Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
Joyce Mukya kubali matokeo sauti ya wengi ni sauti ya Mungu
 
Tulieni acheni wana chadema wajenge chama chao. Kwa nguvu alizokuwa nazo mbowe haikuwa rahisi kumbandua kitini. Aliamua tu kuacha demokrasia ichukue mkondo wake. Matokeo ni lissu kuibuka mshindi, msimsakame muacheni afanye kazi ya kukijenga chama hicho katika maono mapya. Huu si wakati wa kuandika upupu juu ya chama hicho
 
TAL hajui kusema uongo, Hilo ndio tatizo lake Toka azaliwe. Nasubiria show ya CCM na CHADEMA mwaka huu, Kuna chama mgombea wao atakata pumzi
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
Wee jamaa si ndiye ulikuwa unaongoza kumtukana Lissu humu pia uliamini kwa asilimia mia moja hawezi kushinda? Sasa ameshinda maumivu unayo wewe. Halafu nini kinakuumiza hivyo? Mbona maumivu ni makali?
 
Uchaguzi wa ndani ya chadema umeshafanyika na mshindi amejulikana.
The game is over ndani ya chadema.
Move on retired.
Acha Tundu Antipas Lissu na anaoshirikiana nao waijenge chadema.
#Stronger together.
Wenje ndiye aliyeanzisha hoja ya Join the Chain akiwatuhumu Lema na Lisu kuianzisha ili kumpindua Mbowe hadi hapo ilipotolewa ufafanuzi na Mnyika na baadaye Lema mwenyewe.
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
Hakuna kuhama chama kama mlivyokuwa mnaongea kwa kejeli.. mlishindwa kusoma alama za nyakati. Sasa fanyeni nogwa mkiwa chamani na sio kinyume na hapo. Na hata mkihama hadi Mbowe, hamna madhara maana nyakati ni kitu cha kuheshimu sana.
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
Mkuu bado una homa.Fumba macho nikuombee dua njema upone.🙏😎
 
Ndio maana JPM alipiga marufuku siasa baada ya uchaguzi kwa ujinga ujinga kama huu, uchaguzi ushafanyika na viongozi kupatikana na wameshaanza kazi sasa ya nini kila leo kuendeleza siasa za chuki ndani ya chama?
 
Why am I saying so?
1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu.

2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all directed against Mbowe

3. To say the least, it was CHARACTER ASSASSINATION..... character assassination focuses on the long-term characteristics of individuals rather than on short-term events or their public record

4. Public record ya Mbowe sasa ni
a. Mla Rushwa,
b. Aliiuza chadema kwa Samia
3. Mlamba asali
4. Mtafuta mkate na nusu
5. Mwizi wa join the chain
6. Malaya wa akina Halima Mdee et al
7. Mla rushwa ya public figure Abdul
8. And last but not least SIYO MBANGAIZAJI, sisi ni wabangaizaji
Yote hayo kakuambia nani ama pia ni miongoni mwa mnaotaka kujiengua na kukidhuru chama?Sasa ni muda wa kukiimarisha chama na kuacha kulalamika tuijenge Chadema iliyo bora na imara zaidi.
 
Back
Top Bottom