Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Chama kimeshazikwa rasmi. Heche ndio angeweza kukiokoa chadomo. Kwa bahati mbaya amegombea umakamu. Wacha wafu wazike wafu wao.
si kweli, chadema bado ina nguvu sana. kikasoro hiki cha uchaguzi nadhani huko mbeleni hakitarudiwa.
 
Umeandika kama mtoto anaejifunza kutembea, ungeweka ushaidi kwenye kila shutuma ungeonekana wa maana sana.
Au wewe ukitaka Mbowe agombee na Odero Charles Odero pekee? Mbowe alikuwa anaambiwa madhaifu yake wakati wa kampeni ili wajumbe wajiamulie baada ya kupima hoja ila yeye akajikita kwa namna alivyomsaidia Lissu sasa unajiuliza alikuwa anatoa rushwa?

Kubalini Demokrasia mnayojipambanua kama Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Rubbish of you! I am quoting what Lisu and his team said. All that shit is in the public domain!
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
Ww ujakomaa siasa n mchezo mchafu lazma upgwe kwa maneno ilimradi mtu apate point 3 muhimu then uchaguz tunaombana radhi maisha yanaenda ndy siasa
 
Wanaokataa kwamba kundi la Lissu lilifanya siasa chafu ni wajinga na wasiopenda kuona ukweli ukitamalaki.

Binafsi nilimpigia kura Lissu 2020 lakini aina ya siasa zake siwezi kumpigia kura 2025.
wajnga ni kama wewe ambao ni short sighted kuona the context of all makelele that ws aired! ....kuwa kulikuwa na njama za kupindiana. sasa yameishia wapi yote waliyompakazia.......hawyasemi maana ukweli hudumu
 
Ww ujakomaa siasa n mchezo mchafu lazma upgwe kwa maneno ilimradi mtu apate point 3 muhimu then uchaguz tunaombana radhi maisha yanaenda ndy siasa
That is rubbish! Umseme mwenzako kuwa huyu alimbaka mama yake, halafu kesho useme ni point 3.... Think deep!
 
That is rubbish! Umseme mwenzako kuwa huyu alimbaka mama yake, halafu kesho useme ni point 3.... Think deep!
Ndy siasa kama uwezi unakaa pembeni maana ukiwa uko utakutana na maneno mengi ya kuuz zaid ya maumivi ila inapaswa kushnda
 
Uchaguzi wa ndani ya chadema umeshafanyika na mshindi amejulikana.
The game is over ndani ya chadema.
Move on retired.
Acha Tundu Antipas Lissu na anaoshirikiana nao waijenge chadema.
#Stronger together.
sio kirahisi hivyo

aftermath bado haijafanyika.....lazima chama kiumizwe sana
 
Chadema imekufa imebaki kumbukumbu mbaya ya uchaguz wa uenyekit...
CCM oyeee daima milele
 
Rubbish of you! I am quoting what Lisu and his team said. All that shit is in the public domain!
Acha makasiriko, lete hoja zenye ushahidi mezani. Tofauti na hapo unendeleza siasa za maji taka.
 
Kwa vyovyote vile pande zote mbili baada ya uchaguzi tulitegemea upande mmoja ushinde, na mwingine ushindwe, na kwa upande ulioshinda ndiyo salama ya chadema. Upande ulioshindwa unaweza kukubali hata kuendelea na shughuli za chama.
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
Aisee acha hizi, nyang'au wewe...

Kama ni ishu ya kutukana na kubagaza, Freeman Mbowe yeye mwenyewe personally ukiacha chawa wake, alimtukana na kumbagaza Tundu Lissu waziwazi mpaka jamii ilibidi kumkemea. Mfano:

1. Alitamba waziwazi na mchana kweupe kuwa Tundu Lissu ni masikini (mbangaizaji) asiye na pesa za kuendesha chama. Yeye ni tajiri, mwenye biashara kubwa ndani na nje ya nchi na amekikopesha chama TZS 250,000,000 (kukinunua/rushwa) ili kiendeshe uchaguzi..

2. Alitamba waziwazi na mchana kweupe kuwa "Tundu Lissu hana shukrani" eti tu kwa kuwa alishawahi kumuazima gari miaka mingi iliyopita na kisha kurufishiwa gari lake. Yaani ujinga na upuuzi huu wa Freeman Mbowe ulikuwa ukimtoka kinywani mwake kwa sababu tu alishajijengea dhana potofu na ya kijinga kichwani mwake kuwa "uenyekiti wa CHADEMA ni mali yake binafsi na familia yake" na yeyote ajaribuye kuutaka, atakuwa ni haini na muasi asiye na shukrani...!!

