Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,679
nyie mumezoea kule kwenu wote flat,ukiona muinuko basi mzee alichomekewa.Au wasivae kabisa . Ila wanawake tunakazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyie mumezoea kule kwenu wote flat,ukiona muinuko basi mzee alichomekewa.Au wasivae kabisa . Ila wanawake tunakazi
hapo kwenye picha yako na hako kapensi hajuna sponji humoSina uhakika ila nadhani inakua kama bikini tu, bikini haileti kero
mmh okeynyie mumezoea kule kwenu wote flat,ukiona muinuko basi mzee alichomekewa.
Cha ajabu muuzaji hana hata katako ka kwendea sokoniKuna mbinu yakuongeza msambwanda wanaipromoti insta
ugoro ,mafuta ya mzaituni ,amira ,ungawa tangawizi na miski
unachanganya inaongeza msambwanda
Kwanini kinadada wasitumie hiyo mbinu jamanii
Wavae tu ila waboreshe si wanataka wawe na kitonga
Tena kubwa ya kusakaAu wasivae kabisa . Ila wanawake tunakazi
ha haha lazima atakuwa kichaaTena kubwa ya kusaka
1. Misambwanda
2. Manyonyo makubwa kama ya Thea wa maigizo
3. Mnaziunga papuchi utadhani mboga... ipo siku mtatia hadi pilipili kichaa ili tuzifurahie
Hahaaaaaaaaaa... Daah hio ya butty lifter nilikua siijuiA ni tight yenye kisponge ndani.
Ikivaliwa haikai vizuri, sponge inaweza kukaa upande hivo tako moja liwe juu, jingine chini, au sponge zikajikusanya kifupi haipendezi
B. Ni tight yenye matundu kama unavoiona inaitwa butty lifter nadhani.
Yenyewe haiongezi matako ila inafanya yawe na mwonekano mzuri make yanapigwa tu jeki
Mi nabisha kama vip tupia hapa tuone !!!Ndio
Huwa natamanigi kujua shape za wauzaji lol..Cha ajabu muuzaji hana hata katako ka kwendea sokoni
Kabisa wanasema uzur wa ndege manyoya na uzuri wa mwanamke kujiamin Mimi sins huo msambwanda lakin napendwaa hivyo wadada tujue kwamba kila MTU anampenda amtakae sio kwa kuweka hayo masponji jaman tunaaibikaWana kazi wanaotafuta kuwapendeza watu.
Hivi, kujibebesha vitu vyote hvo unatafuta nn na ili iweje? Kama ni kupendwa unataka wangapi wawe wako na ili iweje???
Mwanamke n kujiamini na kujikubali, kuna anayekupenda ulivyo hivyo.
Au vipi jaman?????????????????