Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa nakukubalihapna mimi nimeridhika hivi hivi
kwa kweliKushinda hata Mkullu!
sawa mkuuPlse Mjitahidi kuzipunguza hizo kazi....
kweli kabisa wanaotushonea wenyewe ni maflat balaaUmeona mtani ila ujue ni kutojiamini.
Mimi kwangu mke awe mpole, mwenye hekima, mcheshi, mbunifu wa maisha na mvumilivu hapa namuahidi kifo tu ndiyo separation. Kinyume chake simuelewi aisei..![emoji41]kweli kabisa wanaotushonea wenyewe ni maflat balaa
haya mkuuMimi kwangu mke awe mpole, mwenye hekima, mcheshi, mbunifu wa maisha na mvumilivu hapa namuahidi kifo tu ndiyo separation. Kinyume chake simuelewi aisei..![emoji41]
Wateja wote waelekeze kwangu bei buku mbili mbili (Tshs2,000) nimejikita kidhati kwenye mapinduzi ya kuboresha mwili wa KE[emoji1] [emoji1] [emoji1] dawa zote ziporubii anauza bei ghali kumbe, zake laki mbili
Kwa bei hiyo utapiga bao asee hii biashara wateja ni wengi
Hilo ndio la muhimu. Marufuku kuyumbishwa. Jikubali, jiamini utaona maisha simple sana.Aaah wapi kujiamini na kujikubali tu.....
ndo inakuaje hilo.... emh nipe tipsOriginal kiko tofauti sana huhitaji kugusa
kwa kweli inabidi kusomea hii kitu, tusitapeliwe lol!!!Mwenye sponge utajua tu hata kwa kuangalia....
Habari za siku tele
Miss you sanakwa kweli inabidi kusomea hii kitu, tusitapeliwe lol!!!
salama kabisa.. you were missed
Hizo sponge zipo, mdada mwingine hapa juzi kanionesha duh tight lina mahips teh nikamuuliza kwahiyo ukifika kwa shem lake unasasambuaje, akasema bwana ake hajui hayo mambo anajua ni tight tu.....asee wanaume wanadorishiwa misamaki wakifika geto wanalishwa vidagaa
Nipo mkuu, hofu kwakokwa kweli inabidi kusomea hii kitu, tusitapeliwe lol!!!
salama kabisa.. you were missed
Hujui mkuu, hii imekaa vizuri kama nilivyoumbwa sio ya kutengenezwa, haijakaa kihasara mkuundo inakuaje hilo.... emh nipe tips