ha ha ha! najua unataka tena ile kazi ya u hr...
Ngoja nimwambie lizzy anipe ujasiri wa kutangaza nia.
Heheheheh njoo nikupe maujanja Hus!!!
.ya Lizzy nimempa top three achague mwenyewe mmoja...
bora umuulize....nasubiri aseme....hasemi....dearest em tuweke wazi wenzio??
sasa CPU + baba mchungaji utajigawaje dearest??? just curious?
sasa CPU + baba mchungaji utajigawaje dearest??? just curious?
naifahamu mpenzi....sikutaka kukujibia nisije shushuliwa na dada yangu Gaga
ndiyo my dear.....baba mchungaji mkali simuwezi....tumchukue CPU.....unaonaje?
utamuanza wewe....wewe si ndo mkubwa? muanze tu....
utamuanza wewe....wewe si ndo mkubwa? muanze tu....
aiseee...sasa mwanaume akikuacha we uatamfanya nini?tukifuata hiyo ya unapotendwa na we tenda....!!! ukomoe wengine au?