Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #41
Watu watakula kama mchwa....Kwani hakuna misosi ya kula nakuinua kitonga,nahis wataalam wakalale maabara hapa kunafursa ...
Wanashawishika, kila mtu njiani ana chura yeye tu ndo awe kama mche wa sabuni teh lazma kigodoro kihusikeYote hayo yamekuja iv majuzi miaka ile hayakuwepo eti Chura,Mara. Msambwanda, ila Mungu atusaidie sana me nahitaji mwanamke awe Normal kabisa kama alivyoumbwa na Mola kwa kuwa kila kitu kinasababu zake
Hadi tuwe kama Joyce wowowoMtavaa hadi matofali ya kuchoma. Kisa msambwanda
MmmhKweli. Ila tatizo la bikini huwa zinawachora kamstari fulani hivi ngozi inakuwa na rangi mbili, kanaonekana sana kwenye doggy style
Mbona zipo.....Hakuna za wanaume chikondee tunaokufa kwa kiu ya six packs?....
Cha muhimu ni kuwa na msimamo tu, ukitaka kufuata kila wanachotaka wanaume mwisho wa siku utajikuta umekuwa kikatoon.Wana kazi wanaotafuta kuwapendeza watu.
Hivi, kujibebesha vitu vyote hvo unatafuta nn na ili iweje? Kama ni kupendwa unataka wangapi wawe wako na ili iweje???
Mwanamke n kujiamini na kujikubali, kuna anayekupenda ulivyo hivyo.
Au vipi jaman?????????????????
Kushinda hata Mkullu!Au wasivae kabisa . Ila wanawake tunakazi
Wewe unavaa ipi?A ni tight yenye kisponge ndani.
Ikivaliwa haikai vizuri, sponge inaweza kukaa upande hivo tako moja liwe juu, jingine chini, au sponge zikajikusanya kifupi haipendezi
B. Ni tight yenye matundu kama unavoiona inaitwa butty lifter nadhani.
Yenyewe haiongezi matako ila inafanya yawe na mwonekano mzuri make yanapigwa tu jeki
Sivai kituWewe unavaa ipi?
Sidhani kama mara zote wanafanya hivo kwa ajili ya wanaume, huenda wanafanya tu kujiweka na mwonekano mzuri..... Si unajua tena msambwanda una raha yakeCha muhimu ni kuwa na msimamo tu, ukitaka kufuata kila wanachotaka wanaume mwisho wa siku utajikuta umekuwa kikatoon.
Niko black mwembamba, nimeridhika na rangi yangu na ka shepu kangu though sio ka kutisha sana.
Wanayavua chap chap bila kuonekana
Yani wanaume mnaoneshwa samaki afu mnalishwa dagaa ha ha ha
Sidhani kama mara zote wanafanya hivo kwa ajili ya wanaume, huenda wanafanya tu kujiweka na mwonekano mzuri..... Si unajua tena msambwanda una raha yake
Aaah wapi kujiamini na kujikubali tu.....Muonekano nafikiri ndio lengo kubwa, kuna baadhi ya nguo hazikai vizuri zinapunguza usmati, ukibust uongo!
πππππππalafu ukute ngoma imemnogea kwenye sherehe,kasahau kama kavaa masponchi anakatika hadi visponchi vinatoka sehemu yake
Lilale kisa? Labda huna kiuNikikutana na wanamna hiyo nadhani hata dushe litalala hapo hapo
Wewe una msambwanda original sio!!Sivai kitu
Lilale kisa? Labda huna kiu
Upo mis chaga,? Mzima mpenzi?, ww hua unavaa hizo nikununulieAu wasivae kabisa . Ila wanawake tunakazi