hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Mpaka saa saba usiku uko onlineNyie chadema ni wabaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka saa saba usiku uko onlineNyie chadema ni wabaya sana
Hahahaha, nimekumbuka kitabu cha mfalme juhaShekhe Ponda kasema kuwa Membe atulie atapangiwa kazi katika siku mia za Lissu madarakani.
Vilevile Sheikh Ponda kasisitiza ndani ya siku ishirini za Raisi wa Watu Jemadari Tundu Antipas Lissu Mashekhe wa Uamsho na wale wa Answari Suna watarudi nyumbani kwao kwenye familia zap.
Wewe huna ujualo msuri tembo matokeo sungura.Ndugu zangu,
Ukisikiliza yanayoendelea ndani ya ACT na CHADEMA kuhusu suala la Wagombea urais Muungano na Zanzibar utacheka sana na utagundua dhahiri kuwa hakuna upinzani Tanzania bali wasaka tonge.
Mwanzoni ACT wamemshobokea Membe toka akiwa CCM. Baada ya hapo wakamdhamini NEC awe mgombea wao kwa sera ya 'Kazi na Bata'
Upande wa pili, CHADEMA wao wamemteua mgombea urais Zanzibar na kumdhamini ZEC. Anakuja Tundu ambaye alishiriki vikao halali kikatiba na kutangaza kutomtambua mgombea wa urais CHADEMA kwa upande wa Zanzibar.
Hizi ni akili za mbayuwayu huwezi kumkana mgombea aliyekwiteuliwa na NEC kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano au aliyeteuliwa na ZEC kugombea urais wa Zanzibar. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ile ya Zanzibar.
Waswahili tuna usemi wetu 'Ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa'
Tarehe 28.10.2020 kipigo kipo pale pale.
Sababu ya mitaji ya wajinga kama wewe.Hawa ndio wanamlaumu Magufuli kwa udikteta lakini kna tofauti kubwa Magufuli anafanya hivyo kupitia vikao halali lakini wao hata vikao halali hawavieshimu bali wanatoa matamko jukwaani.
Ni kama walivyofanya maamuzi ya kumteua Lowassa waliogopa wakiweka ushindani asingepitishwa, kwa siasa za namna hii ccm wataendelea kubaki madarakani muda mrefu.
Mbona unaingiliwa au umesahau yale maswali ya mayala kabla hajaunga mkono shetaniKwani Lisu ni mahakama? Ataingilia uhuru wa mahakama?