Nyie vijana wa chattle mwisho wenu unakaribia sana. Mnaupenda udikteta kwasababu mnafaidika nao huku ndugu zenu kwa maelfu wakiteseka. Mmekuwa vibaraka wa mkoloni mweusi. Demokrasia kwenu ni upuuzi. Mmeamua kujivua utu na ufahamu. Angalieni matumbo yenu yasipasuke.Sasa ndugu unajitoa ufahamu bure tu vitu vingine ni aibu kuuliza, mwinyi na lisu wapi kwa wapi? Mwinyi Ni raisi Ni wakusubiri kuapishwa tu haya huyo kajambanani mwenzako lisu Ni Nani si takataka tu
Wewe hujui kwamba kuna vijana wa chattle wanazunguka huku na kule kumsawazisha yeyote anayepingana na boss. Wapo waliopotea na wengine kuumizwa na hata kufa, hii ndio demokrasia unayomaanisha?Kwanza chato Ni tanzania sio Congo Wala Kenya Sasa ukianza kusema wewe wa Moshi au wa Pemba Ni tabia ya chuki za kibaguzi,Ni dhambi mbaya nazidi kupata tabu na ufahamu wako ukisema eti tunaupenda udikteta,hivi unaujua udikteta au unaropoka tu? Tanzania Ni kisiwa Cha amani hatutafika huko unapotaka(udikteta) hii nchi yangu inaongozwa kidemokrasia na hata wewe unafahamu na ndio ukapata jeuri ya kuongea chochote unachotaka uko free ndio Raha ya Tanzania
Hata Korea ya kaskazini huitwa Democratic Peoples Republic of Korea (DPRK)Kwanza chato Ni tanzania sio Congo Wala Kenya Sasa ukianza kusema wewe wa Moshi au wa Pemba Ni tabia ya chuki za kibaguzi,Ni dhambi mbaya nazidi kupata tabu na ufahamu wako ukisema eti tunaupenda udikteta,hivi unaujua udikteta au unaropoka tu? Tanzania Ni kisiwa Cha amani hatutafika huko unapotaka(udikteta) hii nchi yangu inaongozwa kidemokrasia na hata wewe unafahamu na ndio ukapata jeuri ya kuongea chochote unachotaka uko free ndio Raha ya Tanzania
Lissu apokelewe kwa pingu.Hicho ndio kipimo kikuu cha weledi wa Polisi na kwamba ahadi ya Rais kuwa uchaguzi huu utakuwa huru na haki ni ya kweli ( na Rais hatakiwi kuwa muongo). Lissu apokewe kwa namna yeyote mradi uratibu uwepo ili kuweka ulinzi wa watu na Mali zao.
Gia kubwa naona umeingia JF na gia kubwa kweli kweli.duh! kweli mtu mweusi hajui mipaka ya chama na serikali inaanzia wapi na kuishia wapi!! yaani wafanyakazi wa sirikali ya Zenjibari waache kujenga nchi wakampokee mtu wa chama cha mabwanyenye wa bara wasiempenda!! duh maskini kodi zetu!!maskini kina yakhe!!
Tuseme ukweli katika wagombea wote watano walipoingia ukumbini Dodoma aliependeza kwa urais wa Zenji mimi nilimuona alikuwa ni Shamsi Vuai Nahodha na shati lake la njano, mzawa na mkaazi wa Zenjibari mwenye uchungu na nchi yake na huruma kwa raia wake!
Shamsi was different, he was slim hana jitumbo kubwa, he was smart, he was shining, he was serious and focused, Mwinyi alikaa ukumbini kivivu vivu sana hadi nikaboreka nikasema huyu nae mbona mzembe mzembe asinzia kwa shibe , kakaa kwenye kiti kwa staili ya kulala ya kimwinyi, nikasema hapa hakuna mtu kuna magumashi tu si kwa kujiamini huku kwa bwana Mwinyi!! ukweli Mwinyi hapendezi kuwa Rais wa Zenji nyie machogo mmelazimisha tu!! kwanza sura na rangi yake na ya Shamsi ni tofauti!! Shamsi kapokwa urais!! Shamsi was the most competitive candidate for Zenjibari presidency in my opinion!! ili kuwapoza wazenji huyo Mwinyi wenu must give Shamsi a top aide post!!
Tundu Lissu ni mzimu unaowasumbua sana wajinga wa chadema!! na kama kweli yule mshamba akija bongo basi anapitiliza mahabusu wadhamini wamejitoa , akitoka mahabusu then jela kunyea ndoo!! hebu chadema acheni kutuletea kichefuchefu kutuambia habari za mtu asiekuwepo nchini hivi mbona uwendawazimu wenu hauishi? hamchoki kuleta uzi za mtu wa porini Singapore? chadema mnatuboa sana wengine tunaoishi kwenye Reality!! tunawaomba tujadili watu tunaowaona kwa macho mfano mwizi wa twiga Nyalandu, makapi ya sisiem Membe , DJ mwizi na mzinzi , Mh Magufuli nk
Atatokea hukohuko jela,akipigwa chini si ndo vizuri kwenuduh! kweli mtu mweusi hajui mipaka ya chama na serikali inaanzia wapi na kuishia wapi!! yaani wafanyakazi wa sirikali ya Zenjibari waache kujenga nchi wakampokee mtu wa chama cha mabwanyenye wa bara wasiempenda!! duh maskini kodi zetu!!maskini kina yakhe!!
