi kumuazima gari miaka mingi iliyopita na kisha kurufishiwa gari lake. Yaani ujinga na upuuzi huu wa Freeman Mbowe ulikuwa ukimtoka kinywani mwake kwa sababu tu alishajijengea dhana potofu na ya kijinga kichwani mwake kuwa "uenyekiti wa CHADEMA ni mali yake binafsi na familia yake" na yeyote ajaribuye kuutaka, atakuwa ni haini na muasi asiye na shukrani...!!

3. Alitamba waziwazi na mchana kweupe kuwa yeye ndiye aliokoa maisha ya Tundu Lissu mwaka 2017 baada ya kupigwa risasi na Magufuli. Hii obvious ilikuwa ni kufuru mbele ya Mungu Yehova.

MFANO;

➡ Yaani Freeman Mbowe alitaka watu waamini kuwa yeye ndiye alitoa ndege kumsafirisha kwenda Nairobi...?

➡ Yaani Freeman Mbowe alitaka watu tuamini kuwa yeye ndiye alitoa gari la yule mfanyakazi wa Naibu Spika Dr. Tulia Ackson by then mara baada ya ya shambulizi kumkimbiza Hospital Dodoma...?

➡ Yaani Freeman Mbowe anataka watu waamini kuwa yeye na chawa wake ndiyo walitoa mamia ya lita za damu kuokoa uhai wa TL kuanzia Dodoma, kisha Nairobi na mwisho Ubelgiji..?

➡ Yaani Freeman Mbowe anataka tuamini kuwa yeye na chawa wake kina nyie Retired, Yericko Nyerere, Bon Yai nk ndo mlimtunza Tundu Lissu na familia yake kwa fedha, chakula, hewa ya Oxygen nk kwa muda wote alipokuwa Nairobi (Kenya) na Leuvern - Ubelgiji...? Really..?

Hivi mtu sampuli ya Freeman Mbowe anaposimama mbele za watu kutoa hoja kama hizo☝🏻☝🏻☝🏻ili kutetea uenyekiti wake CHADEMA wewe na jamii tumwoneje eti? Si anaonekana ni mtu asiye na hoja kabisa na badala yake anaamua kujifucha nyuma ya vituko..?

NA NYIE CHAWA WAKE AMBAO NI KAMA HAMUAMINI KILICHOTOKEA NA BADO MNATAKA KUENDELEZA UJINGA NA UPUMBAVU, HIVI:

##Mnajua kuwa huku kutamba kwenu kwa namna hii ya kishetani juu ya mtu huyu (Tundu Lissu) ni kumkufuru Mungu Yehova na ni kujaribu kutwaa utukufu na heshima yake Mungu muumba...?

## Mnajua gharama ya adhabu yake..?

##Mnajua kuwa Mungu muumba ana wivu mkubwa sana na utukufu wake..?

## Hivi mnajua kuwa binadamu yeyote anayejaribu kujiweka mahali pa Mungu kwa kuchukua utukufu wake anaweza kukumbana na adhabu kali sana itakayoathiri hadi kizazi chake cha nne..?

Retired don't be carried by your stupidity and ego. It will cost very dearly...!!
This is deep
 
Majeraha ya Uchaguzi hayajatibika bado?

Fundi Mchundo Lusungo Ngongo Retired
It is not a matter of machngu ya uchaguzi, It is how the campaigns were conducted...PURE CHARACTER ASSASSINATIONS! Ni integrity ya watu ilivyokuwa compromised ili kupata so called cheo ( if at all it can be christened cheo)HILI HALIWEZI KUISHA MILLELE! Lisu et al wanajua walipokosea. Siwezi kuongozwa na mtu kama Lisu NEVER!
 
It is not a matter of machngu ya uchaguzi, It is how the campaigns were conducted...PURE CHARACTER ASSASSINATIONS! Ni integrity ya watu ilivyokuwa compromised ili kupata so called cheo ( if at all it can be christened cheo)HILI HALIWEZI KUISHA MILLELE! Lisu et al wanajua walipokosea. Siwezi kuongozwa na mtu kama Lisu NEVER!
You might be having an episode of Psychiatric case or PTSD, seek some medical care ASAP.
 
Siwezi kuongozwa na mtu kama Lisu NEVER!
Is that the Tundu Lissu's business..?

That's your decision.

Wako viongozi wengi sana wa vyama vya siasa wanaoweza kukuongoza...

➡️Yuko Lipumba na CUF, unaweza kwenda huko Ili uongozwe naye...

➡️Yuko Samia Suluhu Hassan na CCM yake, nenda huko uongozwe naye...

➡️Yupo Zito Kabwe wa ACT WAZALENDO, nenda kwake akuongoze...

➡️Yupo Hashimu Sipunda na CHAUMA yake, nenda kwake akuongoze

## Vilevile unaweza kwenda kwenye familia ya Freeman Mbowe ili uongozwe naye..
 
Ushirikiano gani mfano aliompa Lisu? Kumporomosshea matusi Mbowe akiwa kiongozi kuwa ni mla rushwa,nk ndio kumpa ushirikiano?

Kuwa makini sana na wanasiasa. Siyo mara zote Wanachoongea wanamaanisha. Kama unakumbuka kuna kipindi walimtukana Lowassa kwa muda wa miaka saba wakizunguka huko na huko wakimwita fisadi. Baada ya hapo unajua kilichotokea
 
Kuwa makini sana na wanasiasa. Siyo mara zote Wanachoongea wanamaanisha. Kama unakumbuka kuna kipindi walimtukana Lowassa kwa muda wa miaka saba wakizunguka huko na huko wakimwita fisadi. Baada ya hapo unajua kilichotokea
Sawa Lowassa walimtukana akiwa nje ya chama alikuwa CCM

Lakini hili la makamu mwenyekiti Lisu kumporomoshea matusi boss wake Mwenyekiti wa Chadema Mbowe ni beyond imagination kwa kweli

Mbowe hajatendewa haki kabisa sababu ni mtu wa ndani ya chama na Mwanzilishi

Mzee Mbowe kaonewa sana na Lisu

Ila Lisu ajue kitu kimoja kanda ya kaskazini hata agombee uraisi hatapata kura

Mbowe ndie mwamba wa kaskazini

Na watu wa kaskazini wengi hawapendi dharau au udharau mtu wao wanayemheshimu.Mbowe anaheshimika mno kanda ya kaskazini

Lisu akitaka kuhutubia Kilimanjaro mfano atapata hali ngumu na mahudhurio yatakuwa hafifu mno

Kifupi kura za kanda ya kaskazini keshazipoteza kwa rafu zake alizomchezea Mbowe
 
# Vilevile unaweza kwenda kwenye familia ya Freeman Mbowe ili uongozwe naye
Haya ni matusi, na nimesema siku zote sitaki matusi. Kama unaona huwezi jibu hoja kwa hoja, bali matusi, just skip the business!
Basi nami nasema kwa upole kabisa, Nitakwenda Kwa mama yako aniongoze, kwa Mbowe siendi katu
 
Back
Top Bottom