Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Yote hayo yamekuja iv majuzi miaka ile hayakuwepo eti Chura,Mara. Msambwanda, ila Mungu atusaidie sana me nahitaji mwanamke awe Normal kabisa kama alivyoumbwa na Mola kwa kuwa kila kitu kinasababu zake
Wanashawishika, kila mtu njiani ana chura yeye tu ndo awe kama mche wa sabuni teh lazma kigodoro kihusike
 
Hakuna za wanaume chikondee tunaokufa kwa kiu ya six packs?....
Mbona zipo.....
4d48b2aa165298a2fe7fc75470af7745.jpg

Kazi kwako
 
Wana kazi wanaotafuta kuwapendeza watu.
Hivi, kujibebesha vitu vyote hvo unatafuta nn na ili iweje? Kama ni kupendwa unataka wangapi wawe wako na ili iweje???
Mwanamke n kujiamini na kujikubali, kuna anayekupenda ulivyo hivyo.
Au vipi jaman?????????????????
Cha muhimu ni kuwa na msimamo tu, ukitaka kufuata kila wanachotaka wanaume mwisho wa siku utajikuta umekuwa kikatoon.
Niko black mwembamba, nimeridhika na rangi yangu na ka shepu kangu though sio ka kutisha sana.
 
A ni tight yenye kisponge ndani.
Ikivaliwa haikai vizuri, sponge inaweza kukaa upande hivo tako moja liwe juu, jingine chini, au sponge zikajikusanya kifupi haipendezi

B. Ni tight yenye matundu kama unavoiona inaitwa butty lifter nadhani.
Yenyewe haiongezi matako ila inafanya yawe na mwonekano mzuri make yanapigwa tu jeki
Wewe unavaa ipi?
 
Cha muhimu ni kuwa na msimamo tu, ukitaka kufuata kila wanachotaka wanaume mwisho wa siku utajikuta umekuwa kikatoon.
Niko black mwembamba, nimeridhika na rangi yangu na ka shepu kangu though sio ka kutisha sana.
Sidhani kama mara zote wanafanya hivo kwa ajili ya wanaume, huenda wanafanya tu kujiweka na mwonekano mzuri..... Si unajua tena msambwanda una raha yake
 
Sidhani kama mara zote wanafanya hivo kwa ajili ya wanaume, huenda wanafanya tu kujiweka na mwonekano mzuri..... Si unajua tena msambwanda una raha yake

Muonekano nafikiri ndio lengo kubwa, kuna baadhi ya nguo hazikai vizuri zinapunguza usmati, ukibust uongo!
 
alafu ukute ngoma imemnogea kwenye sherehe,kasahau kama kavaa masponchi anakatika hadi visponchi vinatoka sehemu yake
 
alafu ukute ngoma imemnogea kwenye sherehe,kasahau kama kavaa masponchi anakatika hadi visponchi vinatoka sehemu yake
😀😀😀😀😀😀😀
Yani huyo mdada niliemuona alivoku na heka heka anapita pita na vigodoro vyake alikua kituko kwakweli
 
Back
Top Bottom