Tuseme ukweli katika wagombea wote watano walipoingia ukumbini Dodoma aliependeza kwa urais wa Zenji mimi nilimuona alikuwa ni Shamsi Vuai Nahodha na shati lake la njano, mzawa na mkaazi wa Zenjibari mwenye uchungu na nchi yake na huruma kwa raia wake!
Shamsi was different, he was slim hana jitumbo kubwa, he was smart, he was shining, he was serious and focused, Mwinyi alikaa ukumbini kivivu vivu sana hadi nikaboreka nikasema huyu nae mbona mzembe mzembe asinzia kwa shibe , kakaa kwenye kiti kwa staili ya kulala ya kimwinyi, nikasema hapa hakuna mtu kuna magumashi tu si kwa kujiamini huku kwa bwana Mwinyi!! ukweli Mwinyi hapendezi kuwa Rais wa Zenji nyie machogo mmelazimisha tu!! kwanza sura na rangi yake na ya Shamsi ni tofauti!! Shamsi kapokwa urais!! Shamsi was the most competitive candidate for Zenjibari presidency in my opinion!! ili kuwapoza wazenji huyo Mwinyi wenu must give Shamsi a top aide post!!
Tundu Lissu ni mzimu unaowasumbua sana wajinga wa chadema!! na kama kweli yule mshamba akija bongo basi anapitiliza mahabusu wadhamini wamejitoa , akitoka mahabusu then jela kunyea ndoo!! hebu chadema acheni kutuletea kichefuchefu kutuambia habari za mtu asiekuwepo nchini hivi mbona uwendawazimu wenu hauishi? hamchoki kuleta uzi za mtu wa porini Singapore? chadema mnatuboa sana wengine tunaoishi kwenye Reality!! tunawaomba tujadili watu tunaowaona kwa macho mfano mwizi wa twiga Nyalandu, makapi ya sisiem Membe , DJ mwizi na mzinzi , Mh Magufuli nk
Hakuna tofauti katiba ni Ile ile na mifumo ni Ile ile ya mtawala kuwa ndie mungu huna ruhusa kumhoji kumpinga au kumkosoaUna kwama wapi ndugu? Korea kaskazini haifanani hata chembe na sisi,wao wanatawala familia alianza Babu akaja mtoto Sasa mjukuu huoni Ni mfano mfu huo? Sisi tunatawaliwa kidemokrasia Sasa tuko awamu ya tano
Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?
Nafikiri hapo ndipo tatizo lako na watanzania wengi; kufikiri kwamba siasa za upinzani ni uadui kati ya serikali na vyama vya upinzani. Nadhani hii ndio dhana aliyonayo jiwe na imepelekea kutaka kuuwa upinzani tena kwa sifa kabisa akifikiri anaua kikundi cha waasi kama kile cha M23. Nafikiri elimu ya demokrasia na uraia ndio tatizo kubwa kwa watanzania na kama ni hivi CCM itatawala mpaka wajinga wafe.Kwani Tanzania Bara na Tanzania Visiwani ni sawa? Hussein Mwinyi ana Uadui na Dola kama ambavyo Tundu Lissu anavyopambana nao Mkuu?
Umemwambia ukweli huyo "zeruzeru wa kijani". Tukimsema " kahaba mmoja" mlevi aliyehonga hawala nyumba ya serikali wanatuitia wasiojulikana.Ni hilo ulilo nalo makalioni, hapa anazungumziwa Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu makamu Mwenyekiti wa Chadema (T).
Huo mtindo wa kukejeli majina ya viongozi kwa mifano mibaya mtawatafutia watu matatizo hasa watakapo chukia na kulipa kisasi kwa wenu ambao huwa hawana subira Ila kujaa upepo haraka
TunduLissu ni kibaka ,kibaka apokelewe na nani?Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?
Kumtukana Tundu Lissu ambaye ni kiongozi ni kuwatukana maelfu ya members wa jukwaa hili.TunduLissu ni kibaka ,kibaka apokelewe na nani?
acha ufl wwKumtukana Tundu Lissu ambaye ni kiongozi ni kuwatukana maelfu ya members wa jukwaa hili.
Nitashangaa kama MODS watakuachia upumue siku ya Leo bila kukuzawadia kwa ufedhuli wako.
Wakubwa wanajua kwamba ccm haiko tena mioyoni mwa wapiga kura, na njia pekee iliyobaki nikutumia uvumilivu ulio changanyika na uoga wa wafanyakazi na wananchi wote kwa ujumla kuwalazimisha kufuata matakwa yao.Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?