Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Mtoa mada kaongelea nyumbani, watoto wa kike wavae sijui kujifunika mwili mzima.Kumbuka mwanaume anashawishika sio kwa hisia, bali kwa macho. Unavyovaa ndivyo chances za kuzidi kimvutia Me zitaongezeka au kupungua.
Mavazi kwa watoto ni muhimu yaangaliwe, hasa kunapokuwa na halaiki ya watu, tuwafunze kuvaa kwa stara. Hivi unavaaje chupi na khanga unapita mbele za watu?
Mimi kusema ukweli mwanaume hawezi nichagulia, aina ya vazi gani nivae. Sivai kwasababu yake navaa kwaajili yangu.
Ikiwa wewe kaka hapo nyumbani, ukanitamani dada yako mirembe inakuhusu.
Nimevaa hiyo khanga moja sana tu home, vigauni vifupi na sijabakwa sababu nilioishi nao wana akili timamu.