run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,185
- 3,909
Mimi acha nisimulie mkasa wa rafiki yangu ingawa yeye issue yake ni tofauti, yeye alipanda gari mara ya kwanza akiwa tayari anajitambua kabla ya hapo hajawahi ona hata gari inatembeaje aisee.
Kwanza kabisa alipokuwa ndani ya gari yeye aliona gari huwa inateleza tu kwa jinsi miti na vitu vinaonekana ukiwa ndani ya gari..
Alipofika nyumbani alishindwa kulala kabisa aliona kama kitanda kinaleteleza(kinatembea kama gari) na akikaa kwenye kiti anaona hivyohivyo..
Kwanza kabisa alipokuwa ndani ya gari yeye aliona gari huwa inateleza tu kwa jinsi miti na vitu vinaonekana ukiwa ndani ya gari..
Alipofika nyumbani alishindwa kulala kabisa aliona kama kitanda kinaleteleza(kinatembea kama gari) na akikaa kwenye kiti anaona hivyohivyo..