- Thread starter
- #61
si kweli, chadema bado ina nguvu sana. kikasoro hiki cha uchaguzi nadhani huko mbeleni hakitarudiwa.Chama kimeshazikwa rasmi. Heche ndio angeweza kukiokoa chadomo. Kwa bahati mbaya amegombea umakamu. Wacha wafu wazike wafu wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si kweli, chadema bado ina nguvu sana. kikasoro hiki cha uchaguzi nadhani huko mbeleni hakitarudiwa.Chama kimeshazikwa rasmi. Heche ndio angeweza kukiokoa chadomo. Kwa bahati mbaya amegombea umakamu. Wacha wafu wazike wafu wao.
Rubbish of you! I am quoting what Lisu and his team said. All that shit is in the public domain!Umeandika kama mtoto anaejifunza kutembea, ungeweka ushaidi kwenye kila shutuma ungeonekana wa maana sana.
Au wewe ukitaka Mbowe agombee na Odero Charles Odero pekee? Mbowe alikuwa anaambiwa madhaifu yake wakati wa kampeni ili wajumbe wajiamulie baada ya kupima hoja ila yeye akajikita kwa namna alivyomsaidia Lissu sasa unajiuliza alikuwa anatoa rushwa?
Kubalini Demokrasia mnayojipambanua kama Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Ww ujakomaa siasa n mchezo mchafu lazma upgwe kwa maneno ilimradi mtu apate point 3 muhimu then uchaguz tunaombana radhi maisha yanaenda ndy siasaWhy am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.
2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe
3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record
4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
wajnga ni kama wewe ambao ni short sighted kuona the context of all makelele that ws aired! ....kuwa kulikuwa na njama za kupindiana. sasa yameishia wapi yote waliyompakazia.......hawyasemi maana ukweli hudumuWanaokataa kwamba kundi la Lissu lilifanya siasa chafu ni wajinga na wasiopenda kuona ukweli ukitamalaki.
Binafsi nilimpigia kura Lissu 2020 lakini aina ya siasa zake siwezi kumpigia kura 2025.
That is rubbish! Umseme mwenzako kuwa huyu alimbaka mama yake, halafu kesho useme ni point 3.... Think deep!Ww ujakomaa siasa n mchezo mchafu lazma upgwe kwa maneno ilimradi mtu apate point 3 muhimu then uchaguz tunaombana radhi maisha yanaenda ndy siasa
Ndy siasa kama uwezi unakaa pembeni maana ukiwa uko utakutana na maneno mengi ya kuuz zaid ya maumivi ila inapaswa kushndaThat is rubbish! Umseme mwenzako kuwa huyu alimbaka mama yake, halafu kesho useme ni point 3.... Think deep!
huyo jamaa ni mwendawazimu, ana matatizo kichwaniYou have no logic, first ulikuwa unamshambulia hawezi kushinda, but then akashinda bado tena uko pale pale?
Yaani unachotaka ni nani?
sio kirahisi hivyoUchaguzi wa ndani ya chadema umeshafanyika na mshindi amejulikana.
The game is over ndani ya chadema.
Move on retired.
Acha Tundu Antipas Lissu na anaoshirikiana nao waijenge chadema.
#Stronger together.
Acha makasiriko, lete hoja zenye ushahidi mezani. Tofauti na hapo unendeleza siasa za maji taka.Rubbish of you! I am quoting what Lisu and his team said. All that shit is in the public domain!
Unajua baada ya lisu kustaafu anayefuata kuwa chair ni nani? Heche. Heche vs lissu hawawezi kufika huko.Unajidanganyq. Mumeingia kwa matusi na kejeli na mtatoka hivyo hivyo na nyinyi
Mnajipangia utadhani chama chenuUnajua baada ya lisu kustaafu anayefuata kuwa chair ni nani? Heche. Heche vs lissu hawawezi kufika huko.
Uzuri binadamu tunasahau jaribu kuwaza kama ingekuwa baada ya kupata maumivu kuwa hayakomi na ungelazimika kuishinayo maisha yako yote.Je maisha yangefananaje?The ripple effect, bado haamini
Aisee acha hizi, nyang'au wewe...Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.
2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe
3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record
4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
Hii ni kweli kabisa, kuisha kwa uchaguzi sio mwisho wa character assassination iliyofanywa na ATL. Heri hata Henche alibalance vizuri sana speech zake. Sioni namna ATL atayamaliza na kundi la Mbowe.Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.
2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe
3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record
4.Public record ya Mbowe sasa ni:
a. Mla rushwa
b. Aliiuza CHADEMA kwa Samia
c. Mlamba asali
d. Mtafuta mkate na nusu
e. Mwizi wa Join the Chain
f. Malaya wa akina Halima Mdee na wenzake
g. Mla rushwa ya public figure Abdul
h. Na mwisho, lakini si wa umuhimu mdogo—SIYO MBANGAIZAJI, sisi ndiyo wabangaizaji!
Hii hoja yako haina mantiki, yani Mbowe akiwa mwenyekiti inakuwa ni chama cha kikabila, Lisu akiwa mwenyekiti ni chama cha kitaifa!Mbowe alifanyiwa timing, kamwe kwa hiari yake, kwa mapenzi yake asingemwachia chama Lissu, alijiamini for nothing. Chadema sasa ndio ya kitaifa imetoka mikononi mwa kabila.
Mimi sio Chadema ila hayo unayoyasema nadhani ni ya kwako peke yako. Mbowe ni Public figure ambaye ndani ya chama chake amejijengea heshima kubwa sana, hata ambao hawakumchagua lakini heshima yao kwake ni kubwa sana na wamefanya hivyo kwa maslahi ya chama chao.Acheni ulofa Mbowe ni kiazi tu hana umafia wowote. Mwenyekiti wa miaka 21 anashindwa kwenye uchaguzi? Ile ni aibu ya karne, ameondoka kwa aibu na fedheha, kawaida mwisho wa ubaya ni aibu.
CCM ishashinda uchaguzi siku nyingiTAL hajui kusema uongo, Hilo ndio tatizo lake Toka azaliwe. Nasubiria show ya CCM na CHADEMA mwaka huu, Kuna chama mgombea wao atakata pumzi
Sahau hiliHakuna kujitenga - Mwamba muda si mrefu baada ya mapumkiko yake atakuwa na kamanda Lissu kuhakikisha mkoloni mweusi anaachia madaraka ya Tanganyika yetu.