3. Alitamba waziwazi na mchana kweupe kuwa yeye ndiye aliokoa maisha ya Tundu Lissu mwaka 2017 baada ya kupigwa risasi na Magufuli. Hii obvious ilikuwa ni kufuru mbele ya Mungu Yehova.

MFANO;

➡ Yaani Freeman Mbowe alitaka watu waamini kuwa yeye ndiye alitoa ndege kumsafirisha kwenda Nairobi...?

➡ Yaani Freeman Mbowe alitaka watu tuamini kuwa yeye ndiye alitoa gari la yule mfanyakazi wa Naibu Spika Dr. Tulia Ackson by then mara baada ya ya shambulizi kumkimbiza Hospital Dodoma...?

➡ Yaani Freeman Mbowe anataka watu waamini kuwa yeye na chawa wake ndiyo walitoa mamia ya lita za damu kuokoa uhai wa TL kuanzia Dodoma, kisha Nairobi na mwisho Ubelgiji..?

➡ Yaani Freeman Mbowe anataka tuamini kuwa yeye na chawa wake kina nyie Retired, Yericko Nyerere, Bon Yai nk ndo mlimtunza Tundu Lissu na familia yake kwa fedha, chakula, hewa ya Oxygen nk kwa muda wote alipokuwa Nairobi (Kenya) na Leuvern - Ubelgiji...? Really..?

Hivi mtu sampuli ya Freeman Mbowe anaposimama mbele za watu kutoa hoja kama hizo☝🏻☝🏻☝🏻ili kutetea uenyekiti wake CHADEMA wewe na jamii tumwoneje eti? Si anaonekana ni mtu asiye na hoja kabisa na badala yake anaamua kujifucha nyuma ya vituko..?

NA NYIE CHAWA WAKE AMBAO NI KAMA HAMUAMINI KILICHOTOKEA NA BADO MNATAKA KUENDELEZA UJINGA NA UPUMBAVU, HIVI:

##Mnajua kuwa huku kutamba kwenu kwa namna hii ya kishetani juu ya mtu huyu (Tundu Lissu) ni kumkufuru Mungu Yehova na ni kujaribu kutwaa utukufu na heshima yake Mungu muumba...?

## Mnajua gharama ya adhabu yake..?

##Mnajua kuwa Mungu muumba ana wivu mkubwa sana na utukufu wake..?

## Hivi mnajua kuwa binadamu yeyote anayejaribu kujiweka mahali pa Mungu kwa kuchukua utukufu wake anaweza kukumbana na adhabu kali sana itakayoathiri hadi kizazi chake cha nne..?

Retired don't be carried by your stupidity and ego. It will cost very dearly...!!
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
Hii ni kweli kabisa, kuisha kwa uchaguzi sio mwisho wa character assassination iliyofanywa na ATL. Heri hata Henche alibalance vizuri sana speech zake. Sioni namna ATL atayamaliza na kundi la Mbowe.
 
Mbowe alifanyiwa timing, kamwe kwa hiari yake, kwa mapenzi yake asingemwachia chama Lissu, alijiamini for nothing. Chadema sasa ndio ya kitaifa imetoka mikononi mwa kabila.
Hii hoja yako haina mantiki, yani Mbowe akiwa mwenyekiti inakuwa ni chama cha kikabila, Lisu akiwa mwenyekiti ni chama cha kitaifa!
 
Acheni ulofa Mbowe ni kiazi tu hana umafia wowote. Mwenyekiti wa miaka 21 anashindwa kwenye uchaguzi? Ile ni aibu ya karne, ameondoka kwa aibu na fedheha, kawaida mwisho wa ubaya ni aibu.
Mimi sio Chadema ila hayo unayoyasema nadhani ni ya kwako peke yako. Mbowe ni Public figure ambaye ndani ya chama chake amejijengea heshima kubwa sana, hata ambao hawakumchagua lakini heshima yao kwake ni kubwa sana na wamefanya hivyo kwa maslahi ya chama chao.

Hata sisi tusio Chadema tunamuheshimu tu. Sema kama Binadamu lazima wapo watakaomchukia tu KAMA WEWE ROHO YAKO INAVYOMCHUKIA MBOWE ambapo hutaweza kukubali jema lolote linalomuhusu. Hata uambiwe mbowe ana mikono miwili UTAIKOSOA TU na kusema imepinda.

Be Positive Bro and live longer. Itoe hiyo chip ya chuki Kumoyo
 
Back
Top Bottom