Kwa wafanyakazi Zanzibar kutakiwa wakampokee Mwinyi kwa wingi. Je, watu watarusiwa kumpokea Tundu Lissu atakaporejea nchini?

Kwa wafanyakazi Zanzibar kutakiwa wakampokee Mwinyi kwa wingi. Je, watu watarusiwa kumpokea Tundu Lissu atakaporejea nchini?

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao.

Je, ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?
 
Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?

tngzo.jpg


barua iyoo
 
duh! kweli mtu mweusi hajui mipaka ya chama na serikali inaanzia wapi na kuishia wapi!! yaani wafanyakazi wa sirikali ya Zenjibari waache kujenga nchi wakampokee mtu wa chama cha mabwanyenye wa bara wasiempenda!! duh maskini kodi zetu!!maskini kina yakhe!!

Tuseme ukweli katika wagombea wote watano walipoingia ukumbini Dodoma aliependeza kwa urais wa Zenji mimi nilimuona alikuwa ni Shamsi Vuai Nahodha na shati lake la njano, mzawa na mkaazi wa Zenjibari mwenye uchungu na nchi yake na huruma kwa raia wake!

Shamsi was different, he was slim hana jitumbo kubwa, he was smart, he was shining, he was serious and focused, Mwinyi alikaa ukumbini kivivu vivu sana hadi nikaboreka nikasema huyu nae mbona mzembe mzembe asinzia kwa shibe , kakaa kwenye kiti kwa staili ya kulala ya kimwinyi, nikasema hapa hakuna mtu kuna magumashi tu si kwa kujiamini huku kwa bwana Mwinyi!! ukweli Mwinyi hapendezi kuwa Rais wa Zenji nyie machogo mmelazimisha tu!! kwanza sura na rangi yake na ya Shamsi ni tofauti!! Shamsi kapokwa urais!! Shamsi was the most competitive candidate for Zenjibari presidency in my opinion!! ili kuwapoza wazenji huyo Mwinyi wenu must give Shamsi a top aide post!!

Tundu Lissu ni mzimu unaowasumbua sana wajinga wa chadema!! na kama kweli yule mshamba akija bongo basi anapitiliza mahabusu wadhamini wamejitoa , akitoka mahabusu then jela kunyea ndoo!! hebu chadema acheni kutuletea kichefuchefu kutuambia habari za mtu asiekuwepo nchini hivi mbona uwendawazimu wenu hauishi? hamchoki kuleta uzi za mtu wa porini Singapore? chadema mnatuboa sana wengine tunaoishi kwenye Reality!! tunawaomba tujadili watu tunaowaona kwa macho mfano mwizi wa twiga Nyalandu, makapi ya sisiem Membe , DJ mwizi na mzinzi , Mh Magufuli nk
 
Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?
Hicho ndio kipimo kikuu cha weledi wa Polisi na kwamba ahadi ya Rais kuwa uchaguzi huu utakuwa huru na haki ni ya kweli ( na Rais hatakiwi kuwa muongo). Lissu apokewe kwa namna yeyote mradi uratibu uwepo ili kuweka ulinzi wa watu na Mali zao.
 
Rais Mteule🤣🤣

Yule mzee hatutaki kumuamkia. Yaani mie Rais wa JMT niwe nampa shikamoo???

Babu Sefu nenda kalee wajukuu/vitukuu tushachagua Rais anasubir kuapishwa tu
 
Tundu ndio nini??
Ni hilo ulilo nalo makalioni, hapa anazungumziwa Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu makamu Mwenyekiti wa Chadema (T).
Huo mtindo wa kukejeli majina ya viongozi kwa mifano mibaya mtawatafutia watu matatizo hasa watakapo chukia na kulipa kisasi kwa wenu ambao huwa hawana subira Ila kujaa upepo haraka
 
Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?
Ukiona hivyo maswali kichani.. Imekuwa kama mwenge wa uhuru[emoji16][emoji316]
 
Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?
Wakampokee tundu lissu?.. Kwani tundu lissu ana madaraka gani hapa nchini hadi wafanyakazi serikalini waruhusiwe kumpomea. Labda wafanyikazi wa chadema na waajiri binafsi chadema wakipenda. Mwinyi ni mgombea urais kwa chama tawala wakati tundu lissu kwa serikali iliopo madarakani ni sawa na adui kwa jinsi anavyomsema vibaya rais aliyeko mafarakani na setikali yake
 
Wakampokee tundu lissu?.. Kwani tundu lissu ana madaraka gani hapa nchini hadi wafanyakazi serikalini waruhusiwe kumpomea. Labda wafanyikazi wa chadema na waajiri binafsi chadema wakipenda. Mwinyi ni mgombea urais kwa chama tawala wakati tundu lissu kwa serikali iliopo madarakani ni sawa na adui kwa jinsi anavyomsema vibaya rais aliyeko mafarakani na setikali yake
Ahahaaaaa! Ndio akili yako hiyo? Ndio maana mnaburuzwa kama magogo na mwenyekiti wenu.
 
Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?
Watake wasitake Mheshimiwa Lissu tutampokea kwa wingi Kama mkombozi wa taifa!

Atakayethubutu kutuzuia kwa namna yoyote ile amechokoza nyuki! Atazipata salamu zetu, hii nchi Ni ya kidemokrasia, hatutaki ukandamizaji wa kijinga na kipumbavu, uvumilivu Sasa basi
 
Nashauri mikutano ya ccm ipigwe mabomu ili watu wapate woga kwenda kuhudhuria mikutano yao
 
duh! kweli mtu mweusi hajui mipaka ya chama na serikali inaanzia wapi na kuishia wapi!! yaani wafanyakazi wa sirikali ya Zenjibari waache kujenga nchi wakampokee mtu wa chama cha mabwanyenye wa bara wasiempenda!! duh maskini kodi zetu!!maskini kina yakhe!!

Tuseme ukweli katika wagombea wote watano walipoingia ukumbini Dodoma aliependeza kwa urais wa Zenji mimi nilimuona alikuwa ni Shamsi Vuai Nahodha na shati lake la njano, mzawa na mkaazi wa Zenjibari mwenye uchungu na nchi yake na huruma kwa raia wake!

Shamsi was different, he was slim hana jitumbo kubwa, he was smart, he was shining, he was serious and focused, Mwinyi alikaa ukumbini kivivu vivu sana hadi nikaboreka nikasema huyu nae mbona mzembe mzembe asinzia kwa shibe , kakaa kwenye kiti kwa staili ya kulala ya kimwinyi, nikasema hapa hakuna mtu kuna magumashi tu si kwa kujiamini huku kwa bwana Mwinyi!! ukweli Mwinyi hapendezi kuwa Rais wa Zenji nyie machogo mmelazimisha tu!! kwanza sura na rangi yake na ya Shamsi ni tofauti!! Shamsi kapokwa urais!! Shamsi was the most competitive candidate for Zenjibari presidency in my opinion!! ili kuwapoza wazenji huyo Mwinyi wenu must give Shamsi a top aide post!!

Tundu Lissu ni mzimu unaowasumbua sana wajinga wa chadema!! na kama kweli yule mshamba akija bongo basi anapitiliza mahabusu wadhamini wamejitoa , akitoka mahabusu then jela kunyea ndoo!! hebu chadema acheni kutuletea kichefuchefu kutuambia habari za mtu asiekuwepo nchini hivi mbona uwendawazimu wenu hauishi? hamchoki kuleta uzi za mtu wa porini Singapore? chadema mnatuboa sana wengine tunaoishi kwenye Reality!! tunawaomba tujadili watu tunaowaona kwa macho mfano mwizi wa twiga Nyalandu, Membe , Mh Magufuli nk
Tatizo la Shamsi ni elimu ya kuunga unga
 
Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?
Thubutu! Polisi wamekoki zana za kudhibiti watakaofanya hivyo.
 
Kwani Tundu Lisu kateuliwa na chama chake kuwa mgombea kama Hussein Mwinyi? Lisu hajateuliwa yuko tu anapambana na hali yake na wagombea wenzie kibao.Asubiri uteuzi
 
Back
Top Bottom