Kwa wadada ambao hamna "msambwanda".....

Kuna mbinu yakuongeza msambwanda wanaipromoti insta

ugoro ,mafuta ya mzaituni ,amira ,ungawa tangawizi na miski

unachanganya inaongeza msambwanda


Kwanini kinadada wasitumie hiyo mbinu jamanii
Cha ajabu muuzaji hana hata katako ka kwendea sokoni
 
Au wasivae kabisa . Ila wanawake tunakazi
Tena kubwa ya kusaka
1. Misambwanda
2. Manyonyo makubwa kama ya Thea wa maigizo
3. Mnaziunga papuchi utadhani mboga... ipo siku mtatia hadi pilipili kichaa ili tuzifurahie
 
Tena kubwa ya kusaka
1. Misambwanda
2. Manyonyo makubwa kama ya Thea wa maigizo
3. Mnaziunga papuchi utadhani mboga... ipo siku mtatia hadi pilipili kichaa ili tuzifurahie
ha haha lazima atakuwa kichaa
 
Hahaaaaaaaaaa... Daah hio ya butty lifter nilikua siijui
 
Kabisa wanasema uzur wa ndege manyoya na uzuri wa mwanamke kujiamin Mimi sins huo msambwanda lakin napendwaa hivyo wadada tujue kwamba kila MTU anampenda amtakae sio kwa kuweka hayo masponji jaman tunaaibika